Chadema hamkuidhania?mlidhani ni NCCR MAGEUZI,TLP,CUF??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Mlidhania nichama cha chamchezo?
Nichama chenye weredi tazama sasa CCM mnavyo hangaika mnarushiana makombora mara huyu aliniambia hili mara lile,Hata huyo Katibu Mkuu aliyechaghuliwa naona anashindwa kuwakemea au kuwavua uanachama!Bado mnaweweseka!Wewe unacheza na CHADEMA weye!
 
Nashangaa haya magamba yananyimwa usingizi na chama cha msimu.

:dance::dance::dance:Mkuu chama chote kimejaa magamba sasa wa hofu kuwafukuza walotajwa sababu wanajua watawalipua hao wanaojiona sio magamba:dance::dance::dance:
 
Tatizo kuvua magamba wakati hayajawa reached lazima utokwe ngozi naupate infection!
 
jk nenden kujibu hoja lukuv adai vitendo huku pia anajibu,walakin wa kumfunda mke akiwakaolewa!ee semina teketeza mal za umma,hongera jk kwa ubunifu wa mlo kwa wavivuwe
 
Back
Top Bottom