Chadema hamuwatendei haki wana arusha

NOT ENOUGH

JF-Expert Member
Dec 8, 2010
596
307
Madiwani wa Chadema wakiongozwa na Mbunge Lema wanasusia vikao vya baraza la madiwani katika manispaa. Mara ya mwisho walisusia kikao cha budget and this was very wrong kwasababu decisions zinafanyika in their absence sababu tu koramu inakuwa imetimia.

Hii ni mbaya zaidi kuliko hata kuhudhuria kwasababu maamuzi yanaendelea kufanywa na madiwani wa CCM ambao hatuna imani nao. Nafahamu kuna baadhi ya madiwani wa chadema pia wao wenyewe hawapendi mgomo huu ila inakuwa ngumu kwenda kinyume na wenzao. Hii naifananisha na ile ya Zitto na wengine kuto unga mkono wabunge wa chadema kususia hotuba ya Kikwete.

Pls - kaeni chini muone ni vipi mnaweza peleka hii move ya Umeya kisheria na sio kususia vikao muhimu kwani mnatunyima haki yetu ya maendeleo.
 
Kama hujatumwa na mafisadi ni vizuri lakini kinachotangulia ni haki kwanza.............huwezi kuhalalisha uhuni wa ccm kwa chadema kutosusia vikao........baadaye ccm walivyo wanafiki watasema mnaenda vp mahakamani wakati mnashiriki kwenye vikao na maamuzi yote muhimu..............haki sisi wana chadema tunapongeza maamuzi yao na tupo nyuma yao mpaka ccm na kikwete waelewe kuwa watz wa sasa sio wale wa kuburuzwa
 
Acha kutuzuga wewe unadhani sisi ni mabwege? Hebu tueleze lini kolamu ilitimia???

Kwanza unatakiwa kujua jumla ya madiwani ni wangapi. CCM+CDM+TLP then koramu ni percentage gani.
Try to find out kikao cha budget madiwani wote waliohudhuria halafu utoe wmadiwani wetu wa CDM ndo utajua kama koramu ilitumia au la.
 
Kama hujatumwa na mafisadi ni vizuri lakini kinachotangulia ni haki kwanza.............huwezi kuhalalisha uhuni wa ccm kwa chadema kutosusia vikao........baadaye ccm walivyo wanafiki watasema mnaenda vp mahakamani wakati mnashiriki kwenye vikao na maamuzi yote muhimu..............haki sisi wana chadema tunapongeza maamuzi yao na tupo nyuma yao mpaka ccm na kikwete waelewe kuwa watz wa sasa sio wale wa kuburuzwa

Mahakamani kesi ya nini?
 
Madiwani wa Chadema wakiongozwa na Mbunge Lema wanasusia vikao vya baraza la madiwani katika manispaa. Mara ya mwisho walisusia kikao cha budget and this was very wrong kwasababu decisions zinafanyika in their absence sababu tu koramu inakuwa imetimia.

Hii ni mbaya zaidi kuliko hata kuhudhuria kwasababu maamuzi yanaendelea kufanywa na madiwani wa CCM ambao hatuna imani nao. Nafahamu kuna baadhi ya madiwani wa chadema pia wao wenyewe hawapendi mgomo huu ila inakuwa ngumu kwenda kinyume na wenzao. Hii naifananisha na ile ya Zitto na wengine kuto unga mkono wabunge wa chadema kususia hotuba ya Kikwete.

Pls - kaeni chini muone ni vipi mnaweza peleka hii move ya Umeya kisheria na sio kususia vikao muhimu kwani mnatunyima haki yetu ya maendeleo.

Nakushauri bure. Wewe kawashitaki madiwani na mbunge wa Arusha mjini kwenye mahakama ya CCM labda watakupa haki.
 
madiwani wetu wa CDM

ACHA USHAKUNAKU, UNAFIKI, UZANDIKI, USHANKUMPEPE WEWE. CDM HAINA WANACHAMA WAJINGA KAMA WEWE HUNA DIWANI NDANI YA CDM.
 
madiwani wa chadema wakiongozwa na mbunge lema wanasusia vikao vya baraza la madiwani katika manispaa. Mara ya mwisho walisusia kikao cha budget and this was very wrong kwasababu decisions zinafanyika in their absence sababu tu koramu inakuwa imetimia.

Hii ni mbaya zaidi kuliko hata kuhudhuria kwasababu maamuzi yanaendelea kufanywa na madiwani wa ccm ambao hatuna imani nao. Nafahamu kuna baadhi ya madiwani wa chadema pia wao wenyewe hawapendi mgomo huu ila inakuwa ngumu kwenda kinyume na wenzao. Hii naifananisha na ile ya zitto na wengine kuto unga mkono wabunge wa chadema kususia hotuba ya kikwete.

Pls - kaeni chini muone ni vipi mnaweza peleka hii move ya umeya kisheria na sio kususia vikao muhimu kwani mnatunyima haki yetu ya maendeleo.



mara ya mwisho kupima akili yako ni lini?
 
Wakati raisi feki wa Ivory Cost Gabo akijitangazia madaraka shughuli zote na uuzaji wa kakao ulicmama uku ukitambua ndilo linalowaingizia pato la taifa so sioni ajabu cdm wakigoma mpaka uyo aliyejipa madaraka atoke.
 
Madiwani wa Chadema wakiongozwa na Mbunge Lema wanasusia vikao vya baraza la madiwani katika manispaa. Mara ya mwisho walisusia kikao cha budget and this was very wrong kwasababu decisions zinafanyika in their absence sababu tu koramu inakuwa imetimia.

