CHADEMA Haiko na Raila, please...


Kwahiyo wale waimbaji wa CHADEMA na zile fuso mbili za CHADEMA tulizotaarifiwa kwa kupitia vyombo vya habari kwamba zilienda kusaidia kampeni za Odinga ulikuwa ni uzushi?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Chadema ni Kama mude wa ambiance ukipanda dau unabuy
lowasa kafika dau acha awale
 
Hii barua ya kutengeneza tu. Tangu mwanzo mliandika wenyewe CHADEMA(RAILA) vs CCM(UHURU) yamewafika shingoni sasa, haya ogeleeni tuone kama mtafika ng'anmbo

nyumbu wengi washasahu hilo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…