mtoto wa mchungaji
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 279
- 480
Chadema bila Mbowe inawezekana na itaendelea kuwezekana. Ukweli ni kwamb mpango wa kumfungulia kesi Mbowe uliratibiwa kimya kimya na viongozi wa juu wa chama hicho wakiongozwa na makamu mwenyekiti bara, baada ya viongozi hao kutofurahishwa na uongozi wake wa mabavu ndan ya chama. Kumbuka Mbowe ndio mwenyekiti anaeongoza kwa kutoa boko ndan ya chama hicho toka kianzishwe... Mfano mwaka 2015 alitoa boko kwa adui kutokana na tamaa ya tumbo lake mpaka kupelekea timu yake kufungwa goli la mkono katika dakika za mwisho za mchezo wao. Pia wengi walitarajia Mbowe angejiuzulu au asingegombea tena uenyekiti wa chama kutokana na boko hizo alizozifanya, matokeo yake ikawa kinyume na walivyotarajia, kwahiyo sasa wale waliokuwa wanajua siri ya aliyokuwa anayafanya wameamua kutumia njia hii ya kupeleka taarifa katika vyombo husika ili akamatwe na kufunguliwa kesi kwa yale aliyoyafanya, baada ya hapo wazee wa kazi watajipanga na kuangalia namna makamu atarudi kuongoza chama na kuendeleza mapambano kwa njia wanazojua wao. Ikishindikana makamu bara basi wataangalia njia nyingine ya kuendesha chama bila yeye. Just be patient utaona kitachofuatia soon.Taarifa tulizozipata kutoka kwa Mdaku kutoka Ufipa ni kuwa shughuli zote za uratibu wa chama zimesimama kutokana na kesi inayo, kabili Mwenyekiti huyu wa maisha na mwenye hisia za umiliki wa chama kushitakiwa na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kesi na makosa ya ugaidi hapa nchini.
Kesi hiyo haina dhamana na mpaka sasa hakina mtu yeyote aliyeweza kuonananaye kuanzia wanasharia, familia na hata viongozi hivyo mambo yamesimama kidogo kwani yeye ndiyo kilakitu ndani ya chama.
Huyo mdaku ambae pia ni mbea aliye boboe ametonya kuwa pale ufipa watu wanakimbiana, na viongozi wengi wametereza kama kambare katika tope na hii inatokana na kuwa viongozi wengi wako kama raba stamp hivyo kama kiongozi leo akifanya maamuzi yoyote na ikitokea mwenyekiti katoka mahabusu na hakufuraishwa ni lazima mtu apotee.
Jamaa huku akisisitiza kuwa jina lake lisitajwe wala picha au sauti kisa tu na yeye anamaslai kule ndani ya Ufipa kwa sasa amesema ujenzi wa chama kiujumla umesimama si kurugugenzi za chama, katibu mkuu bara au visiwani au hazina au wahasibu, kwani kwa sasa hawawezi kuizinisha chochote bila kuwepo mwenyewe.
Mbeya huyo ameendelea kusema viongozi wanaume wengi wametereza kiaina na kuwaacha Bawaza ambao wote wameingia mkenge kwani taarifa tulizopata wote kwa sasa ni vipusa wanatafutwa mpaka mivunguni.
Jamaa hilo ambalo ni baba mzima lilipiga umbea huo bila hofu na kumalizia na kusema hari si nzuri hata katika ofisi za mikoani ambako viongozi wengi hawakai sasa ofisini kuhofia lolote na zaidi wakitumia simu kufanya kazi za ofisini.
Mbowe anahitajika sana muda huu sio tu chadema bali Tanzania kote la sivyo tutaendeshwa kama toroli.Taarifa tulizozipata kutoka kwa Mdaku kutoka Ufipa ni kuwa shughuli zote za uratibu wa chama zimesimama kutokana na kesi inayo, kabili Mwenyekiti huyu wa maisha na mwenye hisia za umiliki wa chama kushitakiwa na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kesi na makosa ya ugaidi hapa nchini.
Kesi hiyo haina dhamana na mpaka sasa hakina mtu yeyote aliyeweza kuonananaye kuanzia wanasharia, familia na hata viongozi hivyo mambo yamesimama kidogo kwani yeye ndiyo kilakitu ndani ya chama.
