CHADEMA haitakufa kwa uroho wa kugombea uongozi...

mkuu ulitaka kumzungumzia dr slaa au chadema na uimra wake? au alitaka kuzungumzia wanaotaka madaraka ndani ya chadema na madhara ya wao kutaka hivi ukileta maada hii nayo unasubiri ijadiliwe au ulilenga kuipeleka face book ukajikuta umeiweka humu jf kuna majukwaa mengi hoja zingine tutazifungulia ziwe zinwekwa jukwaa la majungu
 
CHADEMA ni chama kilichojisukuma mbele kwa kasi nzuri. Mategemeo ya Chama hicho nio makubwa kuliko uwezo wake. Kwa vile uwezo wa CHADEMA unakuwa siku hata siku kijiografia na ukubwa wa changamoto hukuwa vile vile. Kuna wanaodhani changamoto kubwa sana inayokumbana nayo CHADEMA ni uroho wa kugombania uongozi ndani ya chama hicho. Hakika UROHO si tatizo kubwa, tatizo lipo katika Ujengaji wa Demokrasia uendao sambamba na ukuaji wa chama.

Tatizo la Demokrasia ndani ya CHAMA ndio kaburi la chama hicho. Hili si geni na linafahamika ndani na nje ya chama. Kimsingi kila mwanachama aliyetimiza masharti husika, anauwezo wa kugombea nafasi yeyote ya uongozi ndani ya chama toka udiwani mpaka Urais. Si ajabu hata kama waliodhamiria na kuchukua fomu ya kugombea Urais wakawa 30. Cha msingi hapa ni jinsi au njia gani ya kumpata mgombea mmoja atayekiwakilisha chama iwe katika nafasi ya Ubunge, ubunge wa kuteuliwa, Urais na kadhalika. Huu ndio mtihani ambao CHADEMA hautaupita hata siku moja, na ndio mwisho wa mbio za chama hicho cha Maendeleo.

Mh Slaa aka Dr Slaa ni daktari wa theolijia aliokuzwa na kusomeshwa na kanisa na hata kulitumikia kama Padre. Huyu miakayote amefundishwa kutoichallange Biblia, aamini vyote vilivyoandikwa. Si tu kasoma bali amefanya kazi ndani ya kanisa bila kuwa challanged, asemalo wafuasi husema ndio ni kweli tupu. Leo mtu huyu atoke katika kazi hiyo na kutueleza eti awe mwalimu wa Demokrasia. Sina hakika kama ndani ya moyo wake anaweza kubadilika kwa muda mfupi kiasi hiki. Isitoshe ana washauri kama akina Padre Mapunda, huku ni kuua demokrasia kabisa. Na ni mkwa sababu hizi ndio maana Mh Slaa alikimbia CCM.

Katika mazingira kama haya kinachotakiwa ni kuubadilisha uongozi wa juu na kuwaweka watu waliobobea katika maswala ya Demokrasia au watu waliosoma shule za kawaida(serikali) na kuwa na fani kama sheria, uchumi, uongozi na kadhalika. Vinginevyo chama kinakufa kirahisi, tena baada ya uchaguzi mkuu 2015.
Kusema kweli hata hueleweki.. Sielewi aa unazungumzia Urais wa nchi yetu au Uongozi wa Chama. Nen demokrasia limetumika kila mahala pasipo kuzingatia maaa ya Demokrasia. Halafu cha ajabu sana umeifanya hata Demokrasia kuwa sehemu ya ELIMU yaani watu wenye elimu fulani ndio wabora zaidi. Ingekuwa Hivyo basi bingwa wa Demokrasia duniani leo hii angekuwa Mugabe.
 
Too much democracy is harmfull kwa maendeleo yoyote yale yawe ya nchi au kikundi.Kwa kigezo cha demokrasia kila mtu aruhusiwe kubwabwaja,kuvuruga na kwenda kinyume na maaumuzi ya chama?kwa CDM ambayo ni sawa na ndege iliyochukua kasi ya kupaa wala haihitaji rubani mwingine zaidi ya Dr.Kwani unaofikiri ni wanademokrasia walikuwa wapi toka kwenye uchanga wa chama waje waibuke ukubwani?CCM haina amani kila wakitazama nafasi ya mwenyekiti na katibu CDM ilivyo makini.Hao vibaraka mnaowapigia debe watafutika muda si mrefu,vinyago tumevichonga wenyewe haviwezi kututisha

mkuu najamiika forum simuni. kula very big LIKE from me.
 
