Chabo imeniweka matatani

Chabo imeniweka matatani

Wewe ni muuaji. Na hiyo ni hasara ya zinaa.
 
Wakuu kesi ipo police mzee amekazania olikuwa ni ugomvi eti alikuwa ananudai hela ya umeme kwa sababu mi kuonekana ni usiku kwa usiku eti alipokuja kunipigia kelele dirishani ndo nikamwagia maji
 
Majirani wamekusanyika hapo na yeye kaungua na maji ya moto. Halafu ukachukua m-samsung s4 wako na kuanza kupost jeiefu! Thikuwezi.

Hebu nielezee ya maji ya moto...ndo inakuwaje? Usije ukavunja thermos bwana!

Mi toka niko home n teknik ya baba aliyokuwa anaitumia kuwakomesha vibaka wa madirishan ndo mana na mimi huwa nahakikisha na kuwa na maji kwenye themos ili nikimbamba namwagia ila wengine wana dawa coz nshachaniwa dirisha sana tu
 
LMAO-mkuu sio kweli,shahid anayefaa kukutoa ni huyo kabint mliyekuwa mnagegedana nae so mwite hapohapo kwenye tukio asimulie sio kuja JF

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ndo huyo kashindwa
 
Kuwa mwenye nyumba ni tiketi ya kupinga chabo wapangaji? Kavuna alichopanda.

Halafu huyu mzee ndo zake kuna cku waligombana na dada mmoja hapa kwa sababu hyo halafu mbaya zaidi huyo dada alikuwa na mumewe kamtembelea toka dom anakera sio siri
 
Watu wengine tabu kweli! sasa ww badala ya kuendelea na uroda wako unahangaika na mutu ingine! Dunia ni fupi raha jipe mwenyewe kijana. akikuchungulia anamaliza nini kwani?

Haha naona ww c mzoefu wa kudinyana hv ukiona unapigwa chabo unanguvu tena ya kudinya?
 
wewe una balaa... mamo gani hayo ya kumwagia mwenye nyumba maji ya moto? wakati alikuwa anataka apate ushahidi je kweli unaye mlala ni mwanawe au mtoto wa jirani?

Hahaha hana mke na watoto wake wakubwa na wanamaisha yao mbali na hapa
 
Napata shida na baadhi ya story, majuzi huyu ulikuja unasema umetongozwa na mwanaume mwenzako, leo umemumwagia maji ya moto mwenye nyumba yako mhh!!!,

Pole, anza route za madalali mapema maana lazima leo upewe notice ya kuhama ASP.

Siku hazgandi na maisha hayaishiwi mikasa
 
Mosi - Hii mitandao ya Simu na MB50 zinatupa tabu maana mtu ana Post anavyojisikia tu.
Pili - Umetoka Facebook na kuja kutudanganya Wakubwa zako na hadithi ya kutunga hapo kitandani sijui kwenye kochi...Uandike kwa Aya sio unatiririka tu.

Mkuu hapa ni MMU hatunaga mabishano wala magomvi km vp jikatae nenda mwenye majukwaa ya GT huko
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom