CEO wa Vodacom aliyeteuliwa toka Kenya anyimwa kibali na Serikali. Aambiwa wapo watanzania wa kufanya kazi hiyo

We unadhan kukwamisha mizigo Yao bandarin ndio tumeweweza ACACIA?? Tusijerudi nyuma enzi zileeee kuanza kuchezea dhahabu Kama kete za bao
Lengo nikukuonyesha kwamba hatuwaogopi kama wanavyowaogopa Kenya kwa kuwakabidhi sector muhimu zote za uchumi na kuwaacha wafanye wapendavyo, sisi tunauthubutu wa kuwadhibiti, suala la kwamba kama ni sawa au sio sawa hilo ni swala lingine linalohitaji mjadal wa kina.
 
Tigo- Diego Gutirerez
Airtel- Sunil Golaso
Zantel- Benoit Janin
Barclays- Abdi Mohd( mkenya)
NMB( Bussemaker)
hao ni baadhi tu mpaka TBL siju Twiga cement na wengi tu kama mtakuta wa Bongo. Huyo Director wa hivi sasa anayemaliza muda wake sio TZ lakini kimya ila katokea dada toka Kenya tumeanza kelele. Mimi nadhani kuwa watu huko Voda walidhani watakula ulaji wamepigwa chini ndio maana hizi kelele. Tatizo ni kubwa sana kuliko huyu dada wa Kenya. Tujiulize tumekosea wapi
Watanzania sisi siyo waaminifu kwenye Kazi, hatupo serious, hatujali kuiba Hadi kufilisi ukiangalia bank za Equit Tanzania nzima ni Kama 30% ya watanzania walioajiliwa huko percent nyingne yote ni wakenya..ifike mahali watanzania tujitambue
 
pongezi ziende kwa uncle magu pamoja na kamati yake yote ya uhamiaji:D:D:D:D:D
Pale uhamiaji walikuwa wametegwa, kama wangempa kibali huyo mkenya. Sasa ivi kungekuwa na watu kutimuliwa na kupewa kazi nyingine
 
We unadhan kukwamisha mizigo Yao bandarin ndio tumeweweza ACACIA?? Tusijerudi nyuma enzi zileeee kuanza kuchezea dhahabu Kama kete za bao
Tuchezee tu dhahabu zetu, kuna haja gani kuumia kwa kigezo cha kukumbatia uwekezaji,
 
Wait till 60 days of grace period elapses,there will be an exodus. All Tanzanians in Kenya without work permits or proper documentation are all on their way out.
kwani wakenya wangapi wko TZ bila vibali na wanafanya kazi.


huu ni utaratibu wa mataifa mengi tu...nenda ulaya ama hata southern Africa kazi anazoweza kufanya mzawa kwanini apewe mgeni?
 
Teh teh teh yangu macho tu, nimesikia id zetu zitakuwa revealed acha nikae kimya.

"Yajayo yanafurahisha....tupo tayarii?
 
Kaa kimya watu wako kazini
watu wako kazini? Serikali haijui hata share zake za NMB hawawezi kufuatilia ndio mtaweza kuendesha kampuni? Twiga bank wameifilisi na sijui posta bank wako katika umauti. Kama watanzania hatuwezi kujuwa hata faida ya shares zetu ndio tutaweza kuongoza Bank. Rais anasema haiwezekani faida kila mwaka toka NMB iwe Bilion 16 tu kila mwaka maana yake ni nini? kweli hatujui faida ya Bank ndio bado mnataka mpewe Voda? wataleta hata kaburu. TTCL inawashinda, maana ingekuwa nchi nyingine TTCL ndio angekuwa anaongoza soko maana wana facilities zote mpaka madeni wamesamehewa lakini wapi mnataka kukimbilia kampuni za watu. wekeni mtu wenu kama watu hawajauza share zao.
 
watu wako kazini? Serikali haijui hata share zake za NMB hawawezi kufuatilia ndio mtaweza kuendesha kampuni? Twiga bank wameifilisi na sijui posta bank wako katika umauti. Kama watanzania hatuwezi kujuwa hata faida ya shares zetu ndio tutaweza kuongoza Bank. Rais anasema haiwezekani faida kila mwaka toka NMB iwe Bilion 16 tu kila mwaka maana yake ni nini? kweli hatujui faida ya Bank ndio bado mnataka mpewe Voda? wataleta hata kaburu. TTCL inawashinda, maana ingekuwa nchi nyingine TTCL ndio angekuwa anaongoza soko maana wana facilities zote mpaka madeni wamesamehewa lakini wapi mnataka kukimbilia kampuni za watu. wekeni mtu wenu kama watu hawajauza share zao.
Ndiooo...ila mzawa akae, mgeni tupa kapuni halafu kapu litupie border
 
Jikite kwenye hoja kijana naona umeshaanza kutafuta nd.....
Oh pls tuendelee na hoja
Hoja Voda sio kampuni ya serikali na yenu ni TTCL huko mkateuane tu live kwenye TV biashara za watu waachieni mradi wanalipa kodi basi. makampuni yenu yote ya serikali hoi bin taaban. na nakuhakikishia Voda mtawakatalia vibali wote ila hawataweka mtanzania na siku kumbuka kurudi kusoma tena. kazi hatuwezi maana nitajie kampuni moja tu mtanzania yuko na tumepiga hatua. utasema akiteuliwa DG voda ndio litamaliza matatizo ya vijana kukosa kazi, serikali yenyewe hakuna ajira mnataka kuingilia kazi za watu.
 
Sasa hii jumuiya ya Afrika Mashariki ina umuhimu gani kama wananyimwa vibali??
Apo wanataka waweke mamluki wa Ccm kwenye executive position
 
So tuanze kulipishana kisasi? An eye for an eye leaves the whole world blind. Endeleeni na hio upuuzi. We cannot wrestle with a pig in the mud. You guyz are so insecure and paranoid.

Kwa hiyo wewe unatakaje???!!! Inaelekea wewe siyo Mtanzania...What is 'kulipishana'??? Una maana ya 'kulipizana' visasi???
 
Umeingia cha kike, Voda kuuza share maana yake ni kuwa public na siyo private co. Tena
Kama una shares si ukapige kura kumkataa huyo dada, wenye mali ndio wamemteuwa kwani wao wajinga hawajui kama watanzania wako. wanajuwa lakini hawampi mtu maana atauwa kampuni na wataanza kuajiriwa watoto wa dada sijui mara kabila moja. wao wanajuwa yote haya wataongoza kampuni hata kwa remote kutoka S.Africa.
 
Hoja Voda sio kampuni ya serikali na yenu ni TTCL huko mkateuane tu live kwenye TV biashara za watu waachieni mradi wanalipa kodi basi. makampuni yenu yote ya serikali hoi bin taaban. na nakuhakikishia Voda mtawakatalia vibali wote ila hawataweka mtanzania na siku kumbuka kurudi kusoma tena. kazi hatuwezi maana nitajie kampuni moja tu mtanzania yuko na tumepiga hatua. utasema akiteuliwa DG voda ndio litamaliza matatizo ya vijana kukosa kazi, serikali yenyewe hakuna ajira mnataka kuingilia kazi za watu.

Hao Vodacom watasalimu amri tu...hawawezi kuacha biashara yote hii..Tanzania ni nchi ya tatu hivi (kama sijakosea) kwa matumizi ya mobile phones barani Afrika, na vodacom wanavuna trillions of dollars hapa Tanzania
 
Back
Top Bottom