CCTV CAMERA za kisasa wireless

CCTV CAMERA za kisasa wireless

Burton86jm

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2011
Posts
616
Reaction score
183
CT-P721 ni CCTV camera za kisasa wireless ambazo zinafanya kazi na simu ANDROID na IPHONE.
Una uwezo wa kuifunga sehemu unayoitaka kama ofisini,nyumbani,apartment,hotelini au guest house eneo la reception au parking na ukawa unafatilia kinachoendelea kwa kutumia simu yako unastream live eneo lile,hapa kinachozingatia ni eneo ulilofunga kuwa na access ya internet tu.Basi hapo utaona kinachoendelea hata uwe njee ya mji au njee ya nchi au njee ya bara la afrika kwa wakati.Pia inakupa fursa katika simu yako hapo hapo kupiga picha eneo hilo linalooneshwa na kamera kupitia simu yako na kurekodi video,pia kuweza hata kumsemesha mtu unae muona kwenye kamera maana kamera ina spika ndogo ambayo anaweza kukuskia.Mbali na hilo pia ina sehemu ya TF card au memory card ambayo nayo inaweza ikawa inarekodi muda wote,16GB ni wiki nzima,32GB ni wiki mbili na 64GB ni mwezi hapo ni 24/7

MOTION DETECTION
Katika motion detection hii itakuwa nafasi ya kuitambulisha cctv camera maeneo muhimu ambayo utataka yakiguswa au kitu kupita mbele yake upate taarifa kwa e-mail,mfano kama mlango,droo,dirisha au sehemu yoyote utapata notification kwenye simu yako kama e-mail,Zinapatikana kwa Tsh.150,000/= tu.Mawasiliano 0754 83 55 43
c6ed2315383d0618d22df9082aef475c.jpg
76e0d2473270433952fc26aeb1aba028.jpg
89119dd822c90b9f8fe925f2de7a902b.jpg
fecc56d9a189fc14e629a36397350628.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

Mkuu umekurupushwa? Hujaweka maelezo tosha. Unapatikana wapi? Contacts zako? Unauza? Unatafuta ununue?
 
Mkuu unaweza kuwa na access ya kuunga moja kwa moja kwanye TV yako
 
Ikopoa sana, ntakutafuta

Sent from My GooglePixel using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli nimezipenda na bei ni nzuri.
Lkn sijaelewa hiyo access ya inernet inapatikana vp eneo la kamera na simu yangu.
Hebu toa maelezo hapo
 
Kiukweli nimezipenda na bei ni nzuri.
Lkn sijaelewa hiyo access ya inernet inapatikana vp eneo la kamera na simu yangu.
Hebu toa maelezo hapo

Nilitaka kuuliza hilo. Asante kwa kunisaidia mkuu.
 
Kiukweli nimezipenda na bei ni nzuri.
Lkn sijaelewa hiyo access ya inernet inapatikana vp eneo la kamera na simu yangu.
Hebu toa maelezo hapo
Upande wa internet inatakiwa eneo hilo unalofungia camera kuwe na access ya internet yaani Wireless ambapo camera itapokea na ndio itakuwa inatumia hapo,wewe ukiwa mbali utatumia kifurushi cha internet kama tunavyotumia kwenye simu zetu,utakuwa unastream eneo ulilofungia camera.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom