tehe tehe tehe,mfumo ISLAM naupenda ndio njia mbadala ya mfumo kristo ulioasisiwa na magamba kuanzia kwa Baba wa kanisa Nyerere mpaka sasa wakati wa utawala wa Mr.Dhaifu.
Kama CCM imeweza kupandikiza mpaka naibu katibu mkuu,makumu mwenyekiti taifa,makumu mwenyekiti BAVICHA,na sasa mkurugenzi wa usalama wa CDM basi huko CDM kumejaa mapindikizi ya CCM.Nilisahau kulikuwa na uvumi ya kwamba Padri Slaa naye ni pandikzi maana na kadi ya CCM.
Wachumia matumbo wantabu sana.Chezea watu wanaoabudu maslahi yao wewe,watawaandamanisha na kuwaingiza kwenye vita kwa maslahi yao,Muone Maalimu Seifu kule Zanzibar,wajinga ndio wali wao
Hayo ni mapandikizi excellent manake CCM suruali zinawabana hamkohoi hamnywi munaeneshwa puta puta kama sio mapandikizi wachina leo wangeshapeleka Bomba la Gesi Msata kwa Kikwete ,Bila mapandikizi ungekuta Pinda hazomewi Mwanza,Bila mapandikizi ungekuta Salma hapopotolewi mawe Tunduma Mbeya,Bila Mapandikizi ungekuta Vuai hazomewi Tunduma bila mapandikizi ungekuta Ngereja hazomewi shinyanga ,Mapandikizi ndani ya chadema hoyeeee,kiboko cha CCM