CCM YAZIDI KUPOTEA dhidi ya CHADEMA TANZANIA

naona mgonjwa ametambua kuwa oxygen machine alokua amewekewa inakaribia kuisha na ile dripu ndo isha kauka sasa anatambua kwamba anakwama, huo nao ni ukweli ila magamba wenzako hatakubaliana nao
 
Acha ccm ipotee tu maana hakuna inachomsaidia Mtanzania zaidi ya propaganda na matusi. Naichukia kuliko shetani
 
Mpambanaji,

Nafikiri hata ndugu zetu wenyewe wa CCM wenye upeo na uhuru wa mawazo wameliona hili. Lakini tatizo kubwa sio mabadiliko. Tatizo ni mfumo wa uendeshaji na usimamizi wa shughuli na maamuzi ya chama. CCM asilia ya akina Nyerere (RIP), Kawawa (RIP), Butiku, Warioba,Salimu na wengineo (siwezi kutaja wote), kwa kiasi kikubwa ilisimamia misingi ya haki na usawa kwa jamii. Ndio maana hapo awali matabaka katika jamii hayakuwa wazi saana. Just imagine, Nyerere amekufa na physical asset gani alitoipata kwa kuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20?
Huo wakati CCM kilikuwa chama cha wakulima na wafanyakazi, na kwa kweli jamii walikuwa na uzalenfo wa kweli na chama chao. Hakikuleta maendeleo makubwa lakini, kila mwanajamii aliona nini kinafanyika katika mfumo uliowekwa na chama (ingawa udikteta ulikuwepo ili ku-maintain status quo).

Sasa hivi CCM academia, ccm ya utandawazi, sisiem ya kupigia magoti wafanyabiashara, sisiem ya kuwahimiza wageni waje kupora rasilimali, sisiem ya poolisi kupambana na raia na kuwaua, sisiem ya kuchakachua, sisiem ya kutukana hadharani..............

Hii nchi ni yetu sote, na hivyo tunastahili wote, bila misingi ya rangi, kabila au dini, kupata maendeleo na huduma za kijamii kutokana na rasilimali zetu. Sio siri tena kuwa hizi rasilimali hazitumiki kwa ajili yetu. Ni kwa ajili ya wachache ambao ni viongozi wa chama, serikali, wataalam washauri, wataalam serikalini, na wawekezaji. Ukichukua tabaka la uongozi uliopo na familia zao hawawezi kufikia hata 5% ya watanzania wote. Sasa hawa watanzania zaidi ya 90% maisha yao yanaendaje?
maji ya shida (acha tu suala la kuwa safi na salama)
afya shida
elimu shida
ajira shida
chakula shida
usafiri shida
ulinzi shida
usalama shida

umaskini umetamalaki
maradhi yametamalaki
mauaji na ukatili vimetamalaki
mfumuko wa bei umetamalaki
maisha ni magumu
ajali
manyanyaso ya raia
uporaji wa ardhi
demokrasia finyu
vita vya ardhi
udugu ktk uongozi
kutukanwa hadharani
nk

Masuala ya msingi kwa maendeleo ya jamii yote yamewekwa pembeni. Taifa halina mwelekeo. Dereva amelala. Maliasili zinaibwa mchana kweupe kwa msaada wa watanzania wenzetu, dola inatumika kulinda wageni na kuua raia, uongozi umekuwa ni zawadi, hupati huduma bila kutoa mlungula, maisha yamepanda

na zaidi ya yote umaskini umetamalaki kwa wananchi.


Ni nani asiyeona haya?
sisi wananchi twafahamu haki zetu ni zipi, ila namna ya kuzipata ndo inakua shida kwa sababu hatuna pa kushtaki.
Tutawaadhibu
Tutawaadhibu CCm
Tutawaadhibu Jk,lowasa,mangula,mkapa,mukama,makamba,nape,jairo,malima, ngeleja nao wote wanaotudharau,wanaouza rasilimali zetu, wanaokula jasho letu huku tukiangamia.

