Niko interested nahitaji iwe na camera 6 nipe specs zaidi pamoja na bei
Wadau kwanza niwatakie heri ya mwaka mpya 2014.Niwieni radhi lengo langu sio kumtishia mtu usalama wake wala mali zake na si ubabaishaji bali ni biashara kama biashara nyingine so kwa yule aliyekuwa interested anaweza kuwasiliana nami. Specifications zake ni kama zifuatazo.1.
[TD="class: xl67"] 1. Dome camera ni, Built-in IR LED light
Lens 3.6mm, DC12V, 1000tvl (Hizi TV lines inakuonyesha ubora wa kuchukua picha (the more TVL the better) yachukua matukio hata nyakati za usiku. Hii ni bora kwa kufungwa ndani( indoor)
[/TD]
2. Bullet camera IR LED light ( kuona mchana na usiku vizuri)
Lens CS 8 mm, DC12V Hizo 8 MM lens ni kuona kwa wide angle na umbali zaidi. Hizi ni bora kufunga nje au kwenye eneo kubwa ili kuweza kuona na kuchukua picha kwa ukubwa unaotakiwa. Maeneo kama nje ya nyumba, magodown makubwa.
3. DVR kwa ajili ya kurekodi matukio yanayochukuliwa na CCTV camera, DVR hii imeshakuwa installed na HDD ya 1tb na ina uwezo wa kurekodi kwa miezi 3 na inaformat matukio ya mwanzo once inapokuwa imejaa. Vilevile waweza kuiset ikawa inarecord pale tu motion inapokuwa detected. Hii ni ya 8 channel yaani waweza kuiunganishia camera 8.
Bei zake ni kama ifuatavyo.
1. Camera ya 1 inauzwa 150,000@
2. Camera ya 2 ni shilingi 165,000@
3. DVR 8 channel na already installed 1TB HDD bei yake ni 700,000.
Nimejaribu kuweka picha zake.