Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 12,151
- 44,071
Vikwazo dhidi ya kampeni za UKAWA za urais zimezidi kuongezeka baada ya vituo kadhaa vya television vya hapa nchini ambavyo vilikuwa tayari vimefanya makubaliano na UKAWA ya kurusha matangazo ya moja kwa moja ya Luninga(Live) 'kuzuiwa' kurusha matangazo hayo kwa madai kuwa CCM nao wanataka siku hiyo hiyo ya Jumamosi warushiwe matangazo yao ya moja kwa moja ya mkutano wao wa kampeni za urais kutoka mkoani Mbeya.
Huu utakuwa ni mwendelezo wa vikwazo dhidi ya UKAWA na mgombea wao wa urais Edward Lowassa.
Mpaka sasa Lowassa na UKAWA hawajazindua kampeni zao, lakini mvuto na ushawishi wao mkubwa umeteka kabisa mwelekeo mzima wa kampeni za kisiasa mpaka sasa.
SOURCE:Gazeti la Mwananchi la Leo.
=======================
Huu utakuwa ni mwendelezo wa vikwazo dhidi ya UKAWA na mgombea wao wa urais Edward Lowassa.
Mpaka sasa Lowassa na UKAWA hawajazindua kampeni zao, lakini mvuto na ushawishi wao mkubwa umeteka kabisa mwelekeo mzima wa kampeni za kisiasa mpaka sasa.
SOURCE:Gazeti la Mwananchi la Leo.
=======================