Kwa mazingira hayo kuna haja gani ya kuwasapoti? twajitenga na waovu ili tupate haki.
tumechoka
twataka mkombozi
tutajikomboa wenyewe kwa kuanza na uhuru wa kufikiri na kutenda.
kujua lipi baya na lipi zuri.
ghilba zao tumezitambua.
twataka haki zetu
twataka uhuru wetu
twataka madini yetu
twataka ardhi yetu
twataka heshima ya Taifa kwa maana tumekua ni ombaomba mchana na usiku
twataka maendeleo

Nani atayaleta haya?

yule anayetuibia?
anayeuza ardhi/maliasili zetu?
anayetukana wafanyakazi wake?
anayejiuzia kiwira?

hapana
hapana

Ni yule atanayetupa ukombozi wa fikra
anayetuonesha madhambi tutetewayo
anayepigania haki zetu
aliyetayari kupigwa mabomu kwa ajili yetu
aliye na mawazo huru



Huyu ni nani basi?


zito?slaa?mbowe?lipumba?hamad rashd?kikwete?nape?mrema?sendeka?pinda?

CCM? CDM? CUF? SAU? TLP?





KALAGABAHO!
 
cdm wametuzarau sana labda na cc tujaribu kuwa kama wao tuone tutaishi vp ktk siasa. Maana wao waliona ndo fasheni kudharau mpaka mkuu wa nchi, police na n.k hawana heshima hawa kisa ufisadi kwani ndani ya cdm hakuna ufisadi?.. Wanaonekana wanafaa kwa kuwa upande mmoja umetulia sasa tujaribu na upande mwingine kuwa kama wao kama patakalika.

Ona hili gamba, hata halijui linaongea nini!!!!!!!!!! tupilia mbali
 
Mpambanaji,

Nafikiri hata ndugu zetu wenyewe wa CCM wenye upeo na uhuru wa mawazo wameliona hili. Lakini tatizo kubwa sio mabadiliko. Tatizo ni mfumo wa uendeshaji na usimamizi wa shughuli na maamuzi ya chama. CCM asilia ya akina Nyerere (RIP), Kawawa (RIP), Butiku, Warioba,Salimu na wengineo (siwezi kutaja wote), kwa kiasi kikubwa ilisimamia misingi ya haki na usawa kwa jamii. Ndio maana hapo awali matabaka katika jamii hayakuwa wazi saana. Just imagine, Nyerere amekufa na physical asset gani alitoipata kwa kuwa madarakani kwa zaidi ya miaka 20?
Huo wakati CCM kilikuwa chama cha wakulima na wafanyakazi, na kwa kweli jamii walikuwa na uzalenfo wa kweli na chama chao. Hakikuleta maendeleo makubwa lakini, kila mwanajamii aliona nini kinafanyika katika mfumo uliowekwa na chama (ingawa udikteta ulikuwepo ili ku-maintain status quo).

Sasa hivi CCM academia, ccm ya utandawazi, sisiem ya kupigia magoti wafanyabiashara, sisiem ya kuwahimiza wageni waje kupora rasilimali, sisiem ya poolisi kupambana na raia na kuwaua, sisiem ya kuchakachua, sisiem ya kutukana hadharani..............

Hii nchi ni yetu sote, na hivyo tunastahili wote, bila misingi ya rangi, kabila au dini, kupata maendeleo na huduma za kijamii kutokana na rasilimali zetu. Sio siri tena kuwa hizi rasilimali hazitumiki kwa ajili yetu. Ni kwa ajili ya wachache ambao ni viongozi wa chama, serikali, wataalam washauri, wataalam serikalini, na wawekezaji. Ukichukua tabaka la uongozi uliopo na familia zao hawawezi kufikia hata 5% ya watanzania wote. Sasa hawa watanzania zaidi ya 90% maisha yao yanaendaje?
maji ya shida (acha tu suala la kuwa safi na salama)
afya shida
elimu shida
ajira shida
chakula shida
usafiri shida
ulinzi shida
usalama shida

umaskini umetamalaki
maradhi yametamalaki
mauaji na ukatili vimetamalaki
mfumuko wa bei umetamalaki
maisha ni magumu
ajali
manyanyaso ya raia
uporaji wa ardhi
demokrasia finyu
vita vya ardhi
udugu ktk uongozi
kutukanwa hadharani
nk

