Mataifa saba ya Africa yameiondoa juice ya Ceres sokoni na kuzuia kununuliwa kwa kuwa inakiwango kikubwa cha sumu ya Patulin inayosababisha madhara ya kuhara na kutapika
Nchi za Uganda, Kenya ,DRC , Zambia, Malawi, Seychelles, Mauritius zimelazimika kuondoa juice hii sokoni na kuzuia kuagiza
Japo nchi tajwa zimetumia mwavuli wa COMESA kugomea bidhaa hii inayotengenezwa Africa Kusini ni bora mamlaka za Tanzania kupiga marufuku kwakuwa inauzwa sana hapa nchini na tuko na juices nyingi tu bora za wazawa.
USSR
View attachment 1973664View attachment 1973665