CCM YAZIDI KUPOTEA dhidi ya CHADEMA TANZANIA

MPAMBANAJI.COM

JF-Expert Member
Mar 2, 2011
712
331
Ukiamini utakubalina nami, usipoamini utanipinga,
Katika siasa za kweli kama mdau maarufu wa CCM wote HATUNA AMANI na furaha kutokana na namna CHADEMA kinavyozidi kujijengea umaarufu, kupitia hoja na kuelimisha wanajamii.lAZIMA tujiulize, KWANI CHADEMA kilianza lini?nasie ccm tumeanza lini kusimama kwenye ulingo wa siasa?,CHADEMA wanapoteza nini,sie CCM ndo tunapoteza muelekeo na ukweli utandawazi utatulazimu kujitahidi kuwa wakweli ili wimbi la kukimbiwa lipungue.Tunachoahidi Arumeru kwa sasa ni kiini macho,hakuna litakalotekelezeka kupitia siasa za kukumbatiana.Kama tunajiamini kwanini tutumie nguvu kiasi hili kwenye uchaguzi mdogo?

kwanini tuhahe kwa sababu ya CHADEMA?kwani tusiwajibike?

Ukweli ni kwamba CCM kilichobaki ni kujaribu kuiga mfumo wa CHADEMA ila kweli tumechokwa, hata na wazee wanaipenda CHADEMA?SIASA zetu ni pesa? au kulinda maslahi?

Ni vyema tukubali kuwa CHADEMA ni mwiba na kupitia wao asilimia kubwa ya raia hawadanganyiki tena, wanaotusapot mwisho wa siku wanataka tuwasainishe lunch au dina?Tunaelekea wapi?Imefika wakati nasie tuwajibike ipasavyo kwa wananchi na tuache siasa za jazba na kujibizana na kuchafuana na CHADEMA.Kama ni wazazi CCM ndio wazazi na CHADEMA NI WATOTO.je tunakosa uadilifu kwa watoto kiasi cha siasa za msingi tunayoinesha sasa?
Lazima tukubali kuwa huu ni mpito wa siasa za kweli na hatuna budi kuwajibika kadri ya sera tunazozitoa kwa wapiga kura wote Tanzania.


Kwanini tusioneshe vipaumbele na matokeo yake yaonekanae?Mf.Kufufua viwanda,usafiri wa reli,nenda Tanga kwa Mfano uangalie Railyway station,Kiwanda cha matairi-tufikirie kujenga ajira kwa vijana kupitia mipango mikakati inayoonekana.....

Hisia za wengi kwa chama sasa, hiki ni chama cha matajiri na wafanyabiashara...kwanini tuweke taswira ya namna hii kwa uma wa Watanzania?
Je ni kweli vijana waiopo CCM wapo kwa mapenzi ya Watanzania au kwa maslahi ya mstari wa maslahi..yaani kupeana...hiki hakikisha kinakuwa chetu na sio chao/ kwa umma wa Watanzania kwa kihitajikavyo?

Tujitafakari upya....Lusinde...kutumia tafsida kwenye fani ya siasa zenye ushabiki hadi wa watoto sio swala la kupuuzwa...Chama makini lazima kimwajibishe na Umma wa Watanzania ufahamu hilo...

Ukinipenda nikubali ukinikata niache, ila huu ndio ukweli

Badae.
 
Kuna kitu kinaitwa Pyramid kwenye hesabu; kimsingi ni pana chini kinaishia kwenye ncha juu. Uongozi uko kipyramid. Sijui wewe upo chini, juu au kati. Kwa kawaida wa juu haelewi shida za wachini ANASHANGAA; vivyo hivyo wa chini haelewi uhondo wa aliye juu anatamani tu, wa kati anaufahanu mchanganyiko wa yote. Kihalisia wakati ndiye chachu ya mabadiliko ili mradi hajajiambatanisha na wajuu kimaslahi.

Tatizo lililopo ni kurithishana wote wa juu wanarithishana, wa chini na wa kati vile vile. Kuchokana na kuchoka kupo, ila wengi ni waoga wa mabadiliko. NDIVYO ILIVYO KWA CHAMA CHETU TWAWALA
 
Umenena vyema subiri kama CCM wenzako watakusikiliza!, lakini ufahamu tu kuwa "lakuvunda halina ubani"! CCM ndo hivyo tena!
 
Umenena baba ila hawa jamaa wamekuwa sikio la kufa, hakuna ushauri wowote wa busara wanaweza kuupokea zaidi ya kujifanya wajuzi! Labda nikupe mfano hivi sasa walipaswa kutimiza ahadi japo kidogo kule Igunga badala ya kutumia nguvu kubwa ya pesa Arumeru lakini kwakuwa wamepigwa upofu hawaoni hilo.
 
