CHADEMA hali ni mbaya tia maji!

CHADEMA hali ni mbaya tia maji!

Refa wenu, uwanja wenu, mashindano muanzishe ninyi, unahisi ubingwa atabe Nani??
unadhani hiyo itafanya muhurumiwe kwenye debe 🤣
Thubutu!!!

Soma historia na chimbuko la siasa za vyama vingi ulimwenguni fanya na kautafiti kidogo

utakuta hiyo ni kilio isiyo na mfariji na haisaidii hata kidogo.
Ipo hivyo na itaendelea kua hivyo bila wasi
 
unadhani hiyo itafanya muhurumiwe kwenye debe 🤣
Thubutu!!!

Soma historia na chimbuko la siasa za vyama vingi ulimwenguni fanya na kautafiti kidogo

utakuta hiyo ni kilio isiyo na mfariji na haisaidii hata kidogo.
Ipo hivyo na itaendelea kua hivyo bila wasi
Ahsante kwa utambuzi wa mdomoni
 
CHADEMA ni chama cha Makasiriko, Susa Susa, Visasi, na Vinyongo

Radio
FM
0 Megaherts

Wanywe maji kweli kweli. Washakabwa makoo
 
Chadema imepoteza mvuto chadema ni sawa na mtu anayekata roho kurusha miguu na mikono ni kawaida yake, Chadema ilivamia suala la Dp world likabuma,wakaja na mchongo wa operation katiba imebuma wananchi wamechuna.

Wakavamia agenda ya umeme imebuma raisi kipenzi amewaambia ukweli wananchi wameelewa kiini cha tatizo.

Haitoshi walipoona slaa na kundi lao wanawazidi umaarufu na kuteka agenda wakapita mlango wa nyuma wakafanya yao mpaka leo hii wakina mdude hawajui mchawi ni nani.

Ghafla wakarukia makonda hata sijui anawahusu nini naye ni mwenezi wa ccm, wakajaribu kutengeneza movie la baharia macmuga wa ubelgiji eti amefanya ziara marekani ikabuma.

Ghafla macmuga yupo segera anahutubia wananchi wamemchunia akabwabwaja sana kwa hasira kawaida huja kwa mbwembwe airport hupokelewa kwa maandamano na misafara ya magari na pikipiki mwenyekiti kagoma kuidhinisha pesa ya mapokezi.

Wakatengeneza kipande cha movie mnyika ziarani sijui wapi wakati ni mambo ya kawaida .
Sasa wamevamiwa tukio la maafa kama la kutafutia kiki mara barua ya rambirambi mara mwenyekiti mfalume mswati kufanya ziara hanang yaani hawana pa kushika.

Ushauri wa bure chadema inahitaji viongozi wapya waliokuwepo wamedumaza chama hakina maendeleo hata jengo lenye hadhi ya ofisi ni mtihani.

Lissu yupo mjini lakini kama hayupo.

Tume ya uchaguzi itisheni uchaguzi haraka tuwachakaze mapema asubuhi!
Haya ndio matamanio ya Kila jizi la kura la ccm.
 
Naunga mkono watu kuchangia wahanga ila tunataka kamati huru ya kusimamia hii michango. Bado wananchi tuna maumivu makubwa na utafunwaji wa michango ya Join The Chain. Iteuliwe kamati maalum isiyohusisha yeyote aliyehusika na michango iliyopita. Viongozi waliopo ndani ya CHADEMA kwa sasa hawana uhalali wa kimaadili kuchangisha pesa kwasababu wana tuhuma za kutafuna michango.
Ile ya kule kagera vp

Ova
 
Utakayekuwa na timu bora uwanjani!
Si mlishasema mnatumia dola kubaki madarakani. Na uchaguzi ulopita kote mlishinda ninyi, haya basi waleteeni watanzania maendeleo. Kila ripoti ya CAG ikitoka Ni maumivu tu.😅
 
CHADEMA imepoteza mvuto chadema ni sawa na mtu anayekata roho kurusha miguu na mikono ni kawaida yake, CHADEMA ilivamia suala la Dp world likabuma,wakaja na mchongo wa operation katiba imebuma wananchi wamechuna.

Wakavamia agenda ya umeme imebuma raisi kipenzi amewaambia ukweli wananchi wameelewa kiini cha tatizo.

