CHADEMA Bunda Mjini 2015, Kama anguko CCM Iringa Mjini 2010

CHADEMA Bunda Mjini 2015, Kama anguko CCM Iringa Mjini 2010

Duh ! Habari ya tangu jana hapa JF, wewe unaileta leo saa tano halafu unaiita breaking news !.

Hii unaiona ni habari ndogo? Cdm imekufa Bunda unaona sio breaking news?!
 
Mwache Mbowe keshamaliza kazi pambaneni wenyewe Mbowe anawacheka na kuwasanif
 
CHAMA CHA DEMOKRASI NA MAENDELEO MKOA WA MARA KINAWAFAHAMISHA KUWA WAFUATAO WAMESIMAMISHWA NAFASI ZA UTENDAJI WA CHAMA WILAYA YA BUNDA KUANZIA TAREHE 15/08/2015

1. ALFRED SAMWEL IMANANI - MWENYEKITI WA JIMBO BUNDA

2. RITHA SALVATORY IKANDILO - KATIBU WA WILAYA


3. EMMANUEL MACHUMU MARIBWA - MWENEZI JIMBO

4. DAMAS KUNJU - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

5. MWITA NG'WENA - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

6. DICKSON KUJELWA - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO


7. DAVID ARBOGAST - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

8. JUMANNE D. MOSSY - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

9. NOAH LAWRENCE - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

10. JACTON MUYENGI - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

11. MATALA ATHUMANI - KATIBU BAVICHA KATA SAZIRA


SABABU ZA KUSIMAMISHWA KWAO NI:
1. Kumpiga na kumjeruhi sana aliyekuwa mtia nia wa jimbo la Bunda Mjini Ndugu Chacha Nyamhanga ambaye alilazwa kwa muda wa siku tisa katika Hospitali ya Wilaya ya Bunda. Sababu za kumpiga mtia nia huyo ni baada ya kukataa kutoa rushwa na kuhamasisha wenzake wasitoe rushwa kwa viongozi hao.

2. Kuhujumumatokeo ya kura za maoni kwenye kata zaNyamuswa, Nyamakokoto, Nyasura, Manyamanyama na kufanya vikao vya uteuzi wa madiwani nje ya ofisi bila vikao vya kikatiba ili kuifanya CCM ishinde kata zote za Wilaya ya Bunda, mfano; kwenye kata Nyamakokoto walimteua ndugu EMMANUEL MALIBWA aliyepata kura 5 badala ya ndugu GEORGIES MIYAWA aliyeshinda kwa kura 37, Kata ya Nyasura aliteuliwa Jumanne Mosi aliyepata kura 17 na akaachwa Mwamba Wasira aliyepata kura 47.


3. Kuiba mihuri ya Ofisi kwa lengo la kugushi nyaraka za chama.

4. Kuwataka wagombea wa nafasi za udiwani kutoa rushwa ya kiasi cha shilingi laki tano ili waweze kuteuliwa na kamati tendaji kama wagombea wa nafasi hizo.


5. Kuwasiliana na mgombea ubunge wa CCM Ndugu Steven Wasira kwa lengo la kuhujumu Chama ili mgombea huyo kutoka CCM apite bila kupingwa.


6. Mwenyekiti wa Jimbo na aliyekuwa mtia nia wa ubunge Ndugu Ismail Pius Masululi amekuwa na mawasiliano na Mkuu wa Wilaya ya Bunda Ndugu Mirumbe kwa lengo la kuhujumu chama.

7. Matumizi mabaya ya fedha za chama.



IMETOLEWA NA

KATIBU WA MKOA MARA
 
Ni njama za Wassira hizo kamwe haziwezi kuuvunja umoja uliopo ndani ya UKAWA.

Kama wamenunuliwa waendelee, na hizo ni njama za Wassira kwani ameshaona kuwa Ester ni moto kwake na anakubalika na kundi kubwa.

Hao viongozi wa Kamati wao siyo wapiga kura, maamuzi yaliyoofanyika huenda kuna point z muhimu wamezingatia katika kulipata hilo jimbo nasiyo kumuweka mtu ili mradi ni UKAWA. Lazima tuangalie anayekubalika na siyo ushabiki wa kisiasa.

Wasira ameongoza hapo Bunda muda mrefu mbona walishindwa kumuondoa miaka yote???

Tubadilike tusikubali kudanganywa kisiasa na siye kufuata mkumbo.


UKAWA MWAKA HUU IPO JUU ZAIDI YA CCM.

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Upo wapi mkuu, upo Bunda wewe au upo kwenye mtandao? Yaani hata bila kununuliwa CDM haiwezi na isingeweza kushinda na haitashinda Bunda.
 
