Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Ccm naife tu...maana tumechoka
wewe ni nani katika ccm tupia picha basi kama kweli.
hata huku Arusha nako ajapatikana
Ha ha ha safi sana, wapi hiyo nadhani ni kata ya Sombetini...............
Ccm inakufa jamani
haswaaa. . ...hata chupa ya kilimanjaro tupu... kwa chadema itashinda....
Yaani hata Wasira hawezi kugombea?
Nimeangalia kny kamusi, yaonesha ifweero ni jina la kichagga (nilipitia shule huko kwao moshi), lina maana na Kipoozeo!
sasa hapo ndo pana shida ni kipoozeo katika muktadha gani: mwanamke ' it can be! ila kama ni mwanaume mmm! s..ga?
Kuwa mgombea upande wa CCM lazima utimize moja ya masharti🙁a) Kuiba kura (b) kutumia ushirikina(c) kununua mgombea upande wa mpinzani (d) hata nyenzo kama milipuko uwe na uwezo wa kutumia (e) akili kama ya samaki