3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,249
- 6,979
simba ina wazee angalia umri wa kila mchezaji hapoKwa aina ya timu waliyonayo Simba mwaka huu na lundo la wazee Simba ikitolewa wala haidawi kitu, hatua waliyofika inaridhisha tatizo la Tanzania au Africa Mashariki hatuna uwezo wa kuvunja benki kusajili wachezaji wenye quality za kuchukuwa haya makombe ya Africa.
Tujitahidi kwenye scouting kama alivyopatikana Luis kabla hawajamuona timu kubwa zenye pesa.
Ni kweli Watanzania tunahitaji furaha lakini inafika wakati kwenye mpira nje ya mambo yote qualities ndio inamuuwa mshindi.