CHADEMA HATARI Inakuja TAZAMENI

kama kuna mzinifu anayemzidi kikwete mungu anichukue mchana kweupe:spy:
Kilichotokea leo kati ya Dr Slaa na Rose Kamili si chema kwa MUSTAKABALI wa chama so ni vizuri WANACHAMA muanze kufikiria hatima ya chama na mgombea URAISI. Nimefikiri hili vizuri nimebaini mwisho wa SLAA utakuwa kama akina MREMA na LIPUMBA nao walijikuta katika kashfa kama hizo. Dr Slaa amezidi kidogo kwa kuwa amezini na rose kamili then amekuja kuzini na mushumbuzi huku akiwa ni Padri.Najua kuna kuteleza ila slaa alizidi.

So nashauiri tufikirie tuanze kujipanga kwa MGOMBEA URAIS ili tuanze kumshape huyo mgombea wetu mapema.Tukiendelea kumfikiria slaa ni kuendelea kupunguza kura 2015 kwani hataongeza kura tena bali zitapungua. Ni UKWELI usiopingika kwamba hakuna mtu asiyejua UJASIRI wa slaa lakini kwa sasa no way.

Pia ili kuondoa DHANA ya kukifanya chama kionekane cha kikatoliki kutokana na slaa kuwa PADRE.Mimi ni mkristo nisingependa nitawaliwe na SHEHE au MUFTI so hata WAISLAMU hawatajisikia vizuri kuongozwa na PADRE so ili kuepusha tafsiri kama hizo nashauri TUNDU LISU au ZITO KABWE waandaliwe kushika wajibu huo mapema kwani wao hawajawahi kuwa VIONGOZI WA KIDINI hivyo watakubalika na pande zote WAISLAM na WAKRISTO.

Ni vizuri tujue kwamba baada ya UCHAGUZI UJAO KAMA Chadema hakitashinda kitakachofuata ni MIGOGORO NA KUSAMBARATIKA REJEA NCCR na CUF. CHAMA kikishafika kileleni-piki kisipopata USHINDI kinaanza kuandamwa na mizozo so tujiandae.Mungu ibariki CHADEMA.
 
Politics of personal destruction never work........


............... though can retard progress.
 
kilichotokea leo kati ya dr slaa na rose kamili si chema kwa mustakabali wa chama so ni vizuri wanachama muanze kufikiria hatima ya chama na mgombea uraisi. Nimefikiri hili vizuri nimebaini mwisho wa slaa utakuwa kama akina mrema na lipumba nao walijikuta katika kashfa kama hizo. Dr slaa amezidi kidogo kwa kuwa amezini na rose kamili then amekuja kuzini na mushumbuzi huku akiwa ni padri.najua kuna kuteleza ila slaa alizidi.

So nashauiri tufikirie tuanze kujipanga kwa mgombea urais ili tuanze kumshape huyo mgombea wetu mapema.tukiendelea kumfikiria slaa ni kuendelea kupunguza kura 2015 kwani hataongeza kura tena bali zitapungua. Ni ukweli usiopingika kwamba hakuna mtu asiyejua ujasiri wa slaa lakini kwa sasa no way.

Pia ili kuondoa dhana ya kukifanya chama kionekane cha kikatoliki kutokana na slaa kuwa padre.mimi ni mkristo nisingependa nitawaliwe na shehe au mufti so hata waislamu hawatajisikia vizuri kuongozwa na padre so ili kuepusha tafsiri kama hizo nashauri tundu lisu au zito kabwe waandaliwe kushika wajibu huo mapema kwani wao hawajawahi kuwa viongozi wa kidini hivyo watakubalika na pande zote waislam na wakristo.

Ni vizuri tujue kwamba baada ya uchaguzi ujao kama chadema hakitashinda kitakachofuata ni migogoro na kusambaratika rejea nccr na cuf. Chama kikishafika kileleni-piki kisipopata ushindi kinaanza kuandamwa na mizozo so tujiandae.mungu ibariki chadema.
inahitaji umakini mkubwa kukubaini lengo lako ni nini. References unazotumia hazieleweki.
 
Bila shaka huu ni mtaji wa kuivuta shati CDM,

Kama ni Uzinzi nani si mzinzi ndani ya CCM?

JK tunamjua sana ni mtu wa majmbozi.

Mzee Mkapa naye ni mtu wa majmbozi na mke wa mtu

Former DC wa kinondoni.
Mwnyi nasikia sikia tu nilikuwa bado kinda.

Wanafunzi wa Jangwani waliwahi kumwita shemeji
Sijui alizaa na mwanafunzi?

