NOT ENOUGH
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 596
- 307
Madiwani wa Chadema wakiongozwa na Mbunge Lema wanasusia vikao vya baraza la madiwani katika manispaa. Mara ya mwisho walisusia kikao cha budget and this was very wrong kwasababu decisions zinafanyika in their absence sababu tu koramu inakuwa imetimia.
Hii ni mbaya zaidi kuliko hata kuhudhuria kwasababu maamuzi yanaendelea kufanywa na madiwani wa CCM ambao hatuna imani nao. Nafahamu kuna baadhi ya madiwani wa chadema pia wao wenyewe hawapendi mgomo huu ila inakuwa ngumu kwenda kinyume na wenzao. Hii naifananisha na ile ya Zitto na wengine kuto unga mkono wabunge wa chadema kususia hotuba ya Kikwete.
Pls - kaeni chini muone ni vipi mnaweza peleka hii move ya Umeya kisheria na sio kususia vikao muhimu kwani mnatunyima haki yetu ya maendeleo.
Hii ni mbaya zaidi kuliko hata kuhudhuria kwasababu maamuzi yanaendelea kufanywa na madiwani wa CCM ambao hatuna imani nao. Nafahamu kuna baadhi ya madiwani wa chadema pia wao wenyewe hawapendi mgomo huu ila inakuwa ngumu kwenda kinyume na wenzao. Hii naifananisha na ile ya Zitto na wengine kuto unga mkono wabunge wa chadema kususia hotuba ya Kikwete.
Pls - kaeni chini muone ni vipi mnaweza peleka hii move ya Umeya kisheria na sio kususia vikao muhimu kwani mnatunyima haki yetu ya maendeleo.