Huwa nawashangaa watu wasioitakia mema Chadema wanapokuja na ushauri lukuki. Fanyeni hivi, fanyeni vile ndipo mtakubalika, etc. etc.
 
Too much democracy is harmfull kwa maendeleo yoyote yale yawe ya nchi au kikundi.Kwa kigezo cha demokrasia kila mtu aruhusiwe kubwabwaja,kuvuruga na kwenda kinyume na maaumuzi ya chama?kwa CDM ambayo ni sawa na ndege iliyochukua kasi ya kupaa wala haihitaji rubani mwingine zaidi ya Dr.Kwani unaofikiri ni wanademokrasia walikuwa wapi toka kwenye uchanga wa chama waje waibuke ukubwani?CCM haina amani kila wakitazama nafasi ya mwenyekiti na katibu CDM ilivyo makini.Hao vibaraka mnaowapigia debe watafutika muda si mrefu,vinyago tumevichonga wenyewe haviwezi kututisha

Wote wamebubuja lakini mwenzangu UMENENA. Hoja kama hizi ndizo zinajibu hoja.

Nimekuelewa uliposema TOO MUCH DEMOCRACY...., unanikumbusha Rais wa Uganda, Yoweri Museveni aliposema Uganda haihitaji Democracy. Hata hivyo baadae alipiga hatua kidogo na kusema Uganda ina Demokrasia bila vyama. Ahaa, sawa HIYO NDIO FALSAFA YAKE.

Sijui wenzetu mna Falsafa gani mnaposema TOO MUCH DEMOCRACY au unaposema ni Mh Slaa tu ....
 
Huwa nawashangaa watu wasioitakia mema Chadema wanapokuja na ushauri lukuki. Fanyeni hivi, fanyeni vile ndipo mtakubalika, etc. etc.

CHADEMA haijitakii mema yenyewe. Tunachojua ni kimoja, chama chote cha siasa kina lengo la kuchukua Dola. Sasa ukachukua Dola wakati hatujui utatupeleka wapi, ni lazima tulalame.
 
CDM kuna Mkt. Mbowe na makamu wake, Katbu Dr.Slaa na makamu wake. Umejikita kumjadili Dr. Slaa. Kwa great thinker yeyote anakuona we kilaza. Taarifa yako peleka michuzi.

Mbowe: Hakukuwa na mengi ya kumjadili si unaijua CV yake. Yeye ni wa kumuonea huruma tu na ndio maana Zitto alipotaka kugombea nafasi yake hapakushikika CHADEMA. Maana Degree holder na kidato cha sita........

Makamu m/kiti: Huyu ni mzigo tu ndio akina Kawawa funika kikombe.

Makamu Katibu mkuu: Si mnamwita kibaraka, sikuwa na haja ya kumjadili sana. Isitoshe nafasi yenyewe haitaki maana hana nafasi ya kujitanua. Hebu mwenyewe angalia Katibu na Makamu ni wapi kwa wapi.

Nilichofanya ni kujadili shina la matatizo CHADEMA katika kukuza Demokrasia.
 
"Tatizo la Demokrasia ndani ya CHAMA ndio kaburi la chama hicho"

"Chadema haitakufa kwa uroho wa kugombea uongozi"

Jinsi unavyothibitisha ujinga wako na propaganda za kimagamba hayo hapo juu yameandikwa na mjinga wewe. Rudi kwa aliyekutuma umwambie samahani hatudanganywi na wajinga kama wewe tena.
Unasema haitakufa na wewe huyo huyo unasema kuna kaburi je unajua kitu unasema?

Shule yako ndogo, tulia na usome tena. kwa bahati mbaya sina muda WA KUKUELIMISHA.

Nimetumia lugha rahisi sana.
 
mkuu ulitaka kumzungumzia dr slaa au chadema na uimra wake? au alitaka kuzungumzia wanaotaka madaraka ndani ya chadema na madhara ya wao kutaka hivi ukileta maada hii nayo unasubiri ijadiliwe au ulilenga kuipeleka face book ukajikuta umeiweka humu jf kuna majukwaa mengi hoja zingine tutazifungulia ziwe zinwekwa jukwaa la majungu

CHADEMA = Mh Slaa
 
Kusema kweli hata hueleweki.. Sielewi aa unazungumzia Urais wa nchi yetu au Uongozi wa Chama. Nen demokrasia limetumika kila mahala pasipo kuzingatia maaa ya Demokrasia. Halafu cha ajabu sana umeifanya hata Demokrasia kuwa sehemu ya ELIMU yaani watu wenye elimu fulani ndio wabora zaidi. Ingekuwa Hivyo basi bingwa wa Demokrasia duniani leo hii angekuwa Mugabe.