Mikakati ya maendeleo 0%
Mikakati ya majambozi 100%

Hata hivyo,
hatuongozwi kwa bakora wala kitumbua.
Tunaongokwa kwa mawazo sahihi
 
Uzinzi na uongozi wapi na wapi bwana! Msitutishe, mbona Clinton alikua na Kashfa ya uzinifu lakini alikua kiongozi mzuri! Wewe ulidhani Dr Slaa siyo rijali ama! Anafaa hata kama ana hayo mapungufu!

Sent from my BlackBerry
 
Kilichotokea leo kati ya Dr Slaa na Rose Kamili si chema kwa MUSTAKABALI wa chama so ni vizuri WANACHAMA muanze kufikiria hatima ya chama na mgombea URAISI. Nimefikiri hili vizuri nimebaini mwisho wa SLAA utakuwa kama akina MREMA na LIPUMBA nao walijikuta katika kashfa kama hizo. Dr Slaa amezidi kidogo kwa kuwa amezini na rose kamili then amekuja kuzini na mushumbuzi huku akiwa ni Padri.Najua kuna kuteleza ila slaa alizidi.

So nashauiri tufikirie tuanze kujipanga kwa MGOMBEA URAIS ili tuanze kumshape huyo mgombea wetu mapema.Tukiendelea kumfikiria slaa ni kuendelea kupunguza kura 2015 kwani hataongeza kura tena bali zitapungua. Ni UKWELI usiopingika kwamba hakuna mtu asiyejua UJASIRI wa slaa lakini kwa sasa no way.

Pia ili kuondoa DHANA ya kukifanya chama kionekane cha kikatoliki kutokana na slaa kuwa PADRE.Mimi ni mkristo nisingependa nitawaliwe na SHEHE au MUFTI so hata WAISLAMU hawatajisikia vizuri kuongozwa na PADRE so ili kuepusha tafsiri kama hizo nashauri TUNDU LISU au ZITO KABWE waandaliwe kushika wajibu huo mapema kwani wao hawajawahi kuwa VIONGOZI WA KIDINI hivyo watakubalika na pande zote WAISLAM na WAKRISTO.

Ni vizuri tujue kwamba baada ya UCHAGUZI UJAO KAMA Chadema hakitashinda kitakachofuata ni MIGOGORO NA KUSAMBARATIKA REJEA NCCR na CUF. CHAMA kikishafika kileleni-piki kisipopata USHINDI kinaanza kuandamwa na mizozo so tujiandae.Mungu ibariki CHADEMA.

wote watamu wewe, lakini mushumbusi ni zaidi
 
Uzinzi na uongozi wapi na wapi bwana! Msitutishe, mbona Clinton alikua na Kashfa ya uzinifu lakini alikua kiongozi mzuri! Wewe ulidhani Dr Slaa siyo rijali ama! Anafaa hata kama ana hayo mapungufu!

Sent from my BlackBerry

mbona kikwete mpaka leo ana tuhuma za uzinzi, lakini ni kiongozi ingawa c kiongozi bora?
 
Katika upinzani Dr. Slaa ndiyo tishio kubwa, lililopo na dhahiri kwa CCM kuelekea 2015 kuliko mtu mwingine. CCM wanalijua hili na mtu yeyote anayefuatilia siasa za Tanzania analijua hilo. Itatafutwa 'SABABU NYINGINE YOYOTE' ili kuhakikisha kuwa Dr. Slaa hawi mgombea mwaka 2015.
 
Kilichotokea leo kati ya Dr Slaa na Rose Kamili si chema kwa MUSTAKABALI wa chama so ni vizuri WANACHAMA muanze kufikiria hatima ya chama na mgombea URAISI. Nimefikiri hili vizuri nimebaini mwisho wa SLAA utakuwa kama akina MREMA na LIPUMBA nao walijikuta katika kashfa kama hizo. Dr Slaa amezidi kidogo kwa kuwa amezini na rose kamili then amekuja kuzini na mushumbuzi huku akiwa ni Padri.Najua kuna kuteleza ila slaa alizidi.

So nashauiri tufikirie tuanze kujipanga kwa MGOMBEA URAIS ili tuanze kumshape huyo mgombea wetu mapema.Tukiendelea kumfikiria slaa ni kuendelea kupunguza kura 2015 kwani hataongeza kura tena bali zitapungua. Ni UKWELI usiopingika kwamba hakuna mtu asiyejua UJASIRI wa slaa lakini kwa sasa no way.

Pia ili kuondoa DHANA ya kukifanya chama kionekane cha kikatoliki kutokana na slaa kuwa PADRE.Mimi ni mkristo nisingependa nitawaliwe na SHEHE au MUFTI so hata WAISLAMU hawatajisikia vizuri kuongozwa na PADRE so ili kuepusha tafsiri kama hizo nashauri TUNDU LISU au ZITO KABWE waandaliwe kushika wajibu huo mapema kwani wao hawajawahi kuwa VIONGOZI WA KIDINI hivyo watakubalika na pande zote WAISLAM na WAKRISTO.

