Uchanganye vyakula vya mabeberu na kinjekitile si humo tumboni kutatokea majimaji war!Hivyo napiga mchana nkisharudi job ndugai
ulijua Mbute na Nyuka!!Nikajua kitu cha mbute kumbe unakula vitu vya kizungu..
Mawazo ya kishetwani hayaNikajua kitu cha mbute kumbe unakula vitu vya kizungu..
Unajua mbute wewe au bado mshamba..?Mawazo ya kishetwani haya
Nileteeni gwaji maaaaaaaaaaaaaaaaUnajua mbute wewe au bado mshamba..?
Huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono. Humsikii hata mwenye nchi yake anavyonadi mauno mauno mauno mauno mauno,hivyo mkuu. Ngono ipo na itaendelea kuwepo, wewe mwenyewe una vimeo kibao kuna simu zingine hupokei una mute tu, ha ha haaaaUsiwaze ngono ww
Unga wake uliotengenezewa haujakobolewa kwa hiyo ni mzuri kwa afyaUna nn huo brown bread?
Ha ha ha ha kabisa mkuuMawazo ya kishetwani haya