Sitarajii King Abdullah wa Jordan au Mfalme Fahdi wa Saudia wawe majemedari wa Demokrasia. Pengine umenielewa. Maelezo ya Mh Slaa katika Thread ni mfano tosha inayoonyesha mahusiano kati ya elimu uliyoipata na Matendo yako. Elimu ndio maisha, kwa hiyo elimu uliyopata ni kioo cha maisha yako.
 
Hivi inakuwaje kila leo watu wako na Dr Slaa tu kila kukicha Dr Slaa kwa nini kuna nini hasa?Na inakuwaje kila leo Chadema oooh sijui kitakufa ati kwa kuwa hakuna demokrasia na wasomi ati waliobobea kwenye mambo ya uchumi na sheria sasa swali langu ni kwa Zawadi Ngoda wale Magamba waliojipachika mara Dr Kikwete,sijui Dr Emanuel nchimbi,kuna wanasheria waliobonea kina Andrew Chenge ati kasoma Harvard lakini ukifuatilia hivyo anavyofanya kweli hata mwanafunzi wa mwaka wa kwanza wa sheria pale Mlimani ana afadhali,pia nataka kufahamu hawa wanasheria,Maprofessor,ma Dr kama ulivyosema wewe Zawadi Ngoda si hawa hawa ndio walioipeleka nchi huku tuliko au wewe huoni na kama huoni hata kusikia husikii,Wanyama wangapi wametoroshwa na hawa hawa waliobobea kwa mambo ha Sheria na Dr sifahamu,Madini ya mabilioni mangapi yametoroshwa,hawa hawa wanasheria waliobobea kama usemavyo waliiandikishiana mikataba mibovu ya umeme,madini,ujenzi wa barabara,jengo la benki kuu BOT,hawa hawa walipewa mijihela kibao na serikali ya Norway isaidie kwenye secta ya utalii waligawana pesa zile mpaka serikali ya Norway ikaingilia na kuwauliza wapi pesa kila mmoja kwa wale wahusika walitupianaa mpira mpaka Norway wakasema we need our money back ndio hawa hawa waliobobea kwa mambo ya sheria,demokrasi wanatangaza udini kila kukicha kumbuka huko nyuma mambo ya udini hayajakuwepo kwa nini alivyoingia Kikwete tu ndio kila kitu kikaibuka na ndio hawa hawa wasomi unaowaita,wanaagiza Police kuuwa raia ati wanawaita wavamiva kwa ardhi yao Lol Zawadi i know mambo mengi sana ya serikali hii kutoka ndani na nje ya nchi sema kama kungekuwa na nafaasi kungeitishwa mdahalo/Dabete then hapo kingeeleweka.
So kwa ufupi kama Chadema haikuhusu na wewe moja kwa moja unafahamu yr fit to Magamba as a Gamba hauna hauna haja ya kutoa mapovu ati oooh sifajui Chadema itakufa kwa kuwa Dr Slaa hajasomea ati masomo ya serikali hahahahah Lol!!hivi elimu yako ni ya shule gani ya kata?????
 
CHADEMA ni chama kilichojisukuma mbele kwa kasi nzuri. Mategemeo ya Chama hicho nio makubwa kuliko uwezo wake. Kwa vile uwezo wa CHADEMA unakuwa siku hata siku kijiografia na ukubwa wa changamoto hukuwa vile vile. Kuna wanaodhani changamoto kubwa sana inayokumbana nayo CHADEMA ni uroho wa kugombania uongozi ndani ya chama hicho. Hakika UROHO si tatizo kubwa, tatizo lipo katika Ujengaji wa Demokrasia uendao sambamba na ukuaji wa chama.

Tatizo la Demokrasia ndani ya CHAMA ndio kaburi la chama hicho. Hili si geni na linafahamika ndani na nje ya chama. Kimsingi kila mwanachama aliyetimiza masharti husika, anauwezo wa kugombea nafasi yeyote ya uongozi ndani ya chama toka udiwani mpaka Urais. Si ajabu hata kama waliodhamiria na kuchukua fomu ya kugombea Urais wakawa 30. Cha msingi hapa ni jinsi au njia gani ya kumpata mgombea mmoja atayekiwakilisha chama iwe katika nafasi ya Ubunge, ubunge wa kuteuliwa, Urais na kadhalika. Huu ndio mtihani ambao CHADEMA hautaupita hata siku moja, na ndio mwisho wa mbio za chama hicho cha Maendeleo.