Ni vizuri tujue kwamba baada ya UCHAGUZI UJAO KAMA Chadema hakitashinda kitakachofuata ni MIGOGORO NA KUSAMBARATIKA REJEA NCCR na CUF. CHAMA kikishafika kileleni-piki kisipopata USHINDI kinaanza kuandamwa na mizozo so tujiandae.Mungu ibariki CHADEMA.

Nikianzia hapo kwenye rangi ya kijani, kama haya uliyosema yanatokana na kufikiri kwako vizuri, basi fanya haraka umuone DR wa magonjwa ya akili. hapo kwenye redi aliyekushauri amekupotosha, DR Slaa tunamhitaji awe raisi wa TZ wote wenye dini na wasio na dini, kwasababu raisi haendi kusoma misa ikulu. Halafu nyie magamba kama tukitaka kuangalia maisha ya mtu binafsi ninani aliyesalama? Hapo kwenye bluu, najua kuwa DR Slaa anawapa tabu sana, hamlali, mnakesha kufikiri namna ya kummaliza, ndiomaana mnasuka mipango ya kumuua. hivyo usipoteze muda kwa mbinu yako mselegeso namna hii. Halafu hii tabia yenu nyie magamba ya kupandikiza udini baada ya kufilisika kisiasa italiangamiza taifa. msilazimishe kukubalika kama mmekatalika.TANZANIA inawezekana bila nyie Magamba.Mwisho natoa ushauri wa bure kwenu magamba. kama kweli mna nia njema na chama chenu kisaidieni kiondoke madarakani ili kipate muda wa kujisuka upya.
 
Mchangiaji naomba usitaje swala la dhambi (uzinifu), "asiye..... na awe wa kwanza kumrushia jiwe.....". Hiyo unayoisema ni technique ya wanasiasa kuonyesha kuwa ni 'big deal', hicho kinachozungumzia. binafsi unitajia wasafi sana katika hao waliopo na watakaokuja nitakusikiliza. Kwa kifupi hicho unachokitumia si sahihi, wala watanzania sasa hivi hatuko huko, tuko kwenye utawala bora, uzalendo, maendeo ya nchi na wananchi n.k
ukitaka kuzungumzia hizo unazozileta nitakuhakikishia kuwa wengine ni worse
 
Kilichotokea leo kati ya Dr Slaa na Rose Kamili si chema kwa MUSTAKABALI wa chama so ni vizuri WANACHAMA muanze kufikiria hatima ya chama na mgombea URAISI. Nimefikiri hili vizuri nimebaini mwisho wa SLAA utakuwa kama akina MREMA na LIPUMBA nao walijikuta katika kashfa kama hizo. Dr Slaa amezidi kidogo kwa kuwa amezini na rose kamili then amekuja kuzini na mushumbuzi huku akiwa ni Padri.Najua kuna kuteleza ila slaa alizidi.

So nashauiri tufikirie tuanze kujipanga kwa MGOMBEA URAIS ili tuanze kumshape huyo mgombea wetu mapema.Tukiendelea kumfikiria slaa ni kuendelea kupunguza kura 2015 kwani hataongeza kura tena bali zitapungua. Ni UKWELI usiopingika kwamba hakuna mtu asiyejua UJASIRI wa slaa lakini kwa sasa no way.

Pia ili kuondoa DHANA ya kukifanya chama kionekane cha kikatoliki kutokana na slaa kuwa PADRE.Mimi ni mkristo nisingependa nitawaliwe na SHEHE au MUFTI so hata WAISLAMU hawatajisikia vizuri kuongozwa na PADRE so ili kuepusha tafsiri kama hizo nashauri TUNDU LISU au ZITO KABWE waandaliwe kushika wajibu huo mapema kwani wao hawajawahi kuwa VIONGOZI WA KIDINI hivyo watakubalika na pande zote WAISLAM na WAKRISTO.

Ni vizuri tujue kwamba baada ya UCHAGUZI UJAO KAMA Chadema hakitashinda kitakachofuata ni MIGOGORO NA KUSAMBARATIKA REJEA NCCR na CUF. CHAMA kikishafika kileleni-piki kisipopata USHINDI kinaanza kuandamwa na mizozo so tujiandae.Mungu ibariki CHADEMA.

