Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,826
- 58,493
Ni mimi huyu
Ni mimi huyu
Kumbe ni IT weweNenda icon ya insert picture, bonyeza alama ya smile kisha zitafute kwenye Jf Pack zipo 1 mpaka 11
Au ukiona uvivu search neno music zitakuja hizo



Mwanangu mimi hapa 😅
Huwa nalala bila nguo huko ndiyo kujiongeza kwangu.Wewe mbona ukizinguaga mimi ndo mpaka nikuguse , Kwanini huwa hujiongezi ? 😁
Ila we mshangazi daaaaaa 🐶🐶🐶We acha tu.
Anapeleka moto mpaka hapa nilipo nahisi nina vidonda huku kwa bibi.
Au sijui alininywea viagra mpumbavu yule 🤔.
Sema nataka nijaribu 'rough road'
😀😀😀😀😀😃😃🥲🤣🤣🤣🤣Sema kuna wanaume wengine wananguruma kama engine ya Altezza mbovu.
Wanakata sana stimu kitandani
usisahau kunifikishia salamu zangu,, mwambie yakinishinda nilipo nitakua mkamwana wake 😌nawasilisha.
nyuuuuuziiiii zako pendwaMadam ni diemu nikujaze manoti
View attachment 3347703
Sio kweli , hizi ni za kwakonyuuuuuziiiii zako pendwa
acha ktoto cha watu kimalize hata la sita wewe looohJamani Mimi nina mchumba wangu ambaye tumeanzisha uchumba hivi karibuni.
Dogo ni bikra na sikutaka nifanye naye mapenzi kama alivyohitaji. Kuna siku nilimwamby nahitaji kwenda mbali kwa utafutaji, nkamwamby akimpata mtu amuoe.
Hiyo ilileta shida kwake kiadi cha kuugua sababu ananipenda na mimi ndo mtu wake wa kwanza, hapa nifanye nini niweze kumuacha bila ya maumivu
Yaani comment yako ipo juu kabisa,,manake ulijihimu mwenyeweSio kweli , hizi ni za kwako
Salamu zimefika, yakikushinda karibu nyumbani, hapa ni ukweni kulikochangamka.usisahau kunifikishia salamu zangu,, mwambie yakinishinda nilipo nitakua mkamwana wake 😌nawasilisha.
Nilikumiss mamaMwanangu mimi hapa 😅
Amekusikia hapa pia kiukweli kafurahi kusikia hvo aiseeeusisahau kunifikishia salamu zangu,, mwambie yakinishinda nilipo nitakua mkamwana wake 😌nawasilisha.
Nitaweza sasaacha ktoto cha watu kimalize hata la sita wewe loooh
Mama kwa kunipakulia minyama tuu nakupa saluti....Salamu zimefika, yakikushinda karibu nyumbani, hapa ni ukweni kulikochangamka.
Mwanangu Poor Brain ana kila sifa za kuwa mume bora 😇
Reform ni lazima bila reform hakuna uchaguziLeo nimesikiliza podcast ya mtu maarufu aliyekua anasimulia alivyobambwa na mpenzi wake wakati wanakulana kwenye choo cha ndege. Yeye mwanaume alikua anatoa miguno wahudumu wakahisi labda ni medical emergency 😂
Haya wanajukwaa njooni tuambizane mizagamuano inayonoga kuliko yote.
Naanza;
CC:
- Kumisiana, mnakutana na hamjaonana siku nyingi, alikua safarini au hamuishi mkoa mmoja, halafu mnapeane ile kitu inayozama kwa mwenzake.
- Ya kuibia ibia, mmetoka mko kwenye starehe, au ofisini, au kwenye gari, chooni, au nyumbani sebuleni wakati hamuishi wenyewe. Ile mnafanya tendo kwa sababu hisia zimewabana mmeshindwa kuvumilia kufika sehemu ya faragha.
- Ugomvi, mmegombana halafu mkachuniana au hamkua kwenye good terms halafu mkajikuta mmesawazisha tofauti na mkapeana ule utamu baada ya kusameheana “make up sex, huwa ni moto sana.
- Umefuatilia penzi muda mrefu, halafu anakubali kuja kwako na mnaanza kushikana shikana halafu unamchomekea na kumla kwa mara ya kwanza. Na ukute umetiwa hamu na watu humu JF so ashki zimekupanda unahaha kama Mbaga Jr .
Haya ongeza za kwako zinazonogaga.
Nusratt , babes sijateguka kiuno ila cha moto nimekiona, sasa hivi najisikia mwepesi hata ukinipuliza kidogo tu napeperuka.
No reform, no erection 😋💯Reform ni lazima bila reform hakuna uchaguzi
No reform no election ⚒️ 💯
Nimekumiss pia mtoto wangu kipenzi 🫶🏽Nilikumiss mama