Hao wadogo waipewa fedha na wasira noma mbowe kwa el sawa!
 
kamati kuu ya lowassa ni vichaa, huwezi kuacha mtu aliyejenga chama hapo bunda miaka mitatu alafu wakupe wewe esyth uliyekuja juzi toka ccm jimbo-ni kosa..shida ya yule(wewe) dada ni kudandia dandia tu, sasa ccm kakimbia chadema bunda ukweli umejulikana zile ligi za mpira, bulaya cup hakuna kitu jiandae kushindwa, pius aliona bora aende timu ya ushindi.....bulaya hapati asilimia 7% na ni aibu kwa kamati kuu kudharau wananchi

Team Pius ilijenga chama kwa zaidi ya miaka 10
Jamaa alinunua PA system kubwa na fuso kwa ajili ya kampaini kwa pesa zao halafu team Lowasa na walafi akina Vincet Nyerere, Salum Mwalimu na Mbowe wanaleta tamaa ya kushinda majimbo yote. Sasa wanajamba
 
Shikamoo
 

Attachments

  • 1440153526468.jpg
    1440153526468.jpg
    32.7 KB · Views: 276
hakuna mpambano wa msimbe wenu bunda, yaani esther ni taka hivi sasa, kila kona bunda akipita anazomewa tu tangu jana.....el-ninyo inakuja kuwabeba na dhambi ya ubaguzi chadema....esther hawezi ongea dk 2 bila zomea zomea na usimbe hautakiwi bunda


Kwenye ukabila mimi huko sishabikii, ila tatizo la tuliowengi tunasikiliza ndundo wa muziki aliokuja nao mbowe bila kujali kama huo ndundo una mwingiliano wa sauti kutoka nje halafu una distortion sound. lakini kwasababu shida ni muziki basi hilo ni bonge la stereo.

Viongozi wetu wa juu hawataki ku share mambo magumu na watu wa chini, there is something missing somewhere. nadhani baada ya uchaguzi kuna haja ya kukaa chini kutafuta njia ya kuondoa hili ombwe
 
Sasa kweli Nani mwenye Njaa..Hii picha ya Bulaya Ktk ofisi ya CHADEMA Bunda ni kama picha ya Hofu na Msiba Fulani....atakuwa anajuta "hivi huku nimekuja kufanya nini kustaili aibu Hii"

Upo wapi mkuu, upo Bunda wewe au upo kwenye mtandao? Yaani hata bila kununuliwa CDM haiwezi na isingeweza kushinda na haitashinda Bunda.


 
Kwakwel chadema wako vizuri...jamaa alikuwa ni rafiki wa ccm...huyo Ester piga kazi......
 
CHAMA CHA DEMOKRASI NA MAENDELEO MKOA WA MARA KINAWAFAHAMISHA KUWA WAFUATAO WAMESIMAMISHWA NAFASI ZA UTENDAJI WA CHAMA WILAYA YA BUNDA KUANZIA TAREHE 15/08/2015

1. ALFRED SAMWEL IMANANI - MWENYEKITI WA JIMBO BUNDA

2. RITHA SALVATORY IKANDILO - KATIBU WA WILAYA


3. EMMANUEL MACHUMU MARIBWA - MWENEZI JIMBO

4. DAMAS KUNJU - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

5. MWITA NG’WENA - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

6. DICKSON KUJELWA - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO


7. DAVID ARBOGAST - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

8. JUMANNE D. MOSSY - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

9. NOAH LAWRENCE - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

10. JACTON MUYENGI - MJUMBE WA KAMATI TENDAJI JIMBO

11. MATALA ATHUMANI - KATIBU BAVICHA KATA SAZIRA


SABABU ZA KUSIMAMISHWA KWAO NI:
1. Kumpiga na kumjeruhi sana aliyekuwa mtia nia wa jimbo la Bunda Mjini Ndugu Chacha Nyamhanga ambaye alilazwa kwa muda wa siku tisa katika Hospitali ya Wilaya ya Bunda. Sababu za kumpiga mtia nia huyo ni baada ya kukataa kutoa rushwa na kuhamasisha wenzake wasitoe rushwa kwa viongozi hao.

