CHADEMA bila ya Zitto Kabwe, ni Wanaharakati TU!!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Nashindwa kuelewa ni jinsi gani chadema wanaweza wakang'ara Bungeni tena bila ya Zito Kabwe kwa maana Zito ndiyo pekee aliyekuwa analeta hoja nzito, za kufikirisha na zenye maana hasa kwenye mambo ya upotevu wa fedha za Serikali!
Zito Kabwe ndiyo Mbunge pekee wa Upinzani anayeelewa mambo ya Madini na Gesi, ndiye pekee anayeweza kusimama akaelezea kitu kuhusu haya mambo (Madini na Gesi) ukamsikiliza na kuondoka (ukajifunza) kitu ktk kwake na, ndiye pekee aliyoifanya chadema ing'are hapo mwanzoni ktkna na hoja zake zilizoenda Shule!

Sasa leo hii hayupo chadema ni nani atavaa viatu vyake? Kwa maana waliobakia wote kama Tundu, Mnyika ni wanaharakati tu na watu jazba na matusi lkn hakuna chochote wanachokinena ambacho Serikali yetu inaweza kukipa umakini!

Watakaobisha nawaomba mnitajie jambo moja ambalo Mwanaharakati Tundu amewahi kuleta Bungeni na likapewa umakini na Serikali yetu!
Tundu anachojua ni matusi tu kama kumtukana Mlm.Nyrere, Raisi Kikwete, Mkapa na sasa Raisi Magufuli hata fisadi Lowasa mwenyewe ashawahi kuwa mhanga wa matusi ya mwanaharakati Tundu!
 
Basi sawa...Zito yuko na ACT ...wako kwenye siasa...endelea kuwasikiliza hao..Achana na CHADEMA Waliopotea
 
Zitto ni gifted,CDM wanajua kuwa wamempoteza mtu muhimu,wanajikaza kisabuni. Zitto anaakili nyingi kuliko wabunge wote ukawa. Angalia hoja zake utaona weledi mkubwa.
 
Hoja zote za Zitto hazijazaa matunda kama ile ya mabilioni ya uswisi,kusainisha wabunge kumkataa Pinda na hoja ya zao la mkonge zote zimegonga mwamba!
 
Zitto kashindwa kuwaletea wananchi wake maji safi ya kunywa na kujenga vyoo mashuleni huko kigoma ndo unamuita ana akili ? huyo ameshapotea subiri bunge lianze atabaki kuwa mbunge wa kupekua ripoti mbalimbali na sio kufanya maendeleo jimboni huyu unayemuita ana akili nyingi ambaye hata akienda jimboni kwake analala hotelini......usanii wake unaenda kufikia kikomo this time
 
Zito ndiyo pekee aliyekuwa analeta hoja nzito, za kufikirisha na zenye maana hasa kwenye mambo ya upotevu wa fedha za Serikali!
Zito Kabwe ... ndiye pekee anayeweza kusimama akaelezea kitu kuhusu haya mambo (Madini na Gesi) ukamsikiliza na kuondoka (ukajifunza) kitu ktk kwake
Wapo wengi tu, akina Kibajaji, Maji Marefu, Aakairo, Jah People etc. Wanaweza kujenga hoja mtu ukajifunza na serikali ikazitilia manani
 
Wanakwambia
WANAE KUBENEA
Hahaha
KUBENEA=ZERO
SUMAYE= ZERO
MBOWE= ZERO
0+0+0 = CHADEMA
 
Kama anaakili sana, imekuwaje mahali alipozaliwa na kuwa Mbunge miaka 10 yaani Mwandiga ndiyo miongoni mwa kata ambazo watu wake wengi hawajui matumizi ya vyoo na wanajisaidia porini?
Ameshindwa kuelimisha wenzake umuhimu wa matumizi bora ya vyoo au naye amekulia kwenye tabia hiyo ya kwenda porini na imeshindwa kumtoka?
Ndio maana kalikimbia jumbo na kuliacha kama alivyolikuta 2005. Huyo ndio mwanasiasa makini.
 