Ukiamini utakubalina nami, usipoamini utanipinga,
Katika siasa za kweli kama mdau maarufu wa CCM wote HATUNA AMANI na furaha kutokana na namna CHADEMA kinavyozidi kujijengea umaarufu, kupitia hoja na kuelimisha wanajamii.lAZIMA tujiulize, KWANI CHADEMA kilianza lini?nasie ccm tumeanza lini kusimama kwenye ulingo wa siasa?,CHADEMA wanapoteza nini,sie CCM ndo tunapoteza muelekeo na ukweli utandawazi utatulazimu kujitahidi kuwa wakweli ili wimbi la kukimbiwa lipungue.Tunachoahidi Arumeru kwa sasa ni kiini macho,hakuna litakalotekelezeka kupitia siasa za kukumbatiana.Kama tunajiamini kwanini tutumie nguvu kiasi hili kwenye uchaguzi mdogo?

kwanini tuhahe kwa sababu ya CHADEMA?kwani tusiwajibike?

Ukweli ni kwamba CCM kilichobaki ni kujaribu kuiga mfumo wa CHADEMA ila kweli tumechokwa, hata na wazee wanaipenda CHADEMA?SIASA zetu ni pesa? au kulinda maslahi?

Ni vyema tukubali kuwa CHADEMA ni mwiba na kupitia wao asilimia kubwa ya raia hawadanganyiki tena, wanaotusapot mwisho wa siku wanataka tuwasainishe lunch au dina?Tunaelekea wapi?Imefika wakati nasie tuwajibike ipasavyo kwa wananchi na tuache siasa za jazba na kujibizana na kuchafuana na CHADEMA.Kama ni wazazi CCM ndio wazazi na CHADEMA NI WATOTO.je tunakosa uadilifu kwa watoto kiasi cha siasa za msingi tunayoinesha sasa?
Lazima tukubali kuwa huu ni mpito wa siasa za kweli na hatuna budi kuwajibika kadri ya sera tunazozitoa kwa wapiga kura wote Tanzania.


Ukinipenda nikubali ukinikata niache, ila huu ndio ukweli

Badae.

Well said mpambanaji.
 
cdm wametuzarau sana labda na cc tujaribu kuwa kama wao tuone tutaishi vp ktk siasa. Maana wao waliona ndo fasheni kudharau mpaka mkuu wa nchi, police na n.k hawana heshima hawa kisa ufisadi kwani ndani ya cdm hakuna ufisadi?.. Wanaonekana wanafaa kwa kuwa upande mmoja umetulia sasa tujaribu na upande mwingine kuwa kama wao kama patakalika.
 
umenena baba ila hawa jamaa wamekuwa sikio la kufa, hakuna ushauri wowote wa busara wanaweza kuupokea zaidi ya kujifanya wajuzi! Labda nikupe mfano hivi sasa walipaswa kutimiza ahadi japo kidogo kule igunga badala ya kutumia nguvu kubwa ya pesa arumeru lakini kwakuwa wamepigwa upofu hawaoni hilo.

hivi lile daraja la mto mbutu aliloahidi gamba kuu magu-uchuro limejengwa?
 
Ukiamini utakubalina nami, usipoamini utanipinga,
Katika siasa za kweli kama mdau maarufu wa CCM wote HATUNA AMANI na furaha kutokana na namna CHADEMA kinavyozidi kujijengea umaarufu, kupitia hoja na kuelimisha wanajamii.lAZIMA tujiulize, KWANI CHADEMA kilianza lini?nasie ccm tumeanza lini kusimama kwenye ulingo wa siasa?,CHADEMA wanapoteza nini,sie CCM ndo tunapoteza muelekeo na ukweli utandawazi utatulazimu kujitahidi kuwa wakweli ili wimbi la kukimbiwa lipungue.Tunachoahidi Arumeru kwa sasa ni kiini macho,hakuna litakalotekelezeka kupitia siasa za kukumbatiana.Kama tunajiamini kwanini tutumie nguvu kiasi hili kwenye uchaguzi mdogo?

kwanini tuhahe kwa sababu ya CHADEMA?kwani tusiwajibike?

Ukweli ni kwamba CCM kilichobaki ni kujaribu kuiga mfumo wa CHADEMA ila kweli tumechokwa, hata na wazee wanaipenda CHADEMA?SIASA zetu ni pesa? au kulinda maslahi?

Ni vyema tukubali kuwa CHADEMA ni mwiba na kupitia wao asilimia kubwa ya raia hawadanganyiki tena, wanaotusapot mwisho wa siku wanataka tuwasainishe lunch au dina?Tunaelekea wapi?Imefika wakati nasie tuwajibike ipasavyo kwa wananchi na tuache siasa za jazba na kujibizana na kuchafuana na CHADEMA.Kama ni wazazi CCM ndio wazazi na CHADEMA NI WATOTO.je tunakosa uadilifu kwa watoto kiasi cha siasa za msingi tunayoinesha sasa?
Lazima tukubali kuwa huu ni mpito wa siasa za kweli na hatuna budi kuwajibika kadri ya sera tunazozitoa kwa wapiga kura wote Tanzania.


Ukinipenda nikubali ukinikata niache, ila huu ndio ukweli

Badae.
Kweli mkuu CCM kimebaki ni chama cha mipasho, ubabe, rushwa kubebana na unafiki hakina jipya, bora wakapumzike wamechoka ni wa siku nyingi sasa!!!!!!!!!!

 
Kweli, mdau na natambua ccm wanalijua hili ila ubishi na kutopenda waonekane wameshindwa mpaka tuwafanye washindwe kwa kunyimwa kura
 
ni kweli ccm inazidi kupotea kama ilivyopotea noti ya sh 50
 
Back
Top Bottom