2. Kuhujumumatokeo ya kura za maoni kwenye kata zaNyamuswa, Nyamakokoto, Nyasura, Manyamanyama na kufanya vikao vya uteuzi wa madiwani nje ya ofisi bila vikao vya kikatiba ili kuifanya CCM ishinde kata zote za Wilaya ya Bunda, mfano; kwenye kata Nyamakokoto walimteua ndugu EMMANUEL MALIBWA aliyepata kura 5 badala ya ndugu GEORGIES MIYAWA aliyeshinda kwa kura 37, Kata ya Nyasura aliteuliwa Jumanne Mosi aliyepata kura 17 na akaachwa Mwamba Wasira aliyepata kura 47.


3. Kuiba mihuri ya Ofisi kwa lengo la kugushi nyaraka za chama.

4. Kuwataka wagombea wa nafasi za udiwani kutoa rushwa ya kiasi cha shilingi laki tano ili waweze kuteuliwa na kamati tendaji kama wagombea wa nafasi hizo.


5. Kuwasiliana na mgombea ubunge wa CCM Ndugu Steven Wasira kwa lengo la kuhujumu Chama ili mgombea huyo kutoka CCM apite bila kupingwa.


6. Mwenyekiti wa Jimbo na aliyekuwa mtia nia wa ubunge Ndugu Ismail Pius Masululi amekuwa na mawasiliano na Mkuu wa Wilaya ya Bunda Ndugu Mirumbe kwa lengo la kuhujumu chama.

7. Matumizi mabaya ya fedha za chama.



IMETOLEWA NA

KATIBU WA MKOA MARA

Mbona una back date tarehe, hahahha
 
Ni njama za Wassira hizo kamwe haziwezi kuuvunja umoja uliopo ndani ya UKAWA.

Kama wamenunuliwa waendelee, na hizo ni njama za Wassira kwani ameshaona kuwa Ester ni moto kwake na anakubalika na kundi kubwa.

Hao viongozi wa Kamati wao siyo wapiga kura, maamuzi yaliyoofanyika huenda kuna point z muhimu wamezingatia katika kulipata hilo jimbo nasiyo kumuweka mtu ili mradi ni UKAWA. Lazima tuangalie anayekubalika na siyo ushabiki wa kisiasa.

Wasira ameongoza hapo Bunda muda mrefu mbona walishindwa kumuondoa miaka yote???

Tubadilike tusikubali kudanganywa kisiasa na siye kufuata mkumbo.


UKAWA MWAKA HUU IPO JUU ZAIDI YA CCM.

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!

Usikute Bunda tafsiri yake kiswahili ni Bundi.mbona wa ajabu hivyo .Bulaya akiwa ccm alikuwa anauwezo wakutoka drow ushindi na Wasira .na kwa kujiunga chadema ni kiasi cha kuongeza idadi yoyote hile .asubuhi na mapema 25 october Wasira miguu juu .kifo cha mende .anyway pamoja na wamejitoa Bulaya kura zake ukiongezea watakao baki na watakao muunga mkono Lowasa atashinda.na aibu itakua juu yao kwakuendekeza njaa zao
 
Mtu yeyote anayezungumzia kurudi CCM, hana nafasi muda huu... Tupa kuleeeeeee!!!!!
:majani7:
 
sijui kiswahili gani ni..'kujiuzulu sio kujihudhuru' au sio wakuu.
 
hakuna mpambano wa msimbe wenu bunda, yaani esther ni taka hivi sasa, kila kona bunda akipita anazomewa tu tangu jana.....el-ninyo inakuja kuwabeba na dhambi ya ubaguzi chadema....esther hawezi ongea dk 2 bila zomea zomea na usimbe hautakiwi bunda

Mwambieni ni wilaya takatifu, nilimuhurumia siku anarudisha fomu.
Arudi kwa mumewe Halima - anadhani siasa za Bunda ni Bulaya Cup
 
Kweli kabisa Mkuu. Kwa sababu hata Lowassa ni kijana.
Bwahahahahaaaaaaa!!!!



Huyu ni mtu mzima lakini Bungeni anaongea.

Na siyo Wasira anayeenda kuuchapa usingizi BUngeni. Nanyi mnamtetea ili akalale Bungeni.

Mpeni na Shuka pamoja na Godoro.

Tanzania tunataka maendeleo na siyo kumchagua mtu kwa sababu ya itikadi ya Chama.

Ukizeeka pumzika Home siyo kumpeleka Bungeni kwenda kulala.

Tunataka Damu mpya mwaka huu 2015.
 
Japokuwa ndio demicrasia ila inaumiza sana kukatwa mshindi...
 
Hawana jipya vita inaendelea hata wakitoka nguvu ni kwa wapiga kura sio viongozi.
Sasa inakuwaje kiongozi mpinzani ahamie ccm hapo nu mchezo ulikuwa unafanyika Wasira ni hatari kama ukoma
 
Back
Top Bottom