Mosi, Hawa wanamziki hakika watatokomea mbali, tulishajadili hoja ya aina hii kuhusu wanamziki wanatumika kipumbavu huku wakilalamika serikali haiupi kipaumbele mziki na hatimiliki.
Pili, Waliochoka na maisha haya sio wasomi tu, niwauzaa dagaa, wakulima, wamachinga, madalali, wanawake na wanaume; kuchoka uelewe maana yake hakuhiji elimu, hakuna mjinga wala msomi inapofika suala la kuchoka na CCM, wanaohama CCM vijijini unadhani ni maprofesa??? wanachia udiwani vijijini, wanaachia madaraka wilayani ni wananchi wa kawaida wala sio wasomi.
Tatu, CHADEMA sio kundi la wananchama wa chadema, kwa siasa za tz chadema ni wananchi wa TZ, amini nakwambia.
Nne, ufahamu namna polisi wanafanya kazi, jifunze sehemu yoyote ambapo mapinduzi yametokea. Kwani polisi wao ndo wameridhika na umasikini? kwani polisi hawana familia na ndugu? kwa wanajeshi hawana ndgu?? wote hao ni kaka na dada zetu, watoto wetu, mama na baba zetu. wao pia wamechoka kuiba kura.