Mawazo toka kiuongo mbadalaHivi CHADEMA wanajifunza kitu gani watakaposhuhudia mhe Dr kikwete akimkabidhi chama Dr Magufuli tar 23/7/2016.
Hivi Mbowe, Ndesamburo wanajifunza kitu gani??
Hivi vijana wanaharakati wa CHADEMA wanajifunza kitu gani hapo?
Je kuna tofauti gani kati ya CHADEMA na saccos au vikoba??
Kweli CCM ni chama cha watu wote.
Nawaza tuuuu