Huyo mdaku ambae pia ni mbea aliye boboe ametonya kuwa pale ufipa watu wanakimbiana, na viongozi wengi wametereza kama kambare katika tope na hii inatokana na kuwa viongozi wengi wako kama raba stamp hivyo kama kiongozi leo akifanya maamuzi yoyote na ikitokea mwenyekiti katoka mahabusu na hakufuraishwa ni lazima mtu apotee.
Jamaa huku akisisitiza kuwa jina lake lisitajwe wala picha au sauti kisa tu na yeye anamaslai kule ndani ya Ufipa kwa sasa amesema ujenzi wa chama kiujumla umesimama si kurugugenzi za chama, katibu mkuu bara au visiwani au hazina au wahasibu, kwani kwa sasa hawawezi kuizinisha chochote bila kuwepo mwenyewe.
Mbeya huyo ameendelea kusema viongozi wanaume wengi wametereza kiaina na kuwaacha Bawaza ambao wote wameingia mkenge kwani taarifa tulizopata wote kwa sasa ni vipusa wanatafutwa mpaka mivunguni.
Jamaa hilo ambalo ni baba mzima lilipiga umbea huo bila hofu na kumalizia na kusema hari si nzuri hata katika ofisi za mikoani ambako viongozi wengi hawakai sasa ofisini kuhofia lolote na zaidi wakitumia simu kufanya kazi za ofisini.
Eti Hawa ndo maajenti wa tiss, takataka tuChadema bila Mbowe inawezekana na itaendelea kuwezekana. Ukweli ni kwamb mpango wa kumfungulia kesi Mbowe uliratibiwa kimya kimya na viongozi wa juu wa chama hicho wakiongozwa na makamu mwenyekiti bara, baada ya viongozi hao kutofurahishwa na uongozi wake wa mabavu ndan ya chama. Kumbuka Mbowe ndio mwenyekiti anaeongoza kwa kutoa boko ndan ya chama hicho toka kianzishwe... Mfano mwaka 2015 alitoa boko kwa adui kutokana na tamaa ya tumbo lake mpaka kupelekea timu yake kufungwa goli la mkono katika dakika za mwisho za mchezo wao. Pia wengi walitarajia Mbowe angejiuzulu au asingegombea tena uenyekiti wa chama kutokana na boko hizo alizozifanya, matokeo yake ikawa kinyume na walivyotarajia, kwahiyo sasa wale waliokuwa wanajua siri ya aliyokuwa anayafanya wameamua kutumia njia hii ya kupeleka taarifa katika vyombo husika ili akamatwe na kufunguliwa kesi kwa yale aliyoyafanya, baada ya hapo wazee wa kazi watajipanga na kuangalia namna makamu atarudi kuongoza chama na kuendeleza mapambano kwa njia wanazojua wao. Ikishindikana makamu bara basi wataangalia njia nyingine ya kuendesha chama bila yeye. Just be patient utaona kitachofuatia soon.
Wewe ukoje mbona umekaa kizezeta. CCM NDIO POLISI NA POLISI NI CCM, huwezi kututenganishaCCM bila Polisi inawezekana?
Umeshamchangia Lisu hela ya kula yeye na familia yake kwa kisingizio cha kuzunguka dunia?Eti Hawa ndo maajenti wa tiss, takataka tu
KAMA MNADHANI KUMBAMBIKIZIA KESI ndio CHADEMA ITAKUFA HAIFI ndio Kwanza Imeimarika Makaburu Walimfunga MANDELA lakini ANC ILI IMARIKA zaidiTaarifa tulizozipata kutoka kwa Mdaku kutoka Ufipa ni kuwa shughuli zote za uratibu wa chama zimesimama kutokana na kesi inayo, kabili Mwenyekiti huyu wa maisha na mwenye hisia za umiliki wa chama kushitakiwa na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kesi na makosa ya ugaidi hapa nchini.
Kesi hiyo haina dhamana na mpaka sasa hakina mtu yeyote aliyeweza kuonananaye kuanzia wanasharia, familia na hata viongozi hivyo mambo yamesimama kidogo kwani yeye ndiyo kilakitu ndani ya chama.