Haitoshi walipoona slaa na kundi lao wanawazidi umaarufu na kuteka agenda wakapita mlango wa nyuma wakafanya yao mpaka leo hii wakina mdude hawajui mchawi ni nani.

Ghafla wakarukia makonda hata sijui anawahusu nini naye ni mwenezi wa ccm, wakajaribu kutengeneza movie la baharia macmuga wa ubelgiji eti amefanya ziara marekani ikabuma.

Ghafla macmuga yupo segera anahutubia wananchi wamemchunia akabwabwaja sana kwa hasira kawaida huja kwa mbwembwe airport hupokelewa kwa maandamano na misafara ya magari na pikipiki mwenyekiti kagoma kuidhinisha pesa ya mapokezi.

Wakatengeneza kipande cha movie mnyika ziarani sijui wapi wakati ni mambo ya kawaida .
Sasa wamevamiwa tukio la maafa kama la kutafutia kiki mara barua ya rambirambi mara mwenyekiti mfalume mswati kufanya ziara hanang yaani hawana pa kushika.

Ushauri wa bure chadema inahitaji viongozi wapya waliokuwepo wamedumaza chama hakina maendeleo hata jengo lenye hadhi ya ofisi ni mtihani.

Lissu yupo mjini lakini kama hayupo.

Tume ya uchaguzi itisheni uchaguzi haraka tuwachakaze mapema asubuhi!
Kuwa chawa ni ajira rasmi kwa sasa hapa bongo. Unalipa kweli kweli uchawa
 
Maisha magumu wanavizia matukio hawana cha kuwambia wananchi!
Wamejaa matapishi kutwa kuwachonganisha wananchi na Wafu. Kukimbizana na makaburi and so forth..

Hawana ajenda za sera, bali ajenda za Kukashifu, Kuzodoa Kusengenya sengenya tu.

Hivi kweli mtu hana Ugali mezani unamwambia, eti ni kwasababu ya Katiba! Au Unamtusi, unamwambia kazi anayofanya kujipatia kipato sio kazi bali ni Laana! Ati Nyumba wanazoishi hazifikii viwango vya Wazungu! Mbula.

Sasa ndiyo hivyo, wanavizia vizia tu kama ulivyosema, wao badala ya kuhamasisha Wananchi, wanawadhihaki kwa kutoa misaada, nguvu na mda wao kuwaokoa wenzao Hanang. Yaani wameanza kwa kuwashutumu Polisi kwa kutoa ulinzi wa hali na mali kwenye Janga!


Bora huyu jinamizi wangu CCM Adumu tu.
 
CHADEMA imepoteza mvuto chadema ni sawa na mtu anayekata roho kurusha miguu na mikono ni kawaida yake, CHADEMA ilivamia suala la Dp world likabuma,wakaja na mchongo wa operation katiba imebuma wananchi wamechuna.

Wakavamia agenda ya umeme imebuma raisi kipenzi amewaambia ukweli wananchi wameelewa kiini cha tatizo.

Haitoshi walipoona slaa na kundi lao wanawazidi umaarufu na kuteka agenda wakapita mlango wa nyuma wakafanya yao mpaka leo hii wakina mdude hawajui mchawi ni nani.

Ghafla wakarukia makonda hata sijui anawahusu nini naye ni mwenezi wa ccm, wakajaribu kutengeneza movie la baharia macmuga wa ubelgiji eti amefanya ziara marekani ikabuma.

Ghafla macmuga yupo segera anahutubia wananchi wamemchunia akabwabwaja sana kwa hasira kawaida huja kwa mbwembwe airport hupokelewa kwa maandamano na misafara ya magari na pikipiki mwenyekiti kagoma kuidhinisha pesa ya mapokezi.

Wakatengeneza kipande cha movie mnyika ziarani sijui wapi wakati ni mambo ya kawaida .
Sasa wamevamiwa tukio la maafa kama la kutafutia kiki mara barua ya rambirambi mara mwenyekiti mfalume mswati kufanya ziara hanang yaani hawana pa kushika.

Ushauri wa bure chadema inahitaji viongozi wapya waliokuwepo wamedumaza chama hakina maendeleo hata jengo lenye hadhi ya ofisi ni mtihani.

Lissu yupo mjini lakini kama hayupo.

Tume ya uchaguzi itisheni uchaguzi haraka tuwachakaze mapema asubuhi!
Kuongea kwako wewe ndio mvuto wenyewe!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom