Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Hata akichaguliwa mbunge akichaguliwa na mdudu basi anayo haki sawa kuwakilisha WaTanzania ,sasa nyie mnaosema kuwa kule Visiwani mbunge anachaguliwa na watu wachache tuseme 3000 ,nijuavyo mbunge huyo anawajibika kuikandia Serikali iliyopo madarakani ,kwa kuwa ndio hivyo mbunge anawajibika kutetea sehemu yeyote ile ,na kwa hivyo mbunge huwa anawakilisha WaTanzania wote ,kwani hoja ya mbunge mmoja tu inatosha kabisa kuwakilisha Taifa zima inategemea akili za mbunge huyo ,ni mabomu mangapi wamelipua CHADEMA hebu tuelezeni ni lipi lililowashugulisha Serikali na wapi limefikia na wahusika wapo wapi ?
Hivyo Zanzibar ni nchi haiwezekani wabunge wa Chadema nao waisemee Zanzibar ? Maana hawana mbunge hata mmoja ?
Yakhe katika bunge kunategemea hoja na si wingi wa wabunge ,akili za wabunge wenye ufahamu ndio tu wanaoweza kulitetea Taifa hili bila ya kutegemea wanatoka chama gani ,kwani kimikakati wabunge ikiwa watafahamu nini umuhimu wa wao kuwepo bungeni na kwa ajili ya nani basi hapo tu ndipo tutakapoweza kupiga hatua za maendeleo na sio siasa za umimi ambazo CHADEMA inaonekana kuzikumbatia.
Hivyo Zanzibar ni nchi haiwezekani wabunge wa Chadema nao waisemee Zanzibar ? Maana hawana mbunge hata mmoja ?
Yakhe katika bunge kunategemea hoja na si wingi wa wabunge ,akili za wabunge wenye ufahamu ndio tu wanaoweza kulitetea Taifa hili bila ya kutegemea wanatoka chama gani ,kwani kimikakati wabunge ikiwa watafahamu nini umuhimu wa wao kuwepo bungeni na kwa ajili ya nani basi hapo tu ndipo tutakapoweza kupiga hatua za maendeleo na sio siasa za umimi ambazo CHADEMA inaonekana kuzikumbatia.