Masuala ya msingi kwa maendeleo ya jamii yote yamewekwa pembeni. Taifa halina mwelekeo. Dereva amelala. Maliasili zinaibwa mchana kweupe kwa msaada wa watanzania wenzetu, dola inatumika kulinda wageni na kuua raia, uongozi umekuwa ni zawadi, hupati huduma bila kutoa mlungula, maisha yamepanda

na zaidi ya yote umaskini umetamalaki kwa wananchi.


Ni nani asiyeona haya?
sisi wananchi twafahamu haki zetu ni zipi, ila namna ya kuzipata ndo inakua shida kwa sababu hatuna pa kushtaki.
Tutawaadhibu
Tutawaadhibu CCm
Tutawaadhibu Jk,lowasa,mangula,mkapa,mukama,makamba,nape,jairo,malima, ngeleja nao wote wanaotudharau,wanaouza rasilimali zetu, wanaokula jasho letu huku tukiangamia.

Kwa mazingira hayo kuna haja gani ya kuwasapoti? twajitenga na waovu ili tupate haki.
tumechoka
twataka mkombozi
tutajikomboa wenyewe kwa kuanza na uhuru wa kufikiri na kutenda.
kujua lipi baya na lipi zuri.
ghilba zao tumezitambua.
twataka haki zetu
twataka uhuru wetu
twataka madini yetu
twataka ardhi yetu
twataka heshima ya Taifa kwa maana tumekua ni ombaomba mchana na usiku
twataka maendeleo

Nani atayaleta haya?

yule anayetuibia?
anayeuza ardhi/maliasili zetu?
anayetukana wafanyakazi wake?
anayejiuzia kiwira?

hapana
hapana

Ni yule atanayetupa ukombozi wa fikra
anayetuonesha madhambi tutetewayo
anayepigania haki zetu
aliyetayari kupigwa mabomu kwa ajili yetu
aliye na mawazo huru



Huyu ni nani basi?


zito?slaa?mbowe?lipumba?hamad rashd?kikwete?nape?mrema?sendeka?pinda?

CCM? CDM? CUF? SAU? TLP?





KALAGABAHO!

Dah! Unajua sio wote wenye uwezo wa kuandika na kupanga mawazo yao ata kama ni mazuli like u did, big up mkuu, kuna muda uwa natamani vijana wote wa Tanganyika wangekuwa member wa JF Ili nao wapate fursa ya kujua kiundani kabisa jinsi nchi yao ilivyobinafsishwa, inauma kiukweli, Thank you God for making me a member of JF.
 
Ukiamini utakubalina nami, usipoamini utanipinga,
Katika siasa za kweli kama mdau maarufu wa CCM wote HATUNA AMANI na furaha kutokana na namna CHADEMA kinavyozidi kujijengea umaarufu, kupitia hoja na kuelimisha wanajamii.lAZIMA tujiulize, KWANI CHADEMA kilianza lini?nasie ccm tumeanza lini kusimama kwenye ulingo wa siasa?,CHADEMA wanapoteza nini,sie CCM ndo tunapoteza muelekeo na ukweli utandawazi utatulazimu kujitahidi kuwa wakweli ili wimbi la kukimbiwa lipungue.Tunachoahidi Arumeru kwa sasa ni kiini macho,hakuna litakalotekelezeka kupitia siasa za kukumbatiana.Kama tunajiamini kwanini tutumie nguvu kiasi hili kwenye uchaguzi mdogo?

kwanini tuhahe kwa sababu ya CHADEMA?kwani tusiwajibike?

Ukweli ni kwamba CCM kilichobaki ni kujaribu kuiga mfumo wa CHADEMA ila kweli tumechokwa, hata na wazee wanaipenda CHADEMA?SIASA zetu ni pesa? au kulinda maslahi?