Mh Slaa aka Dr Slaa ni daktari wa theolijia aliokuzwa na kusomeshwa na kanisa na hata kulitumikia kama Padre. Huyu miakayote amefundishwa kutoichallange Biblia, aamini vyote vilivyoandikwa. Si tu kasoma bali amefanya kazi ndani ya kanisa bila kuwa challanged, asemalo wafuasi husema ndio ni kweli tupu. Leo mtu huyu atoke katika kazi hiyo na kutueleza eti awe mwalimu wa Demokrasia. Sina hakika kama ndani ya moyo wake anaweza kubadilika kwa muda mfupi kiasi hiki. Isitoshe ana washauri kama akina Padre Mapunda, huku ni kuua demokrasia kabisa. Na ni mkwa sababu hizi ndio maana Mh Slaa alikimbia CCM.

Katika mazingira kama haya kinachotakiwa ni kuubadilisha uongozi wa juu na kuwaweka watu waliobobea katika maswala ya Demokrasia au watu waliosoma shule za kawaida(serikali) na kuwa na fani kama sheria, uchumi, uongozi na kadhalika. Vinginevyo chama kinakufa kirahisi, tena baada ya uchaguzi mkuu 2015.

Hivi Demokrasia unayozungumza wewe inasomewa??Maake hii topic yako imakaa nyepesi sana na ya kinafiki kwanza tunataka kuona Cv yako maake unajifanya wewe umesomakuliko wote na hata kama umesoma kuliko wote lakini sitakushangaa sana kwani utakuwa huna tofauti na wale wanaojiita wasomi ambao wako kwenye chama cha Magamba Ccm kwani elimu zao hata hazisaidia chochote so ni kama wewe tu.Kwani hii topic yako moja kwa moja inaonyesha hauna tofauti na yule aliyejigamba ati nchi yangu tuko na madini mengi sana,mabonde ya kilimo,mbuga za wanyama,maziwa,milima hasa ukizingatia Mt Kilimanjaro iko Tanzania then kaanza kuchekacheka basi yule jamaa wa gazeti tu tenda dogo tu kamuuliza sasa Mh nimekusikia vilivyo so ni kwa nini nchi yako iko maskini sana na mnategemea misaada Alijibu hata mie sifahamu jamaa kaona hapa hamna mtu ila yupo Ndondocha huyu alikuwa Ndio Rais wa Bongo Jakaya Kiwete sasa mie nikajiuliza hivi kama angekuwa kwenye HardTalk na Steven Sucker si angejiarishia ndi Zawadi anaoaita wasomi waliosoma masomo ati ya (Serikali)leo ndio nimesikia maasoma ya serikali duuh Bongo vilaza kila kona wewe hata ukiomba kuwa mjumbea wa nyumba kumi sikupi kura yangu na usomi wako wa masomo ya Serikali
 
CHADEMA haijitakii mema yenyewe. Tunachojua ni kimoja, chama chote cha siasa kina lengo la kuchukua Dola. Sasa ukachukua Dola wakati hatujui utatupeleka wapi, ni lazima tulalame.

Labda ni wewe peke yako usiyejua Chadema ina lengo la kuipeleka nchi wapi. Sisi tuliyojiunga nayo kwa hiari kabisa tunajua. Una haki ya kuendelea kulalama. Na kuhusu Kawawa inaonekana hujui mchango wake katika harakati za TANU. The guy was a damn good organiser.
 
Duuu hoja zako ni slaaa?
Tuntemenke hajambo?

Wote wamebubuja lakini mwenzangu UMENENA. Hoja kama hizi ndizo zinajibu hoja.

Nimekuelewa uliposema TOO MUCH DEMOCRACY...., unanikumbusha Rais wa Uganda, Yoweri Museveni aliposema Uganda haihitaji Democracy. Hata hivyo baadae alipiga hatua kidogo na kusema Uganda ina Demokrasia bila vyama. Ahaa, sawa HIYO NDIO FALSAFA YAKE.

Sijui wenzetu mna Falsafa gani mnaposema TOO MUCH DEMOCRACY au unaposema ni Mh Slaa tu ....
 
