Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Acheni kujichetua akili na kujifanya hamjui kitu.
Mmesahau operation Sangara ilivyokuwa inasababisha watu wasifanye shughuli za maendeleo?
Mmesahau yule kijana mmachinga wa Morogoro alivyouwawa sababu ya mikutano yenu?
Kubalini ukweli tu mikutano ya siasa inasbabisha kuingilia rabiba za watu na kushindwa kufanya shughulinzao.
Acheni watanzania wafanye shughuli za kiuchumi. Wakati wa kampeni ukifika mtanadi sera zenu.
Mmesahau operation Sangara ilivyokuwa inasababisha watu wasifanye shughuli za maendeleo?
Mmesahau yule kijana mmachinga wa Morogoro alivyouwawa sababu ya mikutano yenu?
Kubalini ukweli tu mikutano ya siasa inasbabisha kuingilia rabiba za watu na kushindwa kufanya shughulinzao.
Acheni watanzania wafanye shughuli za kiuchumi. Wakati wa kampeni ukifika mtanadi sera zenu.