Japhet gombe
JF-Expert Member
- May 9, 2016
- 832
- 903
Vipigwe na na nani wakati vyama vyenyewe vyote vimebemendwa wala safari hii hao viongozi hawapewi hata sent tano kwasababu uchaguzi utakuwa huru na haki kura zitahesabiwa sehemu nyeupe kabisa atakaye shindwa anajiona sasa apewe hongo ya nini yaani ulaji ziro mwaka huu vyama vya mchongo.Hakuna uchaguzi hapo, hivyo vyama vinaenda kupigwa kitu kizito