CHADEMA, hawa wageni(wazungu) mmekubali wavuruge nChi yetu?

Freemanson

Member
Jul 6, 2012
23
2
Kuna ushahidi usio shaka kwamba mambo mengi ya kigaidi na uchonganishi yanayofanywa na Chadema kila kukicha nyuma yake yanamkono wa wazungu sita kutoka nje ( majina kwasasa tayari ninayo) wanaoshauri namna ya kuifanya nchi isitawalike eti!!! Sasa kama ndhani ni dhahiri Watanzania wenzetu wameamua kuwakabihi nchi yetu wazungu wafanye watakavyo. Kati yao kuna vijana wa Cameruni. Malipo ni rasilimali zzetu ambazo zinawatoa udenda wazungu hawa, huku Watanzania wenzetu hawa wakitoka udenda kwa kutamani madaraka!!!!
 
duh! Kumbe ndio hivyo, hebu funguka zaidi. Tukuelewe, watu wengi hatuna hizo habari!
 
Hayo ni maneno yako; unafikiri utateka hisia za watu! njoo na style nyingine kwa hii umechemsha.
 
mods , please hatuwezi kuvumilia hii forum ikiwa abused purposely .... please use your arm of the law to fight back

this member is a violence reactor
 
Hivi huu ni mwaka gani!!!!! Mmmmmmmh ni 1930 ah!!!!!!! Nimekumbuka Kumbe ni hizi propaganda za kizamani sana zina nifanya nisahau mwaka du! Mithread mingine ni Kama virus
 
lakini kama ni rasilimali mbona nyingi zimeshauzwa, sasa hizo zingine ni kama zipi, hebu funguka zaidi na utaje hizo rasilimali ambazo chadema wanataka kuuza!
 
Jambo hili ni kweli,lakini halifanywi na CDM tu, hata CCM wanafanya.Ni biashara chafu sana,ambayo sisi wananchi ndio twenye uwezo wa kuikataa.Wanasiasa wetu ni wapenda fedha mno,and therefore easy to fall pray to dirty money kama ambavyo tumeshaona.
Kuna ushahidi usio shaka kwamba mambo mengi ya kigaidi na uchonganishi yanayofanywa na Chadema kila kukicha nyuma yake yanamkono wa wazungu sita kutoka nje ( majina kwasasa tayari ninayo) wanaoshauri namna ya kuifanya nchi isitawalike eti!!! Sasa kama ndhani ni dhahiri Watanzania wenzetu wameamua kuwakabihi nchi yetu wazungu wafanye watakavyo. Kati yao kuna vijana wa Cameruni. Malipo ni rasilimali zzetu ambazo zinawatoa udenda wazungu hawa, huku Watanzania wenzetu hawa wakitoka udenda kwa kutamani madaraka!!!!
 
Serekali dhaifu ndio ina wafuga cdm hawana cha kufanya zaidi ya harakati tu na ukombozi tuiingia watahama viunga vya nchi hii na madhaifu wao.
 
Kuna ushahidi usio shaka
kwamba mambo mengi ya kigaidi na uchonganishi yanayofanywa na Chadema
kila kukicha nyuma yake yanamkono wa wazungu sita kutoka nje ( majina
kwasasa tayari ninayo) wanaoshauri namna ya kuifanya nchi isitawalike
eti!!! Sasa kama ndhani ni dhahiri Watanzania wenzetu wameamua
kuwakabihi nchi yetu wazungu wafanye watakavyo. Kati yao kuna vijana wa
Cameruni. Malipo ni rasilimali zzetu ambazo zinawatoa udenda wazungu
hawa, huku Watanzania wenzetu hawa wakitoka udenda kwa kutamani
madaraka!!!!

Mashudu ya magamba!
 
Mbona thread za namna hii zimejaa humu JF na zingine zinashabikiwa kweli kweli wakati hazina mashiko kama hii.
 
Kaka, hebu kakae pembeni kule nyuma kuleee maana naona huna hoja lakini bado waendelea tu kujibidisha kupigia jukwaa zima kelele bila adabu wala aibu kuongelea fikra binafsi ulizoziota wewe usingizini na sasa unatuletea hapa!!!!!!!!!!!

Kuna ushahidi usio shaka kwamba mambo mengi ya kigaidi na uchonganishi yanayofanywa na Chadema kila kukicha nyuma yake yanamkono wa wazungu sita kutoka nje ( majina kwasasa tayari ninayo) wanaoshauri namna ya kuifanya nchi isitawalike eti!!!

