Ndugu wanaJF, Najaribu kufikiri kitendo cha kupigwa CUF kwenye maandamano yao leo mchana pale buguruni kuwa ni ishara ya mkakati maalum dhidi ya CHADEMA. Hii itakuja kutumika kama sababu ya kuzuiwa maandamano na kupigwa wana chadema.
Nyie mnaonaje?
Mkuu,
Jitetee kwa hoja baada ya kusoma mchango wa Kings of Kings #13.
Naona amefanya kazi nzuri tu ya kulipapatua gamba ulilojivisha.. au???
Leta hoja zako na zipange kwa umakini!!