kilemi
JF-Expert Member
- Mar 13, 2009
- 547
- 107
Kwa haya yaliyotokea Arusha na sasa Mbarali, nina wasiwasi na elimu wanayopata maaskari polisi wanafunzi! Yaelekea wanajifunza tu kulenga shabaha na namna ya kurusha mabomu!
Nashauri iwepo ellimu ya haki za raia pamoja na saikolojia jamii (social psychology) kwani mazingira yanavyoonekana hakuna raia aliye tayari tena kusikilizana na polisi!
Nashauri iwepo ellimu ya haki za raia pamoja na saikolojia jamii (social psychology) kwani mazingira yanavyoonekana hakuna raia aliye tayari tena kusikilizana na polisi!