Elu ni urere...kwifo dede nta kinyo fo
 
mkuu bora mzinifu anayependa nchi yake na kuionea huruma au bora mtakatifu anayeuza nchi yake??wabongo mmechanganyikiwa nyie,mmelogwa hamjui mlikotolewa wala mnakopelekwa
Kitovu cha taifa lolote ni taifa, huwezi kuparanganisha familia yako na ya mwingine pamoja na kutelekeza watoto halafu ukajidai unaipenda Tanzania. Hata hao watoto aliowatelekeza ni Watanzania vilevile na upendo wa kweli unatakiwa kuanzia nyumbani. Bado naona huyu jamaa ana mgogoro mkubwa wa kimaadili
 
kwa hoja hii tu, unaonekana ni mgumu kuelewa ata shule yako utakua ulirudia sana vidato na chuo ulisap sana kama ulifika lakin, cjui ulipata feki? so hutamwelewa slaa mkuu wewe utawaelewa kina wilson mukam na NAPE wenye bongo tope kama Yako. ASANTE

Kweli wewe ni popo bawa kama akili zako zilivyo..maana kwa upeo wako mdogo unamwelewa mropokaji kama slaa..blah blah blah blah..being honest i never understood that man..namwona kama ana mapepo flani vile..but namwelewa kwa mbaaali Mnyika,
 
Hivi ningependa kuuliza, hasa kwa wale ambao ni wanachama na wanaharakati wa CDM kwani mchakato wa kuchagua mgombea urais kwa CDM ukoje? Nina maana je huyo mgombea i.e. Slaa safari iliyopita au Mbowe kabla yake alichaguliwaje, kuna kamati maalum au ni halmashauri au kura ya maoni? wengi tunajua jinsi CCM inavyochagua maana huwa kwenye magazeti na Tv, ila mimi kwa kweli sikumbuki namna CDM inavyofikia kuchagua mtu wao. Kuna kipindi watu wlimjia juu Zitto aliposema kuwa ana nia ya kugombea next time akapigwa chini na kufungwa mdomo na mwenyekiti wao.

Ni vyema kwa CDM ikaweka wazi mchakato wao wa namna ya kuchagua mgombea urais wao na huo mchakato uwe wa kidemokrasia na kuruhusu mwanachama wao yeyote anyependa kugombea agombee, na sio ku assume tu kuwa ni lazima awe Slaa au Mbowe kwani wengine wenye uwezo hakuna wanaotaka?
 
CDM hata wakikusimamisha ww 2015 wanashinda acha nidhamu za uoga viongozi wote wanzinzi duniani wanakashifa za uzinzi
 
Kilichotokea leo kati ya Dr Slaa na Rose Kamili si chema kwa MUSTAKABALI wa chama so ni vizuri WANACHAMA muanze kufikiria hatima ya chama na mgombea URAISI. Nimefikiri hili vizuri nimebaini mwisho wa SLAA utakuwa kama akina MREMA na LIPUMBA nao walijikuta katika kashfa kama hizo. Dr Slaa amezidi kidogo kwa kuwa amezini na rose kamili then amekuja kuzini na mushumbuzi huku akiwa ni Padri.Najua kuna kuteleza ila slaa alizidi.

So nashauiri tufikirie tuanze kujipanga kwa MGOMBEA URAIS ili tuanze kumshape huyo mgombea wetu mapema.Tukiendelea kumfikiria slaa ni kuendelea kupunguza kura 2015 kwani hataongeza kura tena bali zitapungua. Ni UKWELI usiopingika kwamba hakuna mtu asiyejua UJASIRI wa slaa lakini kwa sasa no way.

Pia ili kuondoa DHANA ya kukifanya chama kionekane cha kikatoliki kutokana na slaa kuwa PADRE.Mimi ni mkristo nisingependa nitawaliwe na SHEHE au MUFTI so hata WAISLAMU hawatajisikia vizuri kuongozwa na PADRE so ili kuepusha tafsiri kama hizo nashauri TUNDU LISU au ZITO KABWE waandaliwe kushika wajibu huo mapema kwani wao hawajawahi kuwa VIONGOZI WA KIDINI hivyo watakubalika na pande zote WAISLAM na WAKRISTO.

Ni vizuri tujue kwamba baada ya UCHAGUZI UJAO KAMA Chadema hakitashinda kitakachofuata ni MIGOGORO NA KUSAMBARATIKA REJEA NCCR na CUF. CHAMA kikishafika kileleni-piki kisipopata USHINDI kinaanza kuandamwa na mizozo so tujiandae.Mungu ibariki CHADEMA.

Huko sio kuteleza huko ni kutumbukia kwenye lindi la ukosefu wa maadili. Nashangaa sana mtu kama huyu anakubalika eti kuwa mgombea wa Urais. Hizi kanuni za ugombeaji wa Urais lazima zirekebishwe.

Huyu kwa cv hiyo hata kazi ya ukarani simpi wacha ya kugombea Urais.
 
Back
Top Bottom