CHADEMA hali ni mbaya tia maji!

CHADEMA imepoteza mvuto chadema ni sawa na mtu anayekata roho kurusha miguu na mikono ni kawaida yake, CHADEMA ilivamia suala la Dp world likabuma,wakaja na mchongo wa operation katiba imebuma wananchi wamechuna.

Wakavamia agenda ya umeme imebuma raisi kipenzi amewaambia ukweli wananchi wameelewa kiini cha tatizo.

Haitoshi walipoona slaa na kundi lao wanawazidi umaarufu na kuteka agenda wakapita mlango wa nyuma wakafanya yao mpaka leo hii wakina mdude hawajui mchawi ni nani.

Ghafla wakarukia makonda hata sijui anawahusu nini naye ni mwenezi wa ccm, wakajaribu kutengeneza movie la baharia macmuga wa ubelgiji eti amefanya ziara marekani ikabuma.

Ghafla macmuga yupo segera anahutubia wananchi wamemchunia akabwabwaja sana kwa hasira kawaida huja kwa mbwembwe airport hupokelewa kwa maandamano na misafara ya magari na pikipiki mwenyekiti kagoma kuidhinisha pesa ya mapokezi.

Wakatengeneza kipande cha movie mnyika ziarani sijui wapi wakati ni mambo ya kawaida .
Sasa wamevamiwa tukio la maafa kama la kutafutia kiki mara barua ya rambirambi mara mwenyekiti mfalume mswati kufanya ziara hanang yaani hawana pa kushika.

Ushauri wa bure chadema inahitaji viongozi wapya waliokuwepo wamedumaza chama hakina maendeleo hata jengo lenye hadhi ya ofisi ni mtihani.

Lissu yupo mjini lakini kama hayupo.

Tume ya uchaguzi itisheni uchaguzi haraka tuwachakaze mapema asubuhi!
Kwamba Mdude na Mwabukusi walikamatwa na CHADEMA? Hivi kuna watoto wànasema Wana mzazi Fala kama wewe?
 
Slaa alitaka kurudi chadema kwa mgongo wa bandari. Wakamchunia amejifia kama lipumba
 
CHADEMA imepoteza mvuto chadema ni sawa na mtu anayekata roho kurusha miguu na mikono ni kawaida yake, CHADEMA ilivamia suala la Dp world likabuma,wakaja na mchongo wa operation katiba imebuma wananchi wamechuna.

Wakavamia agenda ya umeme imebuma raisi kipenzi amewaambia ukweli wananchi wameelewa kiini cha tatizo.

Haitoshi walipoona slaa na kundi lao wanawazidi umaarufu na kuteka agenda wakapita mlango wa nyuma wakafanya yao mpaka leo hii wakina mdude hawajui mchawi ni nani.

Ghafla wakarukia makonda hata sijui anawahusu nini naye ni mwenezi wa ccm, wakajaribu kutengeneza movie la baharia macmuga wa ubelgiji eti amefanya ziara marekani ikabuma.

Ghafla macmuga yupo segera anahutubia wananchi wamemchunia akabwabwaja sana kwa hasira kawaida huja kwa mbwembwe airport hupokelewa kwa maandamano na misafara ya magari na pikipiki mwenyekiti kagoma kuidhinisha pesa ya mapokezi.

Wakatengeneza kipande cha movie mnyika ziarani sijui wapi wakati ni mambo ya kawaida.

Sasa wamevamiwa tukio la maafa kama la kutafutia kiki mara barua ya rambirambi mara mwenyekiti mfalume mswati kufanya ziara hanang yaani hawana pa kushika.

Ushauri wa bure chadema inahitaji viongozi wapya waliokuwepo wamedumaza chama hakina maendeleo hata jengo lenye hadhi ya ofisi ni mtihani.

Lissu yupo mjini lakini kama hayupo.

Tume ya uchaguzi itisheni uchaguzi haraka tuwachakaze mapema asubuhi!
Kwani chadema ikifa we si ndo unafurahia. Sasa unasoneloneka nini
 
CHADEMA imepoteza mvuto chadema ni sawa na mtu anayekata roho kurusha miguu na mikono ni kawaida yake, CHADEMA ilivamia suala la Dp world likabuma,wakaja na mchongo wa operation katiba imebuma wananchi wamechuna.

Wakavamia agenda ya umeme imebuma raisi kipenzi amewaambia ukweli wananchi wameelewa kiini cha tatizo.

Haitoshi walipoona slaa na kundi lao wanawazidi umaarufu na kuteka agenda wakapita mlango wa nyuma wakafanya yao mpaka leo hii wakina mdude hawajui mchawi ni nani.

Ghafla wakarukia makonda hata sijui anawahusu nini naye ni mwenezi wa ccm, wakajaribu kutengeneza movie la baharia macmuga wa ubelgiji eti amefanya ziara marekani ikabuma.

Ghafla macmuga yupo segera anahutubia wananchi wamemchunia akabwabwaja sana kwa hasira kawaida huja kwa mbwembwe airport hupokelewa kwa maandamano na misafara ya magari na pikipiki mwenyekiti kagoma kuidhinisha pesa ya mapokezi.

Wakatengeneza kipande cha movie mnyika ziarani sijui wapi wakati ni mambo ya kawaida.

Sasa wamevamiwa tukio la maafa kama la kutafutia kiki mara barua ya rambirambi mara mwenyekiti mfalume mswati kufanya ziara hanang yaani hawana pa kushika.

Ushauri wa bure chadema inahitaji viongozi wapya waliokuwepo wamedumaza chama hakina maendeleo hata jengo lenye hadhi ya ofisi ni mtihani.

Lissu yupo mjini lakini kama hayupo.

Tume ya uchaguzi itisheni uchaguzi haraka tuwachakaze mapema asubuhi!
😂😂😂
 
Back
Top Bottom