CHADEMA bila ya Zitto Kabwe, ni Wanaharakati TU!!

CHADEMA bila ya Zitto Kabwe, ni Wanaharakati TU!!

No one is indispensable, hivi kuna mwanasiasa mahiri hapa nchini kuliko alivyokuwa the late Mwl Nyerere? Alipofariki kuna waliodiriki kusema nchi itasimama, hata kutangaza kifo chake ilikuwa issue!!, ndiyo ije kuwa Zitto? Je Zitto anamzidi Dr Slaa? mbona tayari Slaa ameshaanza kusahaulika?
Ki ukweli siasa ina maajabu yake ningetamani hawa wanasiasa wawili Zito na Dr slaa wafanye kazi pamoja bahati mbaya wamehitilafiana sana.

Naamini utendaji wao wakiwa pamoja ungeleta maana kubwa sana.
 
Zitto ni gifted,CDM wanajua kuwa wamempoteza mtu muhimu,wanajikaza kisabuni. Zitto anaakili nyingi kuliko wabunge wote ukawa. Angalia hoja zake utaona weledi mkubwa.[/QUOT
Great say,zitto pekee yake ni sawa sawa na wabunge wote chadema.
 
Kwani Mbunge kazi yake ni kuwajengea vyoo wananchi? Wee vipi?
Sio kuwajengea bali kuwafundisha matumizi hata ya vyoo vya shimo. Ni aibu kwa Mbunge kijana kama yule kukuta nusu ya wananchi wa jumbo na kijiji chake wananyea porini. Au ndio maana kuwa eti akiwa Chigoma anaishia hotelini?
 
Ndio si ndio maana akapata kiti kimoja bungeni.
 
Kumekuwa na mijadala mizito juu viongozi hawa mapengo yao kutozibwa ndani ya CHADEMA, sasa swali tofauti ya enzi za hawa watu ( Kabwe& Slaa) na enzi za akina Sumye na Lowasa ni nini
 
Z & S ni watu makini sana, na wenye kujenga ajenda zao na kuzifanyia kazi, hawana tabia za kudandia.
 
Z & S ni watu makini sana, na wenye kujenga ajenda zao na kuzifanyia kazi, hawana tabia za kudandia.
Ni kweli kabisa mkuu,lkn cha ajabu alipata mbunge 1 na madiwani wasiozidi 10 nchi nzima hahah.
 
Naona uko zamu leo,umeamka na CDM!Mti wenye matunda ndio huwa unapigwa mawe!
Zitto bado yuko upinzani!Naomba tuweke hoja za wapinzani vs ccm bungeni!Tuanze mchakato huo!CCM pendekezeni mbunge na UKAWA wapendekeze tuanze kuweka hoja zao humu!
 
Back
Top Bottom