CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Huyu Ndikumana anaujuwa mpira kwa kuutizama na kuucheza Watu kama hawa mipira yetu ya Magoli ya mawe Unamrukia mbili atoke nje. Hawa Wachezaji wa Kilimanjaro mpira ni mbovu mtu kuzunguka anageuka na mpira kwa Tabu utafikiri anazunguka Roundabout ya Uhuru na Msimbazi.
 
mkuu mi naufatilia hapa jamii kwa hiyo starehe yangu iko katika macho na masikio yenu mlio na access ya TV na radio!!

ndio maana una moyo kumbe huoni madudu yanayoendelea
 
.......na mpira umekwisha, tumefungwa lakini watoto wa Simba: Ngassa, Kaseja, Kiemba, Mwinyi wametisha!!
 
ndio maana una moyo kumbe huoni madudu yanayoendelea
ha ha ha ha ha ha ha!! watu8 bwana,kwa hiyo pressure zingine mnazipunguza kabla hazijanifikia!!pole kaka!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…