CHADEMA ni chama kilichojisukuma mbele kwa kasi nzuri. Mategemeo ya Chama hicho nio makubwa kuliko uwezo wake. Kwa vile uwezo wa CHADEMA unakuwa siku hata siku kijiografia na ukubwa wa changamoto hukuwa vile vile. Kuna wanaodhani changamoto kubwa sana inayokumbana nayo CHADEMA ni uroho wa kugombania uongozi ndani ya chama hicho. Hakika UROHO si tatizo kubwa, tatizo lipo katika Ujengaji wa Demokrasia uendao sambamba na ukuaji wa chama.

Tatizo la Demokrasia ndani ya CHAMA ndio kaburi la chama hicho. Hili si geni na linafahamika ndani na nje ya chama. Kimsingi kila mwanachama aliyetimiza masharti husika, anauwezo wa kugombea nafasi yeyote ya uongozi ndani ya chama toka udiwani mpaka Urais. Si ajabu hata kama waliodhamiria na kuchukua fomu ya kugombea Urais wakawa 30. Cha msingi hapa ni jinsi au njia gani ya kumpata mgombea mmoja atayekiwakilisha chama iwe katika nafasi ya Ubunge, ubunge wa kuteuliwa, Urais na kadhalika. Huu ndio mtihani ambao CHADEMA hautaupita hata siku moja, na ndio mwisho wa mbio za chama hicho cha Maendeleo.

Mh Slaa aka Dr Slaa ni daktari wa theolijia aliokuzwa na kusomeshwa na kanisa na hata kulitumikia kama Padre. Huyu miakayote amefundishwa kutoichallange Biblia, aamini vyote vilivyoandikwa. Si tu kasoma bali amefanya kazi ndani ya kanisa bila kuwa challanged, asemalo wafuasi husema ndio ni kweli tupu. Leo mtu huyu atoke katika kazi hiyo na kutueleza eti awe mwalimu wa Demokrasia. Sina hakika kama ndani ya moyo wake anaweza kubadilika kwa muda mfupi kiasi hiki. Isitoshe ana washauri kama akina Padre Mapunda, huku ni kuua demokrasia kabisa. Na ni mkwa sababu hizi ndio maana Mh Slaa alikimbia CCM.

Katika mazingira kama haya kinachotakiwa ni kuubadilisha uongozi wa juu na kuwaweka watu waliobobea katika maswala ya Demokrasia au watu waliosoma shule za kawaida(serikali) na kuwa na fani kama sheria, uchumi, uongozi na kadhalika. Vinginevyo chama kinakufa kirahisi, tena baada ya uchaguzi mkuu 2015.
Hii ndio taabu ya Elimu ya shule za kata! wahitimu wa elimu hii wanakuwa na matatizo makubwa ya kutafakari mambo. CCM ilaaniwe daima kwa kuleta sera mbovu za elimu amabayo ina ua kabisa uwezo wa kufikiri wa vijana wetu. Zawadi Ngoda, hayo uliyoandika hapo kwenye red sio sahihi wala sio yakweli. Nenda kajifunze zaidi ndio uje ujadili hapa. Lakini hata hivyo nakupongeza sana kwa kuthubutu kuonesha tatizo la wahitimu wa elimu ya kata kama wewe.
 
"Mh Slaa aka Dr Slaa ni daktari wa theolijia" Sifa za uwanja huu wa Critical Thinkers ni pamoja na kuwa na uhakika na unachokitoa kwa wanajamvi. Nasikitika sana kuwa unajaribu kuchambua taaluma ya Dr. Slaa wakati huna details za taaluma yake. Kwa taarifa tu Mh. Dr. Slaa ni Daktari wa sheria na sio wa Theologia kama ulivyoeleza hapo awali. Naomba utambue kuwa Chadema ni taasisi na sio mtu, Cadema inaongozwa na timu ya viongozi na nafasi ya Dr. Slaa ni katibu. Taarifa uliyoitoa ni ya upotoshaji wala haina analysis ya kumjenga mtu.
 
Upuuzi huu peleka huko huko kwa magamba wenzako, huna lolote ila tu una mzia na Dr. Slaa, kila ukimsikia tu unajisikia kuharisha.
 
Sitarajii King Abdullah wa Jordan au Mfalme Fahdi wa Saudia wawe majemedari wa Demokrasia. Pengine umenielewa. Maelezo ya Mh Slaa katika Thread ni mfano tosha inayoonyesha mahusiano kati ya elimu uliyoipata na Matendo yako. Elimu ndio maisha, kwa hiyo elimu uliyopata ni kioo cha maisha yako.
Kwahiyo Harvard University iliwafundisha kina Chenge kuja kutuibia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom