Hivi wakati watanzania wanakadiriwa kufikia karibu sasa 45mil. Je bado ni akili kuchukua screpers kutoka CCM na vyama vingine kuja kwenye chama la ukombozi wa nchi au ni bora kuchukua na kuhangaika kupata wanachama wapya wasiokuwa na vyama? hamuoni huu ni mtego wa CCM(Chama la magamba?)))