Ni vyema tukubali kuwa CHADEMA ni mwiba na kupitia wao asilimia kubwa ya raia hawadanganyiki tena, wanaotusapot mwisho wa siku wanataka tuwasainishe lunch au dina?Tunaelekea wapi?Imefika wakati nasie tuwajibike ipasavyo kwa wananchi na tuache siasa za jazba na kujibizana na kuchafuana na CHADEMA.Kama ni wazazi CCM ndio wazazi na CHADEMA NI WATOTO.je tunakosa uadilifu kwa watoto kiasi cha siasa za msingi tunayoinesha sasa?
Lazima tukubali kuwa huu ni mpito wa siasa za kweli na hatuna budi kuwajibika kadri ya sera tunazozitoa kwa wapiga kura wote Tanzania.


Kwanini tusioneshe vipaumbele na matokeo yake yaonekanae?Mf.Kufufua viwanda,usafiri wa reli,nenda Tanga kwa Mfano uangalie Railyway station,Kiwanda cha matairi-tufikirie kujenga ajira kwa vijana kupitia mipango mikakati inayoonekana.....
Ukinipenda nikubali ukinikata niache, ila huu ndio ukweli

Badae.

Rafiki yangu unayo akili sana....hili suala la ccm kutegemea sana pesa nimeshawaonya sana jamaa zangu hawa....,nadhani ushindi kwenye uchaguzi kama unavyosema unawezekana bila pesa .....tufanye mambo ya maendeleo bila kujali uchaguzi ...bila kujali siasa...wanannchi wana akili wataona..

kwa mwendo huuu wa kuhonga honga mwaka 2015 hata wahamishie benki kuu yote....wanaweza wakajikuta wanshindwa uchaguzi....au wakishinda kwa mabavu ..wakajikuta na nakisi kubwa kwenye bajeti kama sasa tunavyoponya machungu ya 2010...na kujikuta wanaendelea ku lose popularity.....na kama ikishindikana kubakia kwa mabavu...inaweza kusababisha nchi kuyumba na Jeshi likashika hatamu kunusuru...Tuwe makini!!
 
[h=3]Taswira Za Kampeni Za CCM Usa River[/h]

[h=1][/h]


7xx.JPG
Wazee wa Kijiji cha Lekitatu, Usa River wakifuatilia kwa makini mkutnao wa kampeni za CCM uliofanyika jana kwenye kijiji hicho
3.+Mwigulu+akisoma+waraka+aliodai+ni+wa+CHADEMA.jpg
Mratibu wa kampeni za CCM, Mwigulu Nchemba akisoma waraka kwenye mkutano wa kampeni Usa River, waraka huo inadaiwa ni wa CHADEMA wakikiri watashindwa uchaguzi wa Arumeru Mashariki

4.+Kibajaji+%2527akiichana+CHADEMA%2527+jukwaani.jpg

Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde akihutubia mkutano wa kampeni za CCM jana Uwanja wa Ngarasero, Usa River
1.Sioi+Ngarasero%252C+Usa+River.jpg

Mgombea wa CCM jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akisalimia maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa kampeni uliofanyika jioni hii kwenye Uwanja wa Ngarosero, kata ya Usa River jimboni humo. Kushoto ni Mratibu wa kampeni za CCM, Katibu wa NEC Uchumi na Fedha, Mwigulu Nchemba.
2.Sioi+Ngarasero%252C+Usa+River.jpg

Mgombea wa CCM, jimbo la Arumeru Mashariki, Sioi Sumari akipungia mikono maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano huo. Mbele yake (kushoto) ni Mbunge wa Mtera Joseph Lusinde
2.+Umati+wa+watu+waliohudhuria+mkutano+wa+CCM%252C+Usa+River+jana.jpg

Umati wa watu waliofurika mkutano wa kampeni za CCM, Uwanja wa Ngarasero, Usa River,janaPicha na Bashir Nkromo-Arumeru
 
[h=3]Kampeni Za CCM Arumeru Jana[/h]

