Celtel imebadili jina na kuitwa Zain. Mabadiliko haya yanaonyeha ni njia mojawapo ya kukwepa kodi. Kama sivyo ni kwa nini wabadili jina. Na mabadiliko ya jina yataongeza tija au kuna faida gani?
Any way, sidhani kama ni kukwepa kodi, kama kampuni inaweza kukwepa katika nchi 14 za Africa (ambapo Celtel ilikuwepo) kwa mkupuo basi waafrika "tumeoza".
Naamini haya ni mabadiliko ya kibiashara tu na hayahusiani na kukwepa kodi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.