mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,421
- 1,792
Ni njama za Wassira hizo kamwe haziwezi kuuvunja umoja uliopo ndani ya UKAWA.
Kama wamenunuliwa waendelee, na hizo ni njama za Wassira kwani ameshaona kuwa Ester ni moto kwake na anakubalika na kundi kubwa.
Hao viongozi wa Kamati wao siyo wapiga kura, maamuzi yaliyoofanyika huenda kuna point z muhimu wamezingatia katika kulipata hilo jimbo nasiyo kumuweka mtu ili mradi ni UKAWA. Lazima tuangalie anayekubalika na siyo ushabiki wa kisiasa.
Wasira ameongoza hapo Bunda muda mrefu mbona walishindwa kumuondoa miaka yote???
Tubadilike tusikubali kudanganywa kisiasa na siye kufuata mkumbo.
UKAWA MWAKA HUU IPO JUU ZAIDI YA CCM.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Kama wamenunuliwa waendelee, na hizo ni njama za Wassira kwani ameshaona kuwa Ester ni moto kwake na anakubalika na kundi kubwa.
Hao viongozi wa Kamati wao siyo wapiga kura, maamuzi yaliyoofanyika huenda kuna point z muhimu wamezingatia katika kulipata hilo jimbo nasiyo kumuweka mtu ili mradi ni UKAWA. Lazima tuangalie anayekubalika na siyo ushabiki wa kisiasa.
Wasira ameongoza hapo Bunda muda mrefu mbona walishindwa kumuondoa miaka yote???
Tubadilike tusikubali kudanganywa kisiasa na siye kufuata mkumbo.
UKAWA MWAKA HUU IPO JUU ZAIDI YA CCM.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!