Niliona maandamano yao leo maeneo ya kaloleni na mabango makubwa, ya kukashifu chama. hali siyo hali, sikujua walikoelekea, nilipita na mkebe changu yaani ujumbe ulikuwa mzito kweli
Saa hizi ni usiku unataka ofisi ziachwe wazi acha wafunge watafungua asubuhi.Wafuasi wa madiwani wanaounga mkono mwafaka wafunga ofisi ya CHADEMA ARUSHA...picha na video zinakuja
Wingi unategemea na CCM walitoa sh ngapi leo.Mkuu, kwani wananchi wengi katika jiji la Arusha wapo upande gani upande wa madiwani au upande wa chama?
hii trick ya kununua madiwani wa CHADEMA itafutiwe dawa mapema
naona inakula sana, hapa magamba wameshika pabaya watu wana njaa
kuna tatizo sehemu tena kubwa madiwa wachunguzwa mienendo yao
wabunge mko wapi?
Saa hizi ni usiku unataka ofisi ziachwe wazi acha wafunge watafungua asubuhi.
Idadi yao ilikuwa haizidi 30, nadhani ni wale walioshiriki sherehe ya kupongezana pale ukumbi wa manispaa. In fact 98% wanapinga muafaka wa kichinaMkuu, kwani wananchi wengi katika jiji la Arusha wapo upande gani upande wa madiwani au upande wa chama?
Acha zako na wewe kwani UVCCM Arusha hawakuandamana na kutaka kuchoma moto jengo la CCM Mkoa kutaka kumtoa Mary kitanda.Huwa kila siku nasema,
Upinzani Tanzania badoo kabisa!
Tuendelee kujenga umoja wetu na CCM yetu! Hawa wanaoenda upinzani siyo kwamba wanapenda sana maslai ya TZ but ni kutokana na uchu wao wa madaraka hasa baada ya kuenguliwa CCM!
Mh! Haya!umeme mkuu ulikatika wakati na-upload kwenye youtube