Ni kweli mkuu ndio maana nimeuliza maana kicha cha thread hii kinasema CDM wakielekea Liganga! hapo ndo naona kama mtoa mada anachanganya habari!HASSAN MASOKA kuwa makini kwenye picha ya pili wameandika tanga, unatakiwa kusoma kwenye kila picha kabla ya kutoa maoni yako, tuko pamoja kaka
Tanga CUF wamechukua, duh nimefurahishwa na hilo tangazo kuhusu wanaomdai marehemu. SISIEMU ina kazi kweli.Ni kweli mkuu ndio maana nimeuliza maana kicha cha thread hii kinasema CDM wakielekea Liganga! hapo ndo naona kama mtoa mada anachanganya habari!
tanga ilikuwa hivi