CHADEMA acheni kutetea majizi na mafisadi

hamis77

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,642
19,017
CHADEMA kimegeuka chombo cha kupinga na kukosoa kila jambo linalofanywa na awamu ya 5.

Raisi akitumbua majipu, akikamata wahujumu uchumi, CHADEMA wamekuwa watu wakuwatetea mafisadi na kuona kama mafisadi wanaonewa. Kipindi cha 2010-2015 Niliipenda CHADEMA kwa kukemea mafisadi na kuyapinga ,hakika kilikuwa kipindi kizuri sana, mikutano ya CHADEMA, mitandaoni kote walikemea mafisadi na wahujumu uchumi.

Mtu aliyekufa kipindi kile akifufuka leo hawezi kuamini kama leo CHADEMA wamekuwa wakiwatetea mafisadi na wabadhirifu wa Mali za umma kama wanaonewa eti Rais Msgufuli ana chuki nao . Mafisadi yamebanwa na sasa yanazitapika hela yalizoiba, cha ajabu CHADEMA bado wanamkatisha tamaa Rais Magufuli aonekane ana chuki na mafisadi.


Kwa kweli Itawawia vigumu kuiona Ikulu, niwaambieni majimbo mengi yatarudi CCM, majimbo kama Iringa mjini, Mbeya mjini ni kama tayari yamesharudi CCM, anayetoka maeneo hayo anaelewa ninachoongea. Sasa nyie endeleeni kupinga na kutetea mafisadi na wahujumi uchumi.

Kwa ziara anazofanya Rais Magufuli mikoani ni dhahiri Rais anakubalika na wananchi sana tofauti na propaganda za mitandaoni za CHADEMA.

Kuna wasiwasi CHADEMA ikapata mbunge mmoja uchaguzi ujao.
 
Unamtuhumu mtu kwa uhujumu uchumi, unamsweka sero kwa muda mrefu, kisha unamshawishi akiri tuhuma zake kwa makubaliano ya kulipa fedha kwa kisingizio cha msamaha. Kisha computer zenye kumbukumbu za tuhuma zao zinatoweka kwa visingizio vya kiajabu ajabu.
 
Watu wamegoma kupiga kura baada ya kuona rais anatumia madaraka yake kunajisi box la kura. Mnadhani mkijifanya mnapambana na mafisadi ndio mtapata support ya watu? Mngekuwa mnakubalika watu wangejitokeza kwa hiari yao kushiriki uchaguzi. Majimbo yote nchini mtachukua ila sio kwa kura za wengi, bali kwa hujuma kwa kushirikiana na vyombo vya dola.
 
Watu wamegoma kupiga kura baada ya kuona rais anatumia madaraka yake kunajisi box la kura. Mnadhani mkijifanya mnapambana na mafisadi ndio mtapata support ya watu? Mngekuwa mnakubalika watu wangejitokeza kwa hiari yao kushiriki uchaguzi. Majimbo yote nchini mtachukua ila sio kwa kura za wengi, bali kwa hujuma kwa kushirikiana na vyombo vya dola.
Wamejiandikisha milioni 19.
 
Mtoa mada rudi shule,unapowashulikia hao mafisadi unatumia utaratibu upi???

Anatumia utaratibu kuwakamata mafisadi kwa yeye kufisadi.

Wimbo ni pambana na mafisadi, lakini matendo ni wewe kufisadi na kumfunga miguu CAG Asifanye Kazi zake sawasawa.

Wanaona watu wanajaa ziara za Rais hivyo wanadhani ni kukubalika kwa CCM. Watu lazima wajae kumshangaa Rais kwani ni tukio la dharula halitokei kila mwaka kama mvua.

Hata kijijini wamejua CCM ya sasa na serikali yake ni michosho tuu, kuna watu vijijini walikuwa wanawategemea ndugu zao watumishi au wafanya biashara kuwa boost lakini hayo hayapo kwani wanaambiwa hatuna nyongeza za mishahara au biashara zimekufa sababu Magufuli.

Nao wanachukia, ukileta story za ndege au flyover kijijini wanakuona wewe zuzu tuu kama korosho zao umeshindwa kununua.