Zitto kashindwa kuwaletea wananchi wake maji safi ya kunywa na kujenga vyoo mashuleni huko kigoma ndo unamuita ana akili ? huyo ameshapotea subiri bunge lianze atabaki kuwa mbunge wa kupekua ripoti mbalimbali na sio kufanya maendeleo jimboni huyu unayemuita ana akili nyingi ambaye hata akienda jimboni kwake analala hotelini......usanii wake unaenda kufikia kikomo this time

Tehe tehe tehe nyumbu bana wana shida!
 
Hahahahaha watu wanatafta vya kuongea siku hizi duuu Zitto ana akili kwako tu coz amekuzidi hata fikira na ndo maana anakuendesha
 
Nashindwa kuelewa ni jinsi gani chadema wanaweza wakang'ara Bungeni tena bila ya Zito Kabwe kwa maana Zito ndiyo pekee aliyekuwa analeta hoja nzito, za kufikirisha na zenye maana hasa kwenye mambo ya upotevu wa fedha za Serikali!
Zito Kabwe ndiyo Mbunge pekee wa Upinzani anayeelewa mambo ya Madini na Gesi, ndiye pekee anayeweza kusimama akaelezea kitu kuhusu haya mambo (Madini na Gesi) ukamsikiliza na kuondoka (ukajifunza) kitu ktk kwake na, ndiye pekee aliyoifanya chadema ing'are hapo mwanzoni ktkna na hoja zake zilizoenda Shule!

Sasa leo hii hayupo chadema ni nani atavaa viatu vyake? Kwa maana waliobakia wote kama Tundu, Mnyika ni wanaharakati tu na watu jazba na matusi lkn hakuna chochote wanachokinena ambacho Serikali yetu inaweza kukipa umakini!

Watakaobisha nawaomba mnitajie jambo moja ambalo Mwanaharakati Tundu amewahi kuleta Bungeni na likapewa umakini na Serikali yetu!
Tundu anachojua ni matusi tu kama kumtukana Mlm.Nyrere, Raisi Kikwete, Mkapa na sasa Raisi Magufuli hata fisadi Lowasa mwenyewe ashawahi kuwa mhanga wa matusi ya mwanaharakati Tundu!
okey poa.
 
Kama chama kipo sehemu moja tu kigoma mtashindwaje kuwa na ofisi nzuri? mbona mikoa mingine hamna ofisi? Zitto anabaki kuwa mbunge aliyefeli kuwaletea maendeleo wananchi wake sasa kama vyoo tu vimemshinda huko mwandiga ndo aweze hapo mjini? huo ubunge kapewa tu na ccm kama zawadi laana ya yuda itamuandama popote huyo mnafiki


Kwani Mbunge kazi yake ni kuwajengea vyoo wananchi? Wee vipi?
 
Hebu tukumbushane, ACT chini ya Zitto Kabwe kilipata wabunge wangapi uchaguzi uliopita?

Ina maana huyo Zitto ana uwezo wa kuisadia CHADEMA tu kisiasa? Mbona asiisaidie ACT yake iondokane na aibu ya kukataliwa na wananchi?
 
Kama chama kipo sehemu moja tu kigoma mtashindwaje kuwa na ofisi nzuri? mbona mikoa mingine hamna ofisi? Zitto anabaki kuwa mbunge aliyefeli kuwaletea maendeleo wananchi wake sasa kama vyoo tu vimemshinda huko mwandiga ndo aweze hapo mjini? huo ubunge kapewa tu na ccm kama zawadi laana ya yuda itamuandama popote huyo mnafiki
Mkuu unapoteza muda wako kujibizana na hilo shangingi kilasiku linakesha kona unafikiri pana nini hapo?
 
Back
Top Bottom