Huyo mdaku ambae pia ni mbea aliye boboe ametonya kuwa pale ufipa watu wanakimbiana, na viongozi wengi wametereza kama kambare katika tope na hii inatokana na kuwa viongozi wengi wako kama raba stamp hivyo kama kiongozi leo akifanya maamuzi yoyote na ikitokea mwenyekiti katoka mahabusu na hakufuraishwa ni lazima mtu apotee.
Jamaa huku akisisitiza kuwa jina lake lisitajwe wala picha au sauti kisa tu na yeye anamaslai kule ndani ya Ufipa kwa sasa amesema ujenzi wa chama kiujumla umesimama si kurugugenzi za chama, katibu mkuu bara au visiwani au hazina au wahasibu, kwani kwa sasa hawawezi kuizinisha chochote bila kuwepo mwenyewe.
Mbeya huyo ameendelea kusema viongozi wanaume wengi wametereza kiaina na kuwaacha Bawaza ambao wote wameingia mkenge kwani taarifa tulizopata wote kwa sasa ni vipusa wanatafutwa mpaka mivunguni.
Jamaa hilo ambalo ni baba mzima lilipiga umbea huo bila hofu na kumalizia na kusema hari si nzuri hata katika ofisi za mikoani ambako viongozi wengi hawakai sasa ofisini kuhofia lolote na zaidi wakitumia simu kufanya kazi za ofisini.
hivi ni mzima kweli wewe mama!!Taarifa tulizozipata kutoka kwa Mdaku kutoka Ufipa ni kuwa shughuli zote za uratibu wa chama zimesimama kutokana na kesi inayo, kabili Mwenyekiti huyu wa maisha na mwenye hisia za umiliki wa chama kushitakiwa na Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kesi na makosa ya ugaidi hapa nchini.
Kesi hiyo haina dhamana na mpaka sasa hakina mtu yeyote aliyeweza kuonananaye kuanzia wanasharia, familia na hata viongozi hivyo mambo yamesimama kidogo kwani yeye ndiyo kilakitu ndani ya chama.
Huyo mdaku ambae pia ni mbea aliye boboe ametonya kuwa pale ufipa watu wanakimbiana, na viongozi wengi wametereza kama kambare katika tope na hii inatokana na kuwa viongozi wengi wako kama raba stamp hivyo kama kiongozi leo akifanya maamuzi yoyote na ikitokea mwenyekiti katoka mahabusu na hakufuraishwa ni lazima mtu apotee.
Jamaa huku akisisitiza kuwa jina lake lisitajwe wala picha au sauti kisa tu na yeye anamaslai kule ndani ya Ufipa kwa sasa amesema ujenzi wa chama kiujumla umesimama si kurugugenzi za chama, katibu mkuu bara au visiwani au hazina au wahasibu, kwani kwa sasa hawawezi kuizinisha chochote bila kuwepo mwenyewe.
Mbeya huyo ameendelea kusema viongozi wanaume wengi wametereza kiaina na kuwaacha Bawaza ambao wote wameingia mkenge kwani taarifa tulizopata wote kwa sasa ni vipusa wanatafutwa mpaka mivunguni.
Jamaa hilo ambalo ni baba mzima lilipiga umbea huo bila hofu na kumalizia na kusema hari si nzuri hata katika ofisi za mikoani ambako viongozi wengi hawakai sasa ofisini kuhofia lolote na zaidi wakitumia simu kufanya kazi za ofisini.
We mbona unakatwa tozo kibao kugharamia saloon na make up za mama yenuUmeshamchangia Lisu hela ya kula yeye na familia yake kwa kisingizio cha kuzunguka dunia?
Kumbe Sabaya kabambikiwa kesi! Sasa kwanini Mbowe na genge lake walishangilia kukamatwa kwake? Au mkuki kwa nguruwe?KAMA MNADHANI KUMBAMBIKIZIA KESI ndio CHADEMA ITAKUFA HAIFI ndio Kwanza Imeimarika Makaburu Walimfunga MANDELA lakini ANC ILI IMARIKA zaidi