gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,958
- 2,286
Ni mapema sana kusema CHADEMA hawatoshiriki uchaguzi mkuu wa 2025 kwa kutokushiriki utiaji saini wa kanuni za maadili ya uchaguzi wa 2025 uliofanyika leo tar 12 April.
Tarehe hii haipo kisheria na hakuna mahala inasema utiaji sahihi ufanyike muda gani kabla ya mchakato wa uchaguzi. Ingawa nina wasiwasai utiaji sahihi huu lazima ufanyike kabla ya mchakato wa uchaguzi haujaanza
Hivyo endapo kutakuwa na maelewano baina ya Chadema, na Tume ya uchaguzi kabla ya mchakato wa uchaguzi au muda uliowekwa basi watasaini.
Tarehe hii haipo kisheria na hakuna mahala inasema utiaji sahihi ufanyike muda gani kabla ya mchakato wa uchaguzi. Ingawa nina wasiwasai utiaji sahihi huu lazima ufanyike kabla ya mchakato wa uchaguzi haujaanza
Hivyo endapo kutakuwa na maelewano baina ya Chadema, na Tume ya uchaguzi kabla ya mchakato wa uchaguzi au muda uliowekwa basi watasaini.