kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 116
Kamati kuu, ilani, kamati ya maadili na mengine mengi na sasa mnataka kufungua tawi eti UK kisa CCM nao wamefungua. Udokta wenu uko wapi mnashindwa kuja na mfumo mwingine tofaut kabisa? Ndio maana mm nimehama CHADEMA koz hapo juu kuna watu watatu chama wanafanya kama kampuni yao.
Nafasi zakusomesha vjana wao ndowana kauli ya mwisho mfano kimemo alichokuja nacho puye toka kwa mkubwa akapewa cheki wakati kuna vijana kibao wapiganaji hawapewi hata vocha kuwasaidia vyuoni. Majina ya nafasi ya BAVICHA tayari mlishasema eti yeyote mwenye harufu ya Ztto, Mpendazoe, Wangwe na Dk Safari jina alitakubaliwa.
Nakwambia kwa ninayoyajua toka CHADEMA hamtafika mbali, kumbuka Dk Slaa wakati wamjadala wakatiba Karimjee pale nyuma ya gari yako ulikuwa ukiongea nini kuhusu Zitto na Mbowe kwa simu wakati unaongea na Lema kuhusu mgombea urais wa CHADEMA 2015.
Acheni kuwahadaa watz eti mnatetea haki na kwambieni kama si hekima za mzee Baregu hapo nikundi la walafi tu linalowaonea wivu CCM nalo likitaka kwenda likale tu.
Nafasi zakusomesha vjana wao ndowana kauli ya mwisho mfano kimemo alichokuja nacho puye toka kwa mkubwa akapewa cheki wakati kuna vijana kibao wapiganaji hawapewi hata vocha kuwasaidia vyuoni. Majina ya nafasi ya BAVICHA tayari mlishasema eti yeyote mwenye harufu ya Ztto, Mpendazoe, Wangwe na Dk Safari jina alitakubaliwa.
Nakwambia kwa ninayoyajua toka CHADEMA hamtafika mbali, kumbuka Dk Slaa wakati wamjadala wakatiba Karimjee pale nyuma ya gari yako ulikuwa ukiongea nini kuhusu Zitto na Mbowe kwa simu wakati unaongea na Lema kuhusu mgombea urais wa CHADEMA 2015.
Acheni kuwahadaa watz eti mnatetea haki na kwambieni kama si hekima za mzee Baregu hapo nikundi la walafi tu linalowaonea wivu CCM nalo likitaka kwenda likale tu.