fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
Naona sasa mnajitekenya wenyewe hapa??
Hii sio dalili nzuri, watu kama nyie mtakuja kupata mimb.. kwenye mikono....
Uimara wa CDM ndo unafanya vyama vingine na hasa tawala kuhaha na mambo ya ndani ya CDM, uvu ya CDM siomtu bali wananchi wenye uchu wa mabadiliko
Nguvu ya UMMA ni dhamana ya CDM, wapo wasaliti na wanahisiwa kuwa jirani sana na maadui wa Watanzania, waniunia nguvu za wezi namafisadi, lakin bila silaha ya moto kwa nguvu tu ya wananchi, CDM itaendelea kuwa tumaini la wanyonge TZ.
CDM mwendo mudundo, Mwanza, Kigoma, Lindi, Chunya na kwingineko CDM iko imara zaidi bila wasaliti.
Nawasilisha
Naona sasa mnajitekenya wenyewe hapa??
Hii sio dalili nzuri, watu kama nyie mtakuja kupata mimb.. kwenye mikono....
Mkuu uharo bado haujaisha vizuri halafu wewe umetoka chooni...Unalaana!!!!Jinga sana wewe
tunakuandalia ward mirembe tafadhali maana huhitaji hata vipimo ili upekwe hukoJinga sana wewe