Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Cha asubuhi sitaki, labda akaoge kwanza

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
27,640
Reaction score
65,112
Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mimi? Sitaki.

Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mimi. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mimi kwangu mapenzi ni usafi.
 
Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mm? Sitaki.

Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mm. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mm kwangu mapenzi ni usafi.

Umeolewa au unakota njiani?
 
Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mm? Sitaki.

Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mm. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mm kwangu mapenzi ni usafi.
Taratibu unanizoesha kwenda nje ya nchi kusalimia
 
Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mm? Sitaki.

Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mm. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mm kwangu mapenzi ni usafi.
Nawewe unaogaga kwanza kuiosha na kupiga mswaki kabla hujampa
 
Nimetamani kujua jinsia yako halisi ila hainizuii kukupa madongo yako.

Kama ni wanamke, Hivi hilo bakuli lako kitwa nzima limechomwachomwa na mpini na kumwagiwa humo humo matapishi unahisi halinuki, hilo domo lako ukilala kutwa kuliacha wazi na maudenda unahisi haunuki, hayo makalio yenye ukurutu unahisi yana toa harufu nzuri kwa mwenzio!?

Kama ni Mwanaume: Hivi Mikende yako hiyo ikitumika usiku unahisi ni misafi tena, utaanzaje kuona mwenzako mchafu ile hali umejikojolea!

Punda kihongwe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom