CDM kususa kwenu bado hakujaisha?

Hawa huenda ndiyo waliotumwa na akina P Msekwa kwamba waje waipake matope Chedema hapa Jf kwa imani kwamba Jf ni mali ya Chadema.

SIMTAMBUI JK KAMA NI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ww kweli utakuwa sio CDM ? mbona iko wazi tu mkuu
 
Wewe ni mtanzania kweli usie jua sherehe za kitaifa ? na wasiwasi na uraia wako, nenda kasome kalenda zimeandikwa humo

Wewe mpuuzi kweli! Waache kuhudhuria msiba wa mpendwa wetu waje kwenye sherehe? Wewe uliyesheherekea umepata nini?
 
Wanajiaandaa na kuandamana, nadhani wazungu wamechelewesha fungu au wapo bize na Libya.
 
Kinachowashangaza watanzania na wenye kuitakia mema nchi hii ( sio CDM ) ni pale ambapo CDM kususia sherehe zote za kitaifa japokuwa hupewa mualiko rasmi. Hivi hizi sherehe zote za kitaifa hazina maana kwenu ? je mngechukua nchi hii na kushika dola mngezifuta ? . Hili kwa CDM halionyeshi picha nzuri kabisa mbele ya watanzania, na wengi wameisha anza kuwadharau na kuwaona kuwa hamkuwa na nia njema na hamna nia njema na nchi zaidi ya maslahi yenu binafsi. Na nukuu maneno ya Mh. Shibuda , mbunge wa CDM Maswa wakati wa kikao cha wabunge wa CDM kilichofanyika Bagamoyo kuwa ‘…………hiki si chama cha kisiasa bali ni kundi la wahuni wachache wenye uroho wa madaraka’ mwisho wa kunukuu. Tafakari zingatia
Nafikiri sababu za CDM kutohudhuria sherehe za kitaifa zipo wazi,unachotaka hapa ni malumbano yasiyokuwa na maana wala tija kwa mtanzania anayesubili kuokolewa kutoka kwenye dumbwi la umasikini uliyokisiri!!
 
Jana redio ya dw ya ujerumani walitangaza kuwa kuna vipeperushi vilikuwa vinasambazwa kuwashawishi wananchi wa visiwani kususa sherehe ya Muungano. Kwa wa jf wa visiwani tupeni habari hayo tuliyosikia ni kweli? na kama ni kweli vipeperushi hivyo vilisomekaje?
 
Huyo anayesema maisha ya ukoloni yalikuwa bora kuliko ya sasa au ni mjinga asiyejua historia au msAliti wa nchi yetu
 
Wakati huu wa ugumu wa maisha, bora wangetoa hizo fedha za sherehe kuwasaidia watu wenye shida nyingi tu hapa nchini. Hatuwezi kuzungumzia sherehe wakati kama huu...pia CDM have their choices kama chama, so wana haki kutohudhuria and I am sure wana make a big statement by doing so. Sherehe za kitaifa gani...Watanzania wangapi hata wanafahamu what is going on? Watu hawana elimu, watu wako maskini kupindukia, wanashambuliwa na maradhi, ebu ona jinsi wanavyohangaika kwenda kwa yeyote anayetangaza ana tiba...how can we talk about sherehe za kitaifa wakati taifa is descending to abject poverty with an high speed every day?
 
Muungano wa Tanganyika na zanzibar ni wa Viongozi si wanainchi wa kawaida.CDM wanaangalia mwanainchi wanataka nini,muungano unakosa thamani kwa kuwa haujashilikisha wanainchi wa kada zote.
 
attachment.php

Duh!! Wewe baba mchungaji unamaono wewe!!

You make me happy.

Sasa Rev mshughulikie huyu mb**mwitu anayekuja kulìharibu kundi la kondoo wa bwana kama ulivyomshughulikia ugonjwasugu wa mbu.
 
ni design zetnu ninyi mnaofuata ubwabwa kuziona zina maana. Kuna haja gani ya kusherekea wakati maisha ya wakati wa mkoloni wakati wa tanganyika yanasemakana yalikuwa mazuri kuliko maisha ya mtanzania baada ya miaka 50 ya uhuru??

