Sabung'ori
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 2,166
- 1,247
...mweshiwa Zitto asema "1.mtu atakaye ipigia kura CCM atakuwa amekubaliana na ufisadi,mfumko wa bei 2.kapigeni kura kuikataa CCM ili kuitumia salam serikali kuwa atukubaliani hayo mambo...
Hivi hawanaga hoja nyingine?
Hadi mtakapoacha ufisadi ndipo tutabadili DvD.
Fedha ya ufisadi hamna uchungu nayo mnaitumia hovyo hata mapokezi ya Lipumba mmetengeneza mabango mengi kuliko mliyotengeneza wakati wa uchaguzi mkuu!
sawa tumekusikia ..hii single imesha expire..
Vipi mili.19 za feasibility study umeshapewa mrejesho?
Vipi ile gari chakavu mliyouziwa na mbowe kwa bei ya juu kabisa? inaitwaje? ufilisi au ufisadi?
Vipi ule mradi wa ccbrt slaa amekudokeza, ok mke wa mtu ni mambo binafsi (a.k.a ufisadi binafsi)..
mnachongea ni tofauti na mnacho practice
Ha ha haa,
Nilijua tu lazima utatoka pangoni. Karibu vijibweni tuone pumzi yako najua kirumba hujatia timu!
Ni kawaida ya CDM kuchakachua picha...hii inadhihirisha
Vijibweni nilikuwepo huko juzi..vipi ile feasibility study, aliyofanya aweda imelipa..
Aweda kundi la kupata 10mil. si haba kwa jamaa yangu kutoka mbulu a.k.a slaa mtoto
mjiaandae kuwahonga 200,000/- kila kura halafu muishie na kura za uzini ..
anyway wahi upate mgawo au hauko kwenye kundi la kupata..lol