Unauliza nini?
Hivi wewe huwajui Usalama Wa Taifa a.k.a UWT?
Ndani ya UWT kuna vikosi maalumu vinaundwa kwa ajili ya kufuatilia na kusambaratisha kitu chochote ambacho kiko kinyume na CCM na Serikali yake. Huo ndiyo mpango.
Yamkini kikosi hiki cha USALAMA WA TAIFA-Kikosi Maalumu Kudhibiti-CHADEMA na WANAHARAKATI ndiyo waliomteka Dr.Ulimboka.
Tumesikia KAULI nyingi sana za viongozi wa Chama(CCM)na Serikali yake wakisema CHADEMa kinaongozwa na WANAHARAKATI si wanasiasa. Kwa hiyo hii barua au waraka wa CCM KUNA UKWELI KABISA KWA ASILIMIA 99.99999999999999999999999 + or- 0.1 per cent![/QUOTE
mimi nashangaa kuona anashangaa hiyo! hivi karibuni kwa macho ya kiadmiral nikafanikiwa kuona kalist fulani ka hawa jamaa! Mungu wangu! watu niliowaona i was very shocked na nikapata jibu kwa nini nchi hii haiendelei na kwa kweli itataka kuitoa ccm madarakani na kuvunja kabisa idara hii maana si kwamba ni tawi la ccm kama wengi mnavyodhani, bali ni ccm yenyewe kabisa