[h=3]
[/h]
Msafara wa mgombea ubunge wa CCM jimbo la Arumeru MNashariki Sioi Sumariukitoka kwenye kambi ya CCM kwenda vijijini kwenye mikutano ya kampeni jana
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Arusha, Nameloki Sokoine akimuombea kura
mgombea wa CCM Sioi Sumari kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika
Kijiji cha Sing'isi,jana
Aliyekuwa mratibu na mhamasishaji wa kampeni za CHADEMA katika uchaguzi
mdogo Arumeru Mashariki, katika kijiji cha Singisi, Anna Silas akikabidhi
kadi ya chama hicho kwa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka baada
ya kutangaza kujiunga na CCM katika mkutano wa kampeni ulofanyika jana
katika kijiji hicho. Wengine kutoka kulia ni Mwigulu Nchemba na Sioi
Mwigulu akionyesha kadi za TLP na ya CHADEMA alizokabidhiwa baada ya
aliyekuwa Katibu Mwenezi wa TLP Kata ya Seela Sing'isi, Augustine Kyungani
na aliyekuwa mratibu wa kampeni za CHADEMA Anna Silas kumkabidhi baada ya
kuhamia CCM kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha
Sing'isi jana
 
ukiamini utakubalina nami, usipoamini utanipinga,
katika siasa za kweli kama mdau maarufu wa ccm wote hatuna amani na furaha kutokana na namna chadema kinavyozidi kujijengea umaarufu, kupitia hoja na kuelimisha wanajamii.lazima tujiulize, kwani chadema kilianza lini?nasie ccm tumeanza lini kusimama kwenye ulingo wa siasa?,chadema wanapoteza nini,sie ccm ndo tunapoteza muelekeo na ukweli utandawazi utatulazimu kujitahidi kuwa wakweli ili wimbi la kukimbiwa lipungue.tunachoahidi arumeru kwa sasa ni kiini macho,hakuna litakalotekelezeka kupitia siasa za kukumbatiana.kama tunajiamini kwanini tutumie nguvu kiasi hili kwenye uchaguzi mdogo?

Kwanini tuhahe kwa sababu ya chadema?kwani tusiwajibike?

Ukweli ni kwamba ccm kilichobaki ni kujaribu kuiga mfumo wa chadema ila kweli tumechokwa, hata na wazee wanaipenda chadema?siasa zetu ni pesa? Au kulinda maslahi?

Ni vyema tukubali kuwa chadema ni mwiba na kupitia wao asilimia kubwa ya raia hawadanganyiki tena, wanaotusapot mwisho wa siku wanataka tuwasainishe lunch au dina?tunaelekea wapi?imefika wakati nasie tuwajibike ipasavyo kwa wananchi na tuache siasa za jazba na kujibizana na kuchafuana na chadema.kama ni wazazi ccm ndio wazazi na chadema ni watoto.je tunakosa uadilifu kwa watoto kiasi cha siasa za msingi tunayoinesha sasa?
Lazima tukubali kuwa huu ni mpito wa siasa za kweli na hatuna budi kuwajibika kadri ya sera tunazozitoa kwa wapiga kura wote tanzania.


Kwanini tusioneshe vipaumbele na matokeo yake yaonekanae?mf.kufufua viwanda,usafiri wa reli,nenda tanga kwa mfano uangalie railyway station,kiwanda cha matairi-tufikirie kujenga ajira kwa vijana kupitia mipango mikakati inayoonekana.....

Hisia za wengi kwa chama sasa, hiki ni chama cha matajiri na wafanyabiashara...kwanini tuweke taswira ya namna hii kwa uma wa watanzania?
Je ni kweli vijana waiopo ccm wapo kwa mapenzi ya watanzania au kwa maslahi ya mstari wa maslahi..yaani kupeana...hiki hakikisha kinakuwa chetu na sio chao/ kwa umma wa watanzania kwa kihitajikavyo?

Tujitafakari upya....lusinde...kutumia tafsida kwenye fani ya siasa zenye ushabiki hadi wa watoto sio swala la kupuuzwa...chama makini lazima kimwajibishe na umma wa watanzania ufahamu hilo...

Ukinipenda nikubali ukinikata niache, ila huu ndio ukweli

badae.

chadema watachukua nchi muda sio mrefu.
 
Back
Top Bottom