CCM ni sawa na marehemu anayesubiri kuzikwa tuu.
 
CHADEMA kimegeuka chombo cha kupinga na kukosoa kila jambo linalofanywa na awamu ya 5.

Raisi akitumbua majipu, akikamata wahujumu uchumi, CHADEMA wamekuwa watu wakuwatetea mafisadi na kuona kama mafisadi wanaonewa. Kipindi cha 2010-2015 Niliipenda CHADEMA kwa kukemea mafisadi na kuyapinga ,hakika kilikuwa kipindi kizuri sana, mikutano ya CHADEMA, mitandaoni kote walikemea mafisadi na wahujumu uchumi.

Mtu aliyekufa kipindi kile akifufuka leo hawezi kuamini kama leo CHADEMA wamekuwa wakiwatetea mafisadi na wabadhirifu wa Mali za umma kama wanaonewa eti Rais Msgufuli ana chuki nao . Mafisadi yamebanwa na sasa yanazitapika hela yalizoiba, cha ajabu CHADEMA bado wanamkatisha tamaa Rais Magufuli aonekane ana chuki na mafisadi.


Kwa kweli Itawawia vigumu kuiona Ikulu, niwaambieni majimbo mengi yatarudi CCM, majimbo kama Iringa mjini, Mbeya mjini ni kama tayari yamesharudi CCM, anayetoka maeneo hayo anaelewa ninachoongea. Sasa nyie endeleeni kupinga na kutetea mafisadi na wahujumi uchumi.

Kwa ziara anazofanya Rais Magufuli mikoani ni dhahiri Rais anakubalika na wananchi sana tofauti na propaganda za mitandaoni za CHADEMA.

Kuna wasiwasi CHADEMA ikapata mbunge mmoja uchaguzi ujao.

BREAKING NEWS

Inasemekana kuwa mwanachama wa CHADEMA ndiye aliyeiba komputa ofisi za Mkurugenzi wa Mwendesha Mashitaka. Jeshi la polisi wako kazini wakichunguza.
Sijawahi kuona andiko la kipuuzi kama hili aliloleta mleta uzi huu.
 
CHADEMA kimegeuka chombo cha kupinga na kukosoa kila jambo linalofanywa na awamu ya 5.

Raisi akitumbua majipu, akikamata wahujumu uchumi, CHADEMA wamekuwa watu wakuwatetea mafisadi na kuona kama mafisadi wanaonewa. Kipindi cha 2010-2015 Niliipenda CHADEMA kwa kukemea mafisadi na kuyapinga ,hakika kilikuwa kipindi kizuri sana, mikutano ya CHADEMA, mitandaoni kote walikemea mafisadi na wahujumu uchumi.

Mtu aliyekufa kipindi kile akifufuka leo hawezi kuamini kama leo CHADEMA wamekuwa wakiwatetea mafisadi na wabadhirifu wa Mali za umma kama wanaonewa eti Rais Msgufuli ana chuki nao . Mafisadi yamebanwa na sasa yanazitapika hela yalizoiba, cha ajabu CHADEMA bado wanamkatisha tamaa Rais Magufuli aonekane ana chuki na mafisadi.


Kwa kweli Itawawia vigumu kuiona Ikulu, niwaambieni majimbo mengi yatarudi CCM, majimbo kama Iringa mjini, Mbeya mjini ni kama tayari yamesharudi CCM, anayetoka maeneo hayo anaelewa ninachoongea. Sasa nyie endeleeni kupinga na kutetea mafisadi na wahujumi uchumi.

Kwa ziara anazofanya Rais Magufuli mikoani ni dhahiri Rais anakubalika na wananchi sana tofauti na propaganda za mitandaoni za CHADEMA.

Kuna wasiwasi CHADEMA ikapata mbunge mmoja uchaguzi ujao.
Ni kikao gani cha kamati kuu au halmashauri kuu ya chama kilichoketi kutetea mafisadi

Nasikia ile mihela ya watuhumiwa wa ufisadi hailipwo kupitia GePG, yanaletwa mabulungutu kwa DPP alafu yanapotea, na komputa za DPP zinapotea
 
Mlisema kila vijiji kitapata mil 50 je nyie kwa kauli hiyo ndio mnaaminika kweli nyani hajui kundule
 
Mtoa mada rudi shule,unapowashulikia hao mafisadi unatumia utaratibu upi???