Hii ni mbaya zaidi kuliko hata kuhudhuria kwasababu maamuzi yanaendelea kufanywa na madiwani wa CCM ambao hatuna imani nao. Nafahamu kuna baadhi ya madiwani wa chadema pia wao wenyewe hawapendi mgomo huu ila inakuwa ngumu kwenda kinyume na wenzao. Hii naifananisha na ile ya Zitto na wengine kuto unga mkono wabunge wa chadema kususia hotuba ya Kikwete.

Pls - kaeni chini muone ni vipi mnaweza peleka hii move ya Umeya kisheria na sio kususia vikao muhimu kwani mnatunyima haki yetu ya maendeleo.
Ur slave,na unatumika, unazngua.
 
Huyu jamaa anajidai CDM lakini nimefatilia thread zake alizo anzisha naona katumwa...
 
Not enough jana ulikuja na thread ya ajabu ukashindwa kujenga hoja,mwisho ukaanza kusema et waenda kumwandalia mr maji,inaonekana wewe bila kuisema chadema siku haijatimia
kimsingi wewe ni mpotoshaji wa makusudi kabisa,
1.je una hakika koramu ilitimia?na kama ilitimia je ni ngapi?
2.Je wajua kanuni inasemaje?
 
Not enough jana ulikuja na thread ya ajabu ukashindwa kujenga hoja,mwisho ukaanza kusema et waenda kumwandalia mr maji,inaonekana wewe bila kuisema chadema siku haijatimia
kimsingi wewe ni mpotoshaji wa makusudi kabisa,
1.je una hakika koramu ilitimia?na kama ilitimia je ni ngapi?
2.Je wajua kanuni inasemaje?

Nanyaro wewe ukiwa kama Diwani sema kama mnayofanya ni haki kwa SISI wapiga kura, kumbuka nyie interest yenu ni umeya ila wananchi tunaangalia overall if the move helps us or not.
 
Not enough jana ulikuja na thread ya ajabu ukashindwa kujenga hoja,mwisho ukaanza kusema et waenda kumwandalia mr maji,inaonekana wewe bila kuisema chadema siku haijatimia
kimsingi wewe ni mpotoshaji wa makusudi kabisa,
1.je una hakika koramu ilitimia?na kama ilitimia je ni ngapi?
2.Je wajua kanuni inasemaje?

Mh. diwani wa levolosi jijini Arusha. Diwani wangu. Huna sababu ya kumjibu huyu jamaa kwasababu ni mamluki wa ccm waliotumwa na msekwa humu jf. Hafahamu madiwani wapo wangapi na forum ili itimie inahijajika idadi gani. Anatumiwa na anatumika vibaya!.
 
Madiwani wa Chadema wakiongozwa na Mbunge Lema wanasusia vikao vya baraza la madiwani katika manispaa. Mara ya mwisho walisusia kikao cha budget and this was very wrong kwasababu decisions zinafanyika in their absence sababu tu koramu inakuwa imetimia.

Hii ni mbaya zaidi kuliko hata kuhudhuria kwasababu maamuzi yanaendelea kufanywa na madiwani wa CCM ambao hatuna imani nao. Nafahamu kuna baadhi ya madiwani wa chadema pia wao wenyewe hawapendi mgomo huu ila inakuwa ngumu kwenda kinyume na wenzao. Hii naifananisha na ile ya Zitto na wengine kuto unga mkono wabunge wa chadema kususia hotuba ya Kikwete.

Pls - kaeni chini muone ni vipi mnaweza peleka hii move ya Umeya kisheria na sio kususia vikao muhimu kwani mnatunyima haki yetu ya maendeleo.

Hawa si ndio wale madiwani ambao kwenye kikao cha bajeti walikuja wakasaini majina yao kuwa wapo kikaoni, halafu wakatoka wakati kikao kinaendelea , kilipokwisha jamaa wakaja kuchukua posho zao hao wakasepa . Nyie mnadhania mmechagua watu kumbe viatu, hasara yenu hiyo wana arusha
 
Kwanza unatakiwa kujua jumla ya madiwani ni wangapi. CCM+CDM+TLP then koramu ni percentage gani.
Try to find out kikao cha budget madiwani wote waliohudhuria halafu utoe wmadiwani wetu wa CDM ndo utajua kama koramu ilitumia au la.
Mkuu kabla hujajenga hoja fanya utafiti, column kwenye vikao vya madiwani haitimii kwa kucalculate percentage ya waliohudhuria, kolam inaangalia ni sehemu ngapi ya wajumbe imehudhuria na kwa hili la madiwani inatakiwa zaidi ya theluthi 2 yaani zaidi ya mbili ya tatu ya wajumbe au kwa lugha ya hisabati >2/3 ya wajumbe sasa kwa idadi ya madiwani wa Arusha madiwani 16 wa CDM wasipohudhuria kikao kinakuwa na CCM madiwani 17, TLP 1 jumla ni 18 sasa kwa hesabu zako 18 ni sehemu ngapi ya 34?. Halafu sema hiyo kolamu imetimiaje!
 
enough ni jinga sana halina akili linajaza thread za kipuuzi hapa sjui mod huyu mnamuonaje anakidhi kweli matakwa au mmelala anajaza server bure mtu mzima hovyo
 
Tupo na wapiganaji wetu najua CCM munapindisha sheria mukidhani wanaArusha tutachoka kawaambie tumedhamiria hakuna haki yetu itakayoporwa,Meya feki,bini meya kubambikizwa,bini meya mfumo dhuruma Arusha hakai na hatakaa mpaka uchaguzi urudiwe kwa namna yeyote ile hatutakubali haki yetu kuzikwa
 
Back
Top Bottom