Eraldius
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 1,120
- 906
lakini kama kachakachua mbona sioni rangi yoyote tofauti na ya chadema au ya kijani ya mijizi pia mifisadi ya ccm magamba apo???????? Natmai anamaanisha kama aliyosema kuwa kampeni za cdm zinazinduliwa uko mwanza, then kaweka picha ya mkutano wa cdm not necessry uwe uo unaoudhania wewe camon..ni kawaida ya cdm kuchakachua picha...hii inadhihirisha
Ng'wana Sweke nilikuwa najiuliza leo umeenda wapi habari za Kirumba tunaletewa na watu wengine!Ratiba:Saa Sita mchana Kumpokea Zitto Mwanza Airpot baadaye Zitto atakwenda nyumbani kwa Marehemu diwani MANOKO kuhani baada ya hapo atakwenda Makaburini kuweka shada la maua ndipo ataelekea moja kwa moja uwanja wa Magomeni-Kirumba kuzindua kampeni.
Ni kawaida ya CDM kuchakachua picha...hii inadhihirisha
Ratiba:Saa Sita mchana Kumpokea Zitto Mwanza Airpot baadaye Zitto atakwenda nyumbani kwa Marehemu diwani MANOKO kuhani baada ya hapo atakwenda Makaburini kuweka shada la maua ndipo ataelekea moja kwa moja uwanja wa Magomeni-Kirumba kuzindua kampeni.