Sasa kama ndhani ni dhahiri Watanzania wenzetu wameamua kuwakabihi nchi yetu wazungu wafanye watakavyo. Kati yao kuna vijana wa Cameruni.

Malipo ni rasilimali zzetu ambazo zinawatoa udenda wazungu hawa, huku Watanzania wenzetu hawa wakitoka udenda kwa kutamani madaraka!!!!
 
[MENTION]Kama ni rasilimali sijui unaongelea zipi maana tayari zilishaibwa chini ya CCM kwa mikataba ya kijinga mfano GGM umiriki miaka 99.Acha mawazo dhaifu kama mwenyekiti wa taifa wa CCM[/MENTION]
Kuna ushahidi usio shaka kwamba mambo mengi ya kigaidi na uchonganishi yanayofanywa na Chadema kila kukicha nyuma yake yanamkono wa wazungu sita kutoka nje ( majina kwasasa tayari ninayo) wanaoshauri namna ya kuifanya nchi isitawalike eti!!! Sasa kama ndhani ni dhahiri Watanzania wenzetu wameamua kuwakabihi nchi yetu wazungu wafanye watakavyo. Kati yao kuna vijana wa Cameruni. Malipo ni rasilimali zzetu ambazo zinawatoa udenda wazungu hawa, huku Watanzania wenzetu hawa wakitoka udenda kwa kutamani madaraka!!!!
 
Kuna ushahidi usio shaka kwamba mambo mengi ya kigaidi na uchonganishi yanayofanywa na Chadema kila kukicha nyuma yake yanamkono wa wazungu sita kutoka nje ( majina kwasasa tayari ninayo) wanaoshauri namna ya kuifanya nchi isitawalike eti!!! Sasa kama ndhani ni dhahiri Watanzania wenzetu wameamua kuwakabihi nchi yetu wazungu wafanye watakavyo. Kati yao kuna vijana wa Cameruni. Malipo ni rasilimali zzetu ambazo zinawatoa udenda wazungu hawa, huku Watanzania wenzetu hawa wakitoka udenda kwa kutamani madaraka!!!!

Hii ndo assingment uliyopewa leo?
 
Kaka, hebu kakae pembeni kule nyuma kuleee maana naona huna hoja lakini bado waendelea tu kujibidisha kupigia jukwaa zima kelele bila adabu wala aibu kuongelea fikra binafsi ulizoziota wewe usingizini na sasa unatuletea hapa!!!!!!!!!!!

Mchumba bado unasinzia nini? Soon naweka mpaka picha zao hapa, halafu mchonge tena!
 
Kaka, hebu kakae pembeni kule nyuma kuleee maana naona huna hoja lakini bado waendelea tu kujibidisha kupigia jukwaa zima kelele bila adabu wala aibu kuongelea fikra binafsi ulizoziota wewe usingizini na sasa unatuletea hapa!!!!!!!!!!!

HILI NI JINGA SANA, ATI FREEMANSON MjINGA TU ANAYETUMIWA NA MAFISADI.
PUMBAVU WEWE, NA NINAAMINI ATA UKIONEKENA KWA SURA UTAKUWA NA LAANA YA KULAWITIKA.
 
wewe weka ushahidi wowote lakini hupati kitu nyie wenyewe mshauza nchi sasa mwenzio unamshangaa nini au mnataka mfaidike wenyewe hapa hakieleweki kitu ccm tumewachoka 2015 jiandaeni tu
 
Fikra dhaifu kama za mwenyekiti wa CCM taifa maana kama rasilimali zilishaibwa chini ya serikali ya Kidhalimu ya CCM,mfano mgodi wa GGM umebinafsishwa miaka 99,je na hizi ni njama za CDM?Ukosefu wa dawa,vitendea kazi mahospitalini na hiyo ni CDM?Ukosefu wa madawati ,walimu ,maabala mashuleni na vyo ni kwa sababu ya CDM?wanafunzi wa vyuo vikuu kukosa mikopo na hilo ni kwa sababu ya CDM?
Hivyo ni baadhi tu ya vitu ambavyo CCM imeshindwa kuifanyia jamii ya watanzania kwa hali hiyo tunayo sababu ya msingi kuwatetea watanzania kwa nguvu ya UMMA na wala siyo hao wazungu wa kufikirika kama ambavyo unataka kutuaminisha.

Kajipange upya uje na hoja zenye mashiko usiwe DHAIFU kama mkaazi wa MAGOGONI
 
Back
Top Bottom