johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,038
Ni jambo jema labda siasa za Taifa letu zitabadilika kidogo.
Ikumbukwe mwenyekiti wa TLP alikuwa hayati Mrema Nccr Mageuzi alikuwa James Mbatia na CHADEMA ni Mbowe ambaye alitangaza kutogombea tena.
Kusini kuchele.
Ikumbukwe mwenyekiti wa TLP alikuwa hayati Mrema Nccr Mageuzi alikuwa James Mbatia na CHADEMA ni Mbowe ambaye alitangaza kutogombea tena.
Kusini kuchele.