Binafsi nilishaacha kusherekea sikukuu za kitaifa mpaka siku ccm itakapondoka madarakani.

comments za matusi kama hizi ndizo zinaifanya jf kuonekana vuvzela
 
Basi hili taifa limeisha kuwa la vichaa kama hata watu muhimu kama Nyerere na Karume hatuoni michango yao. Na nina wasiwasi na upeo wako wa mambo

Kumbuka hawakuwa malaika, na hawakuwa sahihi kwa kila jambo na ndio maana wanakosolewa. Kwanini unaita taifa letu ni la vichaa? Kwani ni lazima tukubaliane na kila wazo lao? Mbona huwaiti vichaa waliolichakachua Azimio la Arusha kule Zanzibar wakati hata Nyerere mwenyewe akiwa hai? Usiwe na wasiwasi na upeo wa mambo wawenzako bali uwe na wasiwasi na upeo wa mambo wako mwenyewe kwanza.
 
Kinachowashangaza watanzania na wenye kuitakia mema nchi hii ( sio CDM ) ni pale ambapo CDM kususia sherehe zote za kitaifa japokuwa hupewa mualiko rasmi. Hivi hizi sherehe zote za kitaifa hazina maana kwenu ? je mngechukua nchi hii na kushika dola mngezifuta ? . Hili kwa CDM halionyeshi picha nzuri kabisa mbele ya watanzania, na wengi wameisha anza kuwadharau na kuwaona kuwa hamkuwa na nia njema na hamna nia njema na nchi zaidi ya maslahi yenu binafsi. Na nukuu maneno ya Mh. Shibuda , mbunge wa CDM Maswa wakati wa kikao cha wabunge wa CDM kilichofanyika Bagamoyo kuwa ‘…………hiki si chama cha kisiasa bali ni kundi la wahuni wachache wenye uroho wa madaraka’ mwisho wa kunukuu. Tafakari zingatia

Wewe unaupungufu wa kuchanganua mambo na kusoma majira na nyakati....naunga mkono viongozi wetu wa CDM kutofika katika sherehe hizi za serikali isiyokubalika na watu wa pande zote...zingatia haya:

  1. Muungano haukubaliki kwasasa na huna mambo mengi ya kutafakari kwa kina..
  2. Na CDM tuna plan B kuwa muungano ujadiliwe upya kwasababu ya mapungufu mengi ya msingi..
  3. Na hata kama CDM wangechukua dola na kufuta sherehe hizi ingekuwa ni hatua muhimu ya kuanza kuutafakari kwa kina muungano huu....
Usiwe ni bendera fata upepo..tafakari kwa kina na toa comments ambazo zinatija kutokana na hali ilivyosasa...hata kupeleka hizi sherehe Zenji mwaka huu ni kiini macho kuwafunga mdomo wanzanzibar wasiendelee kuuchokonoa uovu ndani ya Muungano..
 
comments za matusi kama hizi ndizo zinaifanya jf kuonekana vuvzela

Wewe ndio vuvuzela..tena kama una la kusema usitutukane members wa hii forum iliyojijengea heshima dunia nzima..mods apigwe total ban huyu mvamiaji...
 
Kinachowashangaza watanzania na wenye kuitakia mema nchi hii ( sio CDM ) ni pale ambapo CDM kususia sherehe zote za kitaifa japokuwa hupewa mualiko rasmi. Hivi hizi sherehe zote za kitaifa hazina maana kwenu ? je mngechukua nchi hii na kushika dola mngezifuta ? . Hili kwa CDM halionyeshi picha nzuri kabisa mbele ya watanzania, na wengi wameisha anza kuwadharau na kuwaona kuwa hamkuwa na nia njema na hamna nia njema na nchi zaidi ya maslahi yenu binafsi. Na nukuu maneno ya Mh. Shibuda , mbunge wa CDM Maswa wakati wa kikao cha wabunge wa CDM kilichofanyika Bagamoyo kuwa '…………hiki si chama cha kisiasa bali ni kundi la wahuni wachache wenye uroho wa madaraka' mwisho wa kunukuu. Tafakari zingatia

Kwani kwenye sherehe zile kulikuwa na utambulisho wa viongozi wa vyama vya siasa? Mrema, Dovutwa, Chipaka, Mtwabo na wengine wengi sikuwaona mbona huvisemi vyama hivyo? Unajuaje kama vyama hivyo pamoja na CHADEMA walituma wawakilishi wao. Ulitakiwa uwalaumu walioandaa sherehe kwa kuto watambulisha viongozi wa vyama vya siasa. Kwani CHADEMA maana yake DR.Slaa tu?
 
hawa chadema mie hata sielewi wana ajenda gani ya siri maana sio wazalendoo kabisa hawazitambua siku za kitaifaaa wao ni kgomaa tu kama wana uchngu na nchii mbona posho za mjengoni hawagomi kupokea ili ziende zikasaidie wananchii na matatizo mbalimbali hawa ni wasaniii jaman tuwaepuke kama ukomaaa
 
Back
Top Bottom