Freemanson
Member
- Jul 6, 2012
- 23
- 2
Kuna ushahidi usio shaka kwamba mambo mengi ya kigaidi na uchonganishi yanayofanywa na Chadema kila kukicha nyuma yake yanamkono wa wazungu sita kutoka nje ( majina kwasasa tayari ninayo) wanaoshauri namna ya kuifanya nchi isitawalike eti!!! Sasa kama ndhani ni dhahiri Watanzania wenzetu wameamua kuwakabihi nchi yetu wazungu wafanye watakavyo. Kati yao kuna vijana wa Cameruni. Malipo ni rasilimali zzetu ambazo zinawatoa udenda wazungu hawa, huku Watanzania wenzetu hawa wakitoka udenda kwa kutamani madaraka!!!!