Unaweza wewe kueleza hao wezi walitumia utaratibu gani kuiba? Na kama hawakutumia utaratibu halali wa kuiba, basi hata kushughulikiwa watashughulikiwa kwa namna yoyote mpaka wazitapike, maana kuiba ni dhambi, na malipo ya dhambi ni maumivu, sasa ulitaka wadekezwe?
 
Sasa utaratibu Wa sheria muliuweka Wa nin kma haufuatwi
Unaweza wewe kueleza hao wezi walitumia utaratibu gani kuiba? Na kama hawakutumia utaratibu halali wa kuiba, basi hata kushughulikiwa watashughulikiwa kwa namna yoyote mpaka wazitapike, maana kuiba ni dhambi, na malipo ya dhambi ni maumivu, sasa ulitaka wadekezwe?
 
kila mwanafunzi mwenye sifa ya mkopo atapewa.
ml 50 kila kijiji.
nyongeza ya mishahara
Kweli fikara sasa zimefika mwisho. Mbona hamjiulizi swali dogo tu. Hivi hayo mahela mafisadi waliyokubali kurudisha wenyewe, huto tumilioni 50 kwa kila kijiji aliyetoa ahadi hii atatoka jasho gani kuzigawa??
Msijeanza kusema; Anawahonga wapiga kura kwani alishawahigi kuahidi kuwa; Najua pa kuzipatia.
 
Wamejiandikisha milioni 19.

Milioni kumi na tisa tusione hata msururu wa watu? Unajua watu 19 maana yake? Wangalau kwenye kila watu watatu mmoja amejiandikisha kupiga kura. Uchaguzi mkuu wa 2015 walijiandikisha watu 22m, nadhani uliona ni jinsi gani kila mtu ukikutana naye anasema kajiandikisha. Misururu ya kujiandikisha uliona ilivyokuwa. Sasa hivi waliojiandikisha ni 1 kwa 200. Ww na wajinga wenzio ndio mnaweza kudanganywa kipuuzi. Jaribu kuangalia zoezi la vitambulisho vya nida uliona misururu yake, na wale hawakufika hata hiyo 19m. Ukiacha hizo itikadi zako za siasa za kipuuzi, ni watu wangapi unaowajua ww wamejiandikisha kupiga hizo kura?

Nakusaidia ww na wajinga wenzio na hao wanaotoa takwimu za kitoto, watanzania tuko 55m+, walio chini ya miaka 18 ni 25m+, wanabaki 30m+. Kwenye hao maana yake kwenye kila watu watatu wazima, wawili wamejiandikisha. Huo ndio uhalisia uliopo, ukirejea idadi iliyojitokeza kwenye kujiandikisha kupiga kura 2015 na zoezi la vitambulisho vya taifa? Unapolishwa taarifa za kipuuzi lazima utumie akili pia. Kwa hiki nilichokuambia ww na wenzio nadhani mtajua kwamba watawaliwa walishaamka zamani, viongozi bado wamebaki usingizini, ndio maana unaona matumizi makubwa ya nguvu kuliko akili.

Mikocheni junction, misuli, yehodaya, jingalao, airfiftyone, jingalao, msemaji ukweli,Diana chimbukano,tuntemeke
 
Kweli fikara sasa zimefika mwisho. Mbona hamjiulizi swali dogo tu. Hivi hayo mahela mafisadi waliyokubali kurudisha wenyewe, huto tumilioni 50 kwa kila kijiji aliyetoa ahadi hii atatoka jasho gani kuzigawa??
Msijeanza kusema; Anawahonga wapiga kura kwani alishawahigi kuahidi kuwa; Najua pa kuzipatia.
mwambie amalize kwanza MADENI ya KOROSHO alizopora huku KUSINI mwaka umeisha sasa ngonjera korosho kapora yeye anawaagiza PCCB wawakamate wasiohusika HOVYO KABISA. alipora korosho zetu alipe
 
Back
Top Bottom