Whitesmith
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 454
- 635
Wakati viongozi wa Chadema walivyopoteza Uhuru wao kwa kufungwa kisiasa tulichanga 310Millions kutetea Uhuru ulioporwa kisiasa.
Iko wazi sasa Uhuru wetu unatakwa kupotezwa na ugonjwa hatari wa Covid 19, kwasababu hatuoni njia mbele yetu no wazi sasa, chama kitumie ushawishi wake tutapata zaidi ya Mabilion na tutaweza ongeza ventilator na PPE, nk
Chadema viongozi tengenezi solution msing'angania kutoa weaknesses za serikali kitu ambacho hakisaidii kabisa kunusuru maisha ya watu.
Iko wazi sasa Uhuru wetu unatakwa kupotezwa na ugonjwa hatari wa Covid 19, kwasababu hatuoni njia mbele yetu no wazi sasa, chama kitumie ushawishi wake tutapata zaidi ya Mabilion na tutaweza ongeza ventilator na PPE, nk
Chadema viongozi tengenezi solution msing'angania kutoa weaknesses za serikali kitu ambacho hakisaidii kabisa kunusuru maisha ya watu.
!
