KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mlidhania nichama cha chamchezo?
Nichama chenye weredi tazama sasa CCM mnavyo hangaika mnarushiana makombora mara huyu aliniambia hili mara lile,Hata huyo Katibu Mkuu aliyechaghuliwa naona anashindwa kuwakemea au kuwavua uanachama!Bado mnaweweseka!Wewe unacheza na CHADEMA weye!
Nichama chenye weredi tazama sasa CCM mnavyo hangaika mnarushiana makombora mara huyu aliniambia hili mara lile,Hata huyo Katibu Mkuu aliyechaghuliwa naona anashindwa kuwakemea au kuwavua uanachama!Bado mnaweweseka!Wewe unacheza na CHADEMA weye!