Chabo imeniweka matatani

Chabo imeniweka matatani

I wonder mpaka anamgwaya kiasi hicho!!
Hata kama huyo mwenye nyumba akisingizia ni ugomvi . . . . ndo akasimame dirishani mwa watu usiku wote huo??
jamaa huwa anrudi usiku wa manane teh teh ndo maana kamvizia uthiku.
 
Hahaha,Watoto wa Mulugo wataielewa hiyo Biology kwa lugha gani?Maana kiswahili kinawashinda na kiingereza ndo shida tupu...Vinginevyo wafundishane wenyewe kwa lugha zao maana waalimu walau wanatumia lugha za kitaaluma kufuatana na sheria za kazi..
Mpwa hivi wale watoto na mabeki tatu wanaoangalia filamu za Kifilipino kila siku nyumbani halafu na kuhadithia watu kiusahihi wanatumia uzoefu gani?

Zile picha za kihindi na katuni wanazoangalia na kuhadithia kilichomo tena kwa usahihi wanatumia uzoefu gani?

Nakumbuka usemi wa mwalimu wangu wa Chuo Kikuu, "When I hear I forget, but when I see I remember".
 
By grafani11

Ndiyo maana vitoto vy aswazini vimekomaa vingali vidogo ukiviuliza mtoto anapatikanaje vinakwambia kila kitu. Hata mwalimu wa Biology sekondari hana kazi ngumu linapokuja suala la kujifunza kwa vitendo maana wote wameona na wanajua tayari.

Mpwa hivi wale watoto na mabeki tatu wanaoangalia filamu za Kifilipino kila siku nyumbani halafu na kuhadithia watu kiusahihi wanatumia uzoefu gani?


Zile picha za kihindi na katuni wanazoangalia na kuhadithia kilichomo tena kwa usahihi wanatumia uzoefu gani?

Nakumbuka usemi wa mwalimu wangu wa Chuo Kikuu, "When I hear I forget, but when I see I remember".


Mkuu,Vijana ma Mulugo wana u 'special' wake ktk mambo ya elimu.Labda niseme tu kwa ujumla ni kwamba Tamthilia,Riwaya,nyimbo,mashairi na vitu kama hivyo watu wengi wanaweza kukariri:Na hiyo mimi naweza kuamini kua hata ww ktk masomo yako umekua ukiona watu wakiweza kukariri mashairi marefu na wanayaimba vizuri lakini dhima ya mashairi hayo hawayajui,.namaanisha ukija mtihani wa kumfanya afikiri kitu kinachohitaji udadisi kwa kina wa kitu fulani ktk hilo hilo shairi mtu anashindwa..Elimu ni uwezo wa kudadavua mambo na sio kujua maana ya moja kwa moja,.Biology ilivyo kwa upana wake,suala la kujua kujamiiana sio kudadavua kwa kujiridhisha kwamba unajua hatua za mtoto anavyopatikanaje..

Ila nakubaliana na wewe kwa 100% ktk uelewa wa watu kwa kuona (mara nyingi kwa muono wa vitu vyepesi),ila kuona kwa kibaiolojia kuna vitu vingi huwezi kuviona na ukisema umeridhika kua umejua nini kinaendelea kwa kuona bila mchanganuo wa vitu ambavyo havionekani ktk suala fulani hapo unakua umepungukiwa vitu fulani na kama utakua ni mmoja wa watu wanaosubiliwa kutoa matokeo,basi uwezekano wa kupotosha jamii unakua mkubwa.
 
By grafani11

Ndiyo maana vitoto vy aswazini vimekomaa vingali vidogo ukiviuliza mtoto anapatikanaje vinakwambia kila kitu. Hata mwalimu wa Biology sekondari hana kazi ngumu linapokuja suala la kujifunza kwa vitendo maana wote wameona na wanajua tayari.




Mkuu,Vijana ma Mulugo wana u 'special' wake ktk mambo ya elimu.Labda niseme tu kwa ujumla ni kwamba Tamthilia,Riwaya,nyimbo,mashairi na vitu kama hivyo watu wengi wanaweza kukariri:Na hiyo mimi naweza kuamini kua hata ww ktk masomo yako umekua ukiona watu wakiweza kukariri mashairi marefu na wanayaimba vizuri lakini dhima ya mashairi hayo hawayajui,.namaanisha ukija mtihani wa kumfanya afikiri kitu kinachohitaji udadisi kwa kina wa kitu fulani ktk hilo hilo shairi mtu anashindwa..Elimu ni uwezo wa kudadavua mambo na sio kujua maana ya moja kwa moja,.Biology ilivyo kwa upana wake,suala la kujua kujamiiana sio kudadavua kwa kujiridhisha kwamba unajua hatua za mtoto anavyopatikanaje..

Ila nakubaliana na wewe kwa 100% ktk uelewa wa watu kwa kuona (mara nyingi kwa muono wa vitu vyepesi),ila kuona kwa kibaiolojia kuna vitu vingi huwezi kuviona na ukisema umeridhika kua umejua nini kinaendelea kwa kuona bila mchanganuo wa vitu ambavyo havionekani ktk suala fulani hapo unakua umepungukiwa vitu fulani na kama utakua ni mmoja wa watu wanaosubiliwa kutoa matokeo,basi uwezekano wa kupotosha jamii unakua mkubwa.
Ulichosema ni kweli ila katika upimaji kwa maana ya mtihani sijawahi ona mtihani wenye maswali ya aina moja tu ya Uchambuzi.

Ndiyo maana yeyote anayepata sifuri huyo ni mjinga kweli kweli, maana hata maswali ya SECION A (Multiple Choice), SECTION B (SHORT ANSWER QUESTIONS anakosa!!! Labda ukiniambia hayo ya Essay na uchambuzi ambayo nayo huwa yanabeba alama si zaidi ya 20%.
 
Ulichosema ni kweli ila katika upimaji kwa maana ya mtihani sijawahi ona mtihani wenye maswali ya aina moja tu ya Uchambuzi.

Ndiyo maana yeyote anayepata sifuri huyo ni mjinga kweli kweli, maana hata maswali ya SECION A (Multiple Choice), SECTION B (SHORT ANSWER QUESTIONS anakosa!!! Labda ukiniambia hayo ya Essay na uchambuzi ambayo nayo huwa yanabeba alama si zaidi ya 20%.

Kimsingi aliyesoma na kumaliza kidato cha nne na akapata Division 0 halingani na mwenye elimu ya darada la saba ktk ufahamu wa mambo fulani ya academic."Ila kwa vile tunaishi kwa kutumia wastani basi twaweza kuita wote ni sawa"
 
Sasa mpaka unaamka na kukamata thermos. Unaifungua na kummwagia...yeye anakuwa anasubiri tu ama haangalii kabisa? Ungehama tu huko uswazi bwana.
Mi toka niko home n teknik ya baba aliyokuwa anaitumia kuwakomesha vibaka wa madirishan ndo mana na mimi huwa nahakikisha na kuwa na maji kwenye themos ili nikimbamba namwagia ila wengine wana dawa coz